johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Kama nakumbuka vizuri Vuguvugu lililokuwepo 1980s la hawa Nccr na Kamahuru lilikuwa ni la kudai Katiba Mpya kwanza ambayo ndani yake ndio itaruhusu mfumo wa Vyama vingi Vya Siasa.
Lakini Nyerere akawa mjanja zaidi akatuletea Vyama vingi kwanza.
Nimejiuliza hili swali baada ya kumsoma Dkt. Ananilea Nkya huko twitani aliyema Tuna Mfumo wa Vyama vingi Vya Siasa lakini Katiba ni ya Chama Kimoja
Na kwa hali Hiyo siyo rahisi kuipata Katiba Mpya tena
Mlale Unono 😀😀
Lakini Nyerere akawa mjanja zaidi akatuletea Vyama vingi kwanza.
Nimejiuliza hili swali baada ya kumsoma Dkt. Ananilea Nkya huko twitani aliyema Tuna Mfumo wa Vyama vingi Vya Siasa lakini Katiba ni ya Chama Kimoja
Na kwa hali Hiyo siyo rahisi kuipata Katiba Mpya tena
Mlale Unono 😀😀