Julius Mtatiro: Muongo asiye na Kumbukumbu

Julius Mtatiro: Muongo asiye na Kumbukumbu

Nicodemas Tambo Mwikozi

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2016
Posts
663
Reaction score
1,047
1471374467476.jpg


1471374490313.jpg
 
ndio umesema nini>?? mbona hueleweki? yaani haya matoto ya Lumumba hovyo kabisa.
 
COMMENT YA MCHANGIAJI







Lakini na wewe Mtatiro kwenye msiba wa Wilson Kabwe,ulilaani kitendo cha mtoto wa marehemu kutompa mkono Paul Makonda,ukasema si uungwana,unakumbuka?

Nilikukosoa na nikakuambia, kwangu mimi yule dada ni shujaa kwakuwa hakuwa na chembe ya unafiki kwa kile alichofanyiwa marehemu wakati wa uhai wake.

Leo naona majibu umeyapata,watu wanafiki haina haja ya kuwaficha,ukweli utakuweka huru,hapo SEIF kaonesha wazi kwamba moyo wake haupo na wanafiki wa CCM waliomuweka mzee Jumbe kizuizini miaka yote 32,pia wanafiki wanaowakamata na kiwatesa wafuasi wa CUF Znz.

Huo ndio ukweli na unapaswa kuwa wazi,ukweli uliojificha ni unafiki.




JIBU LA JULIUS MTATIRO


↓↓↓↓↓↓
Kuna tofauti kubwa sana kati ya tukio la Makonda na Mtoto wa Kabwe na hili. Kifo cha Kabwe hakikusababishwa Makonda. Kitendo cha Makonda kueleza tuhuma za Kabwe hadharani kilikuwa ni wajibu. Unafananisha suala hilo na hili la Shein kupora ushindi wa Wazanzibari waziwazi na kwa kutumia mabavu mwaka jana? Makonda is innocent, Shein will never be innocent kwa dhambi ya mwaka jana. Sikuwa mnafiki brother.
 
Inaonekana imewauma kweli
Fikiria tu,umefika sehemu ukasalimia watu lakini mtu mmoja akakataa kusalimiana na wewe ungejisikia vipi..!


Sasa huyo ni mkuu wa nchi amenyimwa mkono mbele ya wananchi wake unafikiri inaumiza kidogo??
 
Mtatiro ni ni mtu niliempuuza katika siasa za Tanzania, hajui ashike lipi, Mtatiro aliwai kupuuzwa na JK.. Kipindi tupo UDSM.. Alitaka kumsogelea JK.. JK akampuuza..

Mtatiro kazi yake kujadili watu na matukio tu, katika page yake ya FB... Ni mtu anaesahu sahau jana, alisema nini
 
Ni ujinga kiwango cha lami mwenzio anakunyima Dola Mabavu wewe unamnyima kiganya cha kuchambia mkuu are u insane....
Sasa ndio tumejua sura halisi ya Maalim, hivi anamnunia shain kwa lipi? umakamu wa Rais haukumtosha basi hakuna cha kumtosha, mtoto ukimpa bakuli la uji akalipiga teke kinachofuata huwa ni makofi bila kujali ana njaa.
 
Back
Top Bottom