Juma Nature amkubali Lowassa

Juma Nature amkubali Lowassa

Juma Nature yule alishakufa kimuziki sasa amerudi kwenye siasa sasa wasanii wanatumiwa kama kondomu .
 
Akihojiwa ktk kipindi cha Alasiri Lounge jioni hii, kuhusu nani anafaa kuongoza nchi hii baada ya JK, Msanii Maarufu Juma Kassim Nature kwa uwazi na Uhuru ameeleza kuwa Lowassa ndiyo habari ya mjini.


I honestly do not know the guy . Hebu nielezeni who is that guy ?
 
Juma nature ni mwanamziki nguli mwenye kujua yanayopaswa kufanywa nchi hii pili katiba inamruhusu tatizo watanzania mtu akiongelea vizuri kitu ambacho hupendi unamchukia mbona hata kala jeremiah kamsapoti lowasa. Wakati jay kamsapoti pia
 
Sasa habari hii inasaidia nini katika maisha yako ya kawaida? Inakusogezea ugali au ubwabwa mezani? Andikeni habari zenye tija na mashiko
 
Lowasa ni kama maji, usipo mnywa, uta mkuta kwenye chai, chakula, utamuoga na hata ukifa walio baki watakuogeshea maji.. Sasa wewe unae yakimbia maji nikama unajidanganya tu.
 
Juma Nature yule alishakufa kimuziki sasa amerudi kwenye siasa sasa wasanii wanatumiwa kama kondomu .
Tuwe wastarabu hiyo ni opinion yake, tuheshimu mawazo ya watu wengine, hutuwezi tukawa na maendeleo kama wote tutakuwa na matazamo mmoja. Idiot
 
Wewe nawe? Hivi huyo juma nature ni nani ktk nchi hii ukiachilia mbali kuwa ni mtanzania wa kawaida,hadi utuletee hapa jukwaani?

Mmawia kuna matabaka ya watu tena ?Hiki ndicho Nyerere alikipinga kwa nguvu zote, namnukuu akisema,"Binadamu wote ni sawa".Unatakiwa uyaheshimu mawazo ya Juma Nature, so long as hajatukana wala kumkashifu mtu yeyote !
 
mnakumbuka tmk na kina bushoke walimuimbia cheka cheka yaan rais anayecheka hata kwenye serious issue
 
Eti hao ndio watia nia za kugombea Ubunge..really?ndio watu tutakaowategemea watusaidie kutunga sheria za nchi na kuisimamia serekali?watanzania tumelogwa au ni laana?
 
Back
Top Bottom