Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Hizo n dalili za mtu alie shindwa
Ccm mwaka huu ni viloja yaani kuomba kura kutoka hata kwa watoto?
Hizo n dalili za mtu alie shindwa
Kama CCM wangekuwa siyo VIWAVI njaa vya kukimbilia UONGOZI nadhani safafri hii wangeacha kabisa kuteua wagombea kwenye nafasi zote ,wakawaacha wapinzani tu.
Ila kwasababu wote wanasiasa wanataka kushika DOLA/MADARAKA basi wote ni VIWAVI wanaotafuta maslahi binafsi kwanza ya TAIFA baadaye.
Safari hii hatudanganyiki hata baada ya kutuambia GADAFI ni rais wa .................
Si vyema kuombea UKAWA kusambaratika,lakini muungano babaishi kama huu ni hatari kwa maendeleo ya upinzani tz.
Jamani tutunze vichinjio vyetu
Ningekuwa na ndugu kama wewe mwenye akili hizi ningekupeleka mombasa wakale jicho lako maana ni pumba tuuuuuu
Kakataa kubeba pampers za mgonjwa !
Opinion polling for Tanzania General Presidential Election 2015
Mh. Dr. John Pombe Magufuli (CCM)
16.8% 2449
Mh. Edward Lowassa (CHADEMA)
81.9% 11961
Other 1.4% 199
Total Vote 14609
- See more at: VOTE ONLINE FOR TANZANIA PRESIDENT | #VOTE4TPO | Mayocoo , Special Voting portal
Unajifurahisha sana gamba, kwa taarifa yako hakuna hata sehemu moja ukawa imewahi kuzomewa kama wanavyo zomewa ccm.angalia mkutano wa ccm huo
Hongera sana mpiganaji
Rafiki hawa wamezidi sana kila siku wapinzani wanapenda MADARAKA lakini wao kuyapata tu lazima wahonge,sasa sijui yupi hapa anayependa.Kama hawapendi siwaache kugombea nafasi zote????
jf imekuwa sehemu ya hovyo kweli,kuna lundo la wajinga wengiiii wameletwa na ccm kushambulia hoja zao zinatia mpaka aibu,mfano hapo umeongea nini? pole sana kama ungesoma shule usinge andika ujinga huu hapa.Kama ndiyo kampeni ndiyo hizi za ccm basi nchi hii imekwisha.
Heheeee povu jingiiiii, hiyo harufu ya mdomo sasa.
Kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiKapewa rikizo ya bila malipo
Kwi kwi kwiiiiiiiiiiiii
Kapewa rikizo ya bila malipo