mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,049
- 4,904
Kwa ufupi;
Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini, Juma Ali Khatib amevitaka vyama vya siasa kuacha kutoa mashinikizo kwa Rais Samia ikiwemo madai ya katiba mpya na kutishia kufanya maandamano, kwani hivyo sio vipaumbele vya serikali vinavyotokana na matakwa ya wapiga kura.
Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini, Juma Ali Khatib amevitaka vyama vya siasa kuacha kutoa mashinikizo kwa Rais Samia ikiwemo madai ya katiba mpya na kutishia kufanya maandamano, kwani hivyo sio vipaumbele vya serikali vinavyotokana na matakwa ya wapiga kura.