Juma Nkamia ni mnafiki

Juma Nkamia ni mnafiki

Hata hapa bado anaganga njaa, p u m b a v u sana hili lijinga
 
Hakuna kipya alichosema Juma. Waandishi wa kibongo ni shida tupu! Hamwoni hata Pasco anavyoshabikia na kuunga mkono vibahasha ili watoto wapishane maliwatoni?
 
Last edited by a moderator:
Anaongea bungeni sasa hivi anasema alipokua BBC alikua kwenye kitengo cha propaganda na aliwaaminisha waingereza mambo ya UONGO ambayo ETI leo anayajutia.

Anasema alifanya hivyo ili KUGANGA NJAA watoto wake wasome. UNAFIKI MKUBWA SANA HUU. kujifanya upo hivi kumbe upo vile.

Biblia na Quran ZIMEKEMEA WANAFIKI.

Msiwaamini Wanasiasa wa Chama tawala na upinzani (include yeye mwenyewe) - Zitto!
 
Nkamia ni msaliti, mfitini na muuwaji; kukiri kwake alikuwa anatowa propoganda za uungo kuhusu Iraq, na watu wameuwa kwa hizo propoganda zake. Kawaftini waislamu wenzake wakauawa kwa ajili ya tumbo lake. Leo anasimama bungeni kujitangaza alivyo muuwaji, hivi utategemea lipi jema atakalo lifanya kwa faida ya Taifa. Nkamia laana uliyonayo haitakutoka hata kwenye kiama chako.
 
Nkamia na John komba ni bendera fuata upepo,hamewekwa na maccm kiurafiki na mwenyekigoda
 
Huyu mbumbumbu sijui nimuite kwa jina gani.

mkuu kiazi labda!! hawa ndio wanaiharibia ccm nimetamani hata kupasua tv yangu kwa hasira!! kama kuna mbunge mwingine anadiriki kumpelekea mbunge mwenzie kuwa watamshughurikia najiuliza maswali kuna nini nyuma ya pazia?
 
Na unafiki amewarithisha hadi wanae! wako kama yeye! kule kwetu kuna msemo usemao kuwa ' ukiwa mnafiki ujanani ukiwa mzee utakuwa mchawi na mwanga'
 
nasikia kila baada ya dakika tano anavuta sigala itakuwa anapumu
 
nikizaa watoto wawili wenye akili kama juma nkamia wote nachinja.
 
Ama kweli masisiem ni majanga!!kumbe mapovu yoooote pale bungeni ni kwa ajili ya njaa zao na ada za watoto wao??huyu bwana ngamia ni mpumb..vu sana!!
 
Kwaiyo haishangazi sasa,
Anashabikia upuuzi wa katiba ya ajabu ajabu inayopiganiwa na chama chake,
Baadae uozo ukipita aanze kusema alikua anafanya hivyo kwa bahati mbaya ili aonekane mwema kwa CCM na ili watoto wake waende chooni,si ndiyo?
Katiba ni maisha yetu,hatuwez yachezea kama anavyofikiria yeye Nkamia Tumbo,jinga kabisa hilo
 
akasome surat mnafikuna

Naaam,
Na alama za mnafiki ni tatu,
1.when,he speaks,he lies

2.he dont fulfil the trust once he's entrusted

3.he dont keep the promise once he makes it..

Nkamia Ni Mnafiki Tuh
 
Tangu nimuone Ana-commentate soka pale TBC huku akiazini kama yuko msikitini,niligundua huyu jamaa ni punguani aliyepitiliza ambaye yupo tayari kufanya lolote ili kuganga njaa!Maana hata 'debe' la kuwa mbunge lilianzia kwenye kipindi hicho!
 
Mnafiki kweli anajisifu kusababisha watu kufa watu kukosa makazi kuwa vilema kwa njaa zake hawa ndo viongozi wauzaji nchi uju ni ngamia kweli jinga kubwa na dhambi ya kuwapoteza maisha na malengo kwa unafiki wako wairan tena waislam wenzako itaikuta siku ya kiama
 
Back
Top Bottom