Akihojiwa ktk kipindi cha Alasiri Lounge jioni hii, kuhusu nani anafaa kuongoza nchi hii baada ya JK, Msanii Maarufu Juma Kassim Nature kwa uwazi na Uhuru ameeleza kuwa Lowassa ndiyo habari ya mjini.
mmh hii ID jamani tumetokana nayo mbali,enzi za Zito kutimuliwa mpaka kuwa Aya.tohBangi ni kitu kibaya sana
Akihojiwa ktk kipindi cha Alasiri Lounge jioni hii, kuhusu nani anafaa kuongoza nchi hii baada ya JK, Msanii Maarufu Juma Kassim Nature kwa uwazi na Uhuru ameeleza kuwa Lowassa ndiyo habari ya mjini.
Akihojiwa ktk kipindi cha Alasiri Lounge jioni hii, kuhusu nani anafaa kuongoza nchi hii baada ya JK, Msanii Maarufu Juma Kassim Nature kwa uwazi na Uhuru ameeleza kuwa Lowassa ndiyo habari ya mjini.
Mjinga kweli aisee kweli tuna kazi watu sijui wafanywe nini na ccm ndo wajue kua ni chama ambacho kina haribu nchi yetu