Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,505
- 860,526
Kutokana na vitendo vya kikatili vinavyomea kwenye jamii yetu serikali imeamua kuanzisha madawati ya jinsia karibu kwenye kila kituo cha polisi !ni jambo zuri
Shida iliyopo ni kwamba madawati yale yanachukuliwa kuwa ni kwa ajili ya wanawakr na watoto tu ,,hii sisawa kuna wanaume wengi tu nao wanapaswa kwenda kushtaki kwenye haya madawati
Wananyanyaswa na kuteswa mno na wake zao
Hawapewi haki yao ya ndoa
wanachapiwa live
Wanapangiwa matumizi kwa mishahara yao wenyewe
Wanapigwa
Wananyimwa chakula
Wanabakwa
Wanapangiwa majukumu wasiyoyaweza na wake zap wababe
Jamani kina baba msife na kihoro moyoni nendeni mkapate msaada. Madawati ya jinsia ni kwa ajili ya wote
Shida iliyopo ni kwamba madawati yale yanachukuliwa kuwa ni kwa ajili ya wanawakr na watoto tu ,,hii sisawa kuna wanaume wengi tu nao wanapaswa kwenda kushtaki kwenye haya madawati
Wananyanyaswa na kuteswa mno na wake zao
Hawapewi haki yao ya ndoa
wanachapiwa live
Wanapangiwa matumizi kwa mishahara yao wenyewe
Wanapigwa
Wananyimwa chakula
Wanabakwa
Wanapangiwa majukumu wasiyoyaweza na wake zap wababe
Jamani kina baba msife na kihoro moyoni nendeni mkapate msaada. Madawati ya jinsia ni kwa ajili ya wote