Juma Nkamia ni mnafiki

Juma Nkamia ni mnafiki

dafity

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2008
Posts
1,878
Reaction score
2,085
Anaongea bungeni sasa hivi anasema alipokua BBC alikua kwenye kitengo cha propaganda na aliwaaminisha waingereza mambo ya UONGO ambayo ETI leo anayajutia.

Anasema alifanya hivyo ili KUGANGA NJAA watoto wake wasome. UNAFIKI MKUBWA SANA HUU. kujifanya upo hivi kumbe upo vile.

Biblia na Quran ZIMEKEMEA WANAFIKI.
Amewashambulia waandishi wa habari kuwafuata wapinzani walipotoka nje.

Akadai habari ni mswada na si kutoka nje, amesahau kuwa matukio haya yanaendana yaani wapinzani wametoka kutokana na mchakato kuanza kuchakachuliwa na maccm.

Waandishi wa zama hizi si wa zama za Nkamia.

Kwa umbumbumbu wake amekiri kuwa wkt wa vita vya Iraq yeye alikuwa kitengo cha propaganda akafanya hivyo ili watoto wake waende shule!!

Akaenda mbali zaidi kwa kuwapangia waandishi wa habari na kuwatishia waandike nini kesho?

Akasema mpango ulikuwa umesukwa mapema!
 
Amewashambulia waandishi wa habari kuwafuata wapinzani walipotoka nje.

Akadai habari ni mswada na si kutoka nje, amesahau kuwa matukio haya yanaendana yaani wapinzani wametoka kutokana na mchakato kuanza kuchakachuliwa na maccm.

Waandishi wa zama hizi si wa zama za Nkamia.

Kwa umbumbumbu wake amekiri kuwa wkt wa vita vya Iraq yeye alikuwa kitengo cha propaganda akafanya hivyo ili watoto wake waende shule!!

Akaenda mbali zaidi kwa kuwapangia waandishi wa habari na kuwatishia waandike nini kesho?

Akasema mpango ulikuwa umesukwa mapema!
 
JUMA NKAMIA MNAFIKI
Anaongea bungeni sasa hivi anasema alipokua BBC alikua kwenye kitengo cha propaganda na aliwaaminisha waingereza mambo ya UONGO ambayo ETI leo anayajutia. Anasema alifanya hivyo ili KUGANGA NJAA watoto wake wasome. UNAFIKI MKUBWA SANA HUU. kujifanya upo hivi kumbe upo vile. Biblia na Quran ZIMEKEMEA WANAFIKI
 
Jana niliwatazama wakina Menendez na Corker wakiwahoji Kerry,Dempsey na Sagel

hata Bunge la Kenya wanavyopambana hoja kwa hoja on issues,Tanzania ni kama viongozi hawajazaliwa
 
Kama umekili kuwa ulikua kwy kitengo cha propaganda wakati unafanya kazi BBC ya kuhalalisha kuwa Iraq ilikua Ina silaha za sumu ambazo ni propaganda za wamerikani, ikiwa unajua si kweli ni uongo na umekilia umefanya hivyo kwa ajili ya kulinda chakula cha watoto wako, je huoni hata sasa unachochotetea ni kwa ajili ya kulinda chakula cha watoto wako, na si kwa ajili ya mustkabali wa Taifa?
 
Anaongea bungeni sasa hivi anasema alipokua BBC alikua kwenye kitengo cha propaganda na aliwaaminisha waingereza mambo ya UONGO ambayo ETI leo anayajutia. Anasema alifanya hivyo ili KUGANGA NJAA watoto wake wasome. UNAFIKI MKUBWA SANA HUU. kujifanya upo hivi kumbe upo vile. Biblia na Quran ZIMEKEMEA WANAFIKI

naunga mkono hoja...!!!
 
Hii inathibitisha pia pasipo na shaka kuwa hata maneno na mchango anaotoa bungeni hautoki moyoni,bali NI KWAAJILI YA KUGANGA NJAA.

AMEWASAKAMA WAANDISHI ILI AGANGE NJAA!!!!!
 
Huyu ni janga na hata sasa manake bungeni anaganga NJAA
 
Mlikuwa hamum-juwi huyu juma...poleni sana..na bado mtamjuwa kwa mengi tuuu. Au mumesahau alitaka kugombana na mwanamke "kisa kapuni"
 
Wabunge wa magamba ni zaidi ya ma------, yaani hawajadili rasimu ya katiba, bali vijembe kuhusu utokaji wa wabunge wa upinzani, ver stupid yaani tunapoelekea cjui
 
Mi nashangaa leo anataka kuelekeza waandishi wa habari jinsi ya kuandika habari zao.
 
mnampa umaarufu bure hajui hapo anafanyanini?kasema anapasha kiti moto yeye na mwenzake lusinde
 
Mnafiki utamgundua kwa mambo makuu matatu...1)Maneno ( 2)Matendo (3)Sura.....kwa maneno yake leo bungeni Nkamia kathibitisha kuwa yeye ni MNAFIKI wa kuzaliwa....kula na vaa yake,ada za watoto na matumizi ya mkewe,yanategemea kiwango chake cha unafiki..si ajabu siku zijazo atakuja kusema kuwa maneno aliyoyasema bungeni juu ya upinzani ilikuwa ni propaganda imsaidie kupata mkate wa kila siku,...Eti anawapangia waandishi waandishi waandike anachopenda?...AIBUUU
 
Anaongea bungeni sasa hivi anasema alipokua BBC alikua kwenye kitengo cha propaganda na aliwaaminisha waingereza mambo ya UONGO ambayo ETI leo anayajutia. Anasema alifanya hivyo ili KUGANGA NJAA watoto wake wasome. UNAFIKI MKUBWA SANA HUU. kujifanya upo hivi kumbe upo vile. Biblia na Quran ZIMEKEMEA WANAFIKI

Nimemsikia pia...mie nadhani ni mjinga pia!
 
Back
Top Bottom