excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,449
- 17,918
..tumszoea kusikia cases za wanawake kubakwa, je mwanamme aweza kubakwa???
mwanaume hawezi kubakwa abadani....! naweza thibitisha hilo!
..tumszoea kusikia cases za wanawake kubakwa, je mwanamme aweza kubakwa???
mwanaume hawezi kubakwa abadani....! naweza thibitisha hilo!
Nipe maana ya kubaka....!!
Ndio kwakuwa kubaka ni kitendo na hakihusiani na jinsia ila kuna kubaka kubakwa na kubakana
madawati ya jinsia ni kwa ajili ya wote..we peleka kesi yako uone kama haitashughulikiwa
kubaka, ama rape kwa lugha ya great britain... '' it is a unwilling sexual intercourse between two different sex.. where force is used to make the opponent agree to intercourse..''
pia rape inaweza kuwa isiwe sex tu kwa sababu, endapo utatumia kitu ambacho hakijawa matured enough kufikia ukomavu wake na wakati wa kuwa consumed, tunaita ni rape..
pia, katika marketing.. rape pia inatumika.. unapotumia bidhaa ama nembo ya kampuni nyingine bila ridhaa yake mwenyewe, tunaita ni brand raping..
asante..
Kwa hiyo kubaka (katika muktadha wa mapenzi) Ni kulazimishwa, katika njia yoyote Ile kufanya tendo la ndoa/ngono bila ridhaa ya mhusika. Tumekubaliana katika Hilo. Basi nijibu, msichana amemrubuni kijana kwa kumuwekea dawa za kustimulate hamu ya mapenzi, kijana kapata hamu hadi maumivu..je, hajambaka?
mdada anamseduce kijana ambaye hayuko katika mood kabisa, ham imemjia ila akili/nafsi haijatidhia kuufanya mapenzi, jee sio kubakwa hukwo?
Wababa na mablazakaka
wanaona noma kwenda kushtaki kwenye yale madawati wengine ni mabausa
kabisa lakini mbele ya wake zao ni wachumba tu
kwani kubaka lazima iwe ngono?
akiwa mkeo/mumeo nayo tunaita ngono?
kubaka ktk ndoa yani mke au mume nafkiri bado haitambuliki kisheria,au
wanasema rape ni tendo la kulazimisha sex. sasa kama mkeo umemlazimisha akupe penzi wakati akiwa hataki seriously hiyo tunaiitaje?.... kuna kesi nilishaisikia kwamba kuna jamaa kabaka mke wake! nadhani hapo ndipo palipotumika haswaa!
nadhani kama mkiwa mmeachana, then ukalazimisha penzi, hiyo ni complete rape km sijakosea..
Kwa hiyo kubaka (katika muktadha wa mapenzi) Ni kulazimishwa, katika njia yoyote Ile kufanya tendo la ndoa/ngono bila ridhaa ya mhusika. Tumekubaliana katika Hilo. Basi nijibu, msichana amemrubuni kijana kwa kumuwekea dawa za kustimulate hamu ya mapenzi, kijana kapata hamu hadi maumivu..je, hajambaka?
mdada anamseduce kijana ambaye hayuko katika mood kabisa, ham imemjia ila akili/nafsi haijatidhia kuufanya mapenzi, jee sio kubakwa hukwo?
Excel amini usiamini wanandoa wengi wanaishi maisha ya kubakana ila hawawezi kwenda kushtaki popote kwakuwa hawataeleweka
Hii inatokea sana tu; mwenzi wako hajisikii kabisa ila kwakuwa anaogopa usije chepuka au kufikiriwa vibaya basi anajikuta anakubali kuingilia au kuingiliwa lakini rohoni hayuko radhi abadan ....!!!hii ni aina fulani ya ubakaji