Juma Duni mgombea mwenza UKAWA yuko wapi?

Juma Duni mgombea mwenza UKAWA yuko wapi?

Nilichokiongea hujakijua bado. Kuwa mgombea wa chama cha upinzani alijinyea nzega stand. Hivyo wengine wameamua kukaa pembeni kujiondoa na aibu.

Mlisema magufuli ana moyo wa plastics, mkasema katengwa na mkewe kwenye kampeni na juzi mmeanzisha kuwa hajui kiingereza, siasa hizo mnazozifanya nyinyi kuna tofauti ipi hii ambayo mzee alinyea live stand. Atleast mimi nimepoint issue ambaye kiuhalisia ni kweli imetokea. Siasa hamzijui mkiona mmezidiwa mnavaa uana kondoo huku mkijifanya wasauhalifu kwa hayo mnayoyafanya kwa upande wa pili

Kubwa zima linaomba huruma ya JF moderators yaani comment yako umeandika kindezi sana. Kana kwamba wewe ni malaika

Hebu nikumbushe Saddam Hussen alitokea nchi gani?
 
JUMA DUNI KAPOTELEA WAPI?

Mgombea mwenza Ukawa Babu Duni amekata tamaa kabisa ya kutoendelea na mikutano ya kampeni kutokana na zomeazomea kuendelea kuikabili Ukawa.

Hata hivo kuna uwezekano Babu Duni akawa amesoma upepo mapema hivo kuamua kijiondoa ili kupunguza upotevu wa gharama.

Mbali na hivyo kwa taarifa za ndani kutoka CUF inasemekana anatakiwa arudi CUF kwasababu Ukawa wamekiuka makubaliano yaliyoafikiwa juu ya usawa wa vyama shiriki ukawa hivyo anatakiwa kujiondoa haraka Chadema arudi CUF na huo ndio utakua mwisho wa Ukawa

Porojo..
 
jamani tuambieni yuko wapi BABU duni WETU jamani mbona ED yupo tunamuona?
 
Yupo kwani ulitaka muwe nae? mbona akina Nyerere walikuwa na magufuli na leo hawaonekani enhee nao vipi wamekata tamaa?
 
JUMA DUNI KAPOTELEA WAPI?

Mgombea mwenza Ukawa Babu Duni amekata tamaa kabisa ya kutoendelea na mikutano ya kampeni kutokana na zomeazomea kuendelea kuikabili Ukawa.

Hata hivo kuna uwezekano Babu Duni akawa amesoma upepo mapema hivo kuamua kijiondoa ili kupunguza upotevu wa gharama.

Mbali na hivyo kwa taarifa za ndani kutoka CUF inasemekana anatakiwa arudi CUF kwasababu Ukawa wamekiuka makubaliano yaliyoafikiwa juu ya usawa wa vyama shiriki ukawa hivyo anatakiwa kujiondoa haraka Chadema arudi CUF na huo ndio utakua mwisho wa Ukawa

Unajifurahisha sana gamba, kwa taarifa yako hakuna hata sehemu moja ukawa imewahi kuzomewa kama wanavyo zomewa ccm.angalia mkutano wa ccm huo
 

Attachments

  • 1443369865297.jpg
    1443369865297.jpg
    28.2 KB · Views: 152
Opinion polling for Tanzania General Presidential Election 2015
Mh. Dr. John Pombe Magufuli (CCM)
16.8% 2449
Mh. Edward Lowassa (CHADEMA)
81.9% 11961
Other 1.4% 199
Total Vote 14609
- See more at: VOTE ONLINE FOR TANZANIA PRESIDENT | #VOTE4TPO | Mayocoo , Special Voting portal
 
Dhamira imemsuta kujitoa cuf kaamua kurudi kimyakimya.

Angalia wana ccm mnavyotia aibu mikutanoni mwenu watu wamewakataa hadi mnawapigia magoti
 

Attachments

  • 1443369990053.jpg
    1443369990053.jpg
    25.4 KB · Views: 132
Amepumzika sababu jeshi la Lowassa na Sumaye linatosha ameona ajiandae kukabili shughuli za kutumikia wananchi kwani wanasubiria kuapishwa tu
VIVA UKAWA!!

Viva viva viva viva
 
Back
Top Bottom