Julius Ceaser was a black african, new study finds

So you need to know about the glory of your past in order to have confidence? So is that to say you currently don't have confidence or you are not already inspired by the black historical figures you already know? I'm sorry but I still don't see how knowing Caesar is black or white would help me right now. it won't give me any confidence right now if I knew he is black or white.

Now this is a joke. We need to know great black people in order to believe in our own people? How about the black greats we already know of right now? Don't they make us believe in ourselves? By the way what you call colonial education is the one which taught you English. You seem to be contradicting yourself at this point.


Je kuongeza knowledge kuna ubaya gani? , Waingereza wana lord Nelson na mashujaa wao wengine, lakini mbona bado wanajifunza kuhusu ceaser kwenye university zao?Mbona wanasoma greece civilisation, mbona wana schools of african studies, sikuelewi? hizi shule zinawahusu nini? i?Off course you can't deny that african history was denied to which has resulted in the inferiority complex which is evident in our people and especially leaders. The more historic knowledge, the better.

You just said it's not relevant so why are we discussing it if it isn't?By the way in the first sentence you say it is relevant.....I'm confused It's obviously relevant to you or else we are wasting time discussing what is irrelevant. Make up your mind.

[I]You are confused because you have not completely understood what I said.
I said it is not so relevant, this does not mean it is completely irrelevant, it is relevant but not to a greater extent.Understand what I wrote.You cannot be just narrow and learn only immediate things - to broaden our minds we need to learn other issues even if they appear irrelevant, yet this topic is somehow relevant especially with blacks in the diaspora because who live in a western society of which kaisari is part of it.


You claim European philosophy has alienated me but yet we are discussing European matters with which you are contributing so now the question goes back to you, what philosophy have you studies? And my point is and I still stand by it that we have enough great blacks we are sure of who can give us confidence, inspiration and believe in ourself. I don't see the point of discussing what ifs I am more interested in what is. So Caesar is black as he claims, will that change your life now? I already have enough black people who have made me confident and believe in myself and they don't necessarily have to be a famous historic figure.

As mentioned above, nobody denies that we have enough blacks to inspire us but you seem to have a stagnant mindset, what is wrong in gaining more information?You seem to throw tantrums when africans discuss african issues. If you don't see the point of discussing ceaser why are you in this forum?Why are you trying to stop us?

Ofcourse we should study black inspirational figures, not only within our own small community but globally.
 
If they don't think arguing will help anyone then why are people arguing? Or haven't you read other pots? I think what is the problem here is that people are still not proud of themselves that they need to know characters like Caesar were black in order to feel good.

It is you sir who is not proud of yourself, discussing african achievements is a sign of pride.Why are you angry, do you hate your african self?
 
Julius Caesar wasn't Italian, says historian, he was a black man … from Africa
By DEREK CLONTZ

Controversial historian Mario Bonafini received hundreds of death threats and was actually forced into hiding after an unnamed insider leaked a pre-publication copy of his explosive new book, Julius Caesar Was NOT Italian.

And far from being a spoof, the book is backed up by decades of solid research that proves Caesar came to Rome from Ethiopia and was of black descent.

"I printed the truth, and if the truth hurts, so be it, " Dr. Bonafini told me in a trans-Atlantic telephone interview before death threats drove him into hiding late last month.

"Caesar rose to power and ruled a Roman empire that still stands as one of the greatest civilizations the world has ever seen.

"Italians have always been proud of the fact that they share a gene pool that produced such a man. But my research proves their pride is misplaced and without basis. Caesar categorically was not Italian. He was a black man from Africa."

According to Dr. Bonafini's research, Caesar arrived in Rome when his parents migrated north to what is now Italy around 100 B.C. The death of his parents during a flu epidemic in 98 B.C. left the toddling Caesar without a home.


By a twist of fate, he was adopted by the influential Roman family that produced a long line of Roman leaders, most of whom carried the generic title "caesar."

He went on to become the greatest ruler of ancient times, leading a society and culture that continues to influence our thinking about politics, architecture and the arts today.

Dr. Bonafini's book outraged fellow historian Franco Brugnoli, who doesn't dispute the controversial author's research - but argues that Julius Caesar "was a Roman at heart regardless of his genetic heritage or the color of his skin."

"Caesar was reared by Romans in Rome and in that sense, he was a Roman himself," Dr. Brugnoli told me exclusively. "It really doesn't matter who his parents were or where he was born."

While Dr. Bonafini remains in hiding, his book is poised to sell like hotcakes when - and if - it is released. A spokeswoman for publisher Francia-Samsa said: "This book will sell, make no mistake. The question is, are we willing to take the heat? It's going to be racially incendiary to say the least."

This appears to be as outlandish as the claim that Jesus of Nazareth was a Black Man. Nobody should buy into this.
 
It is you sir who is not proud of yourself, discussing african achievements is a sign of pride.Why are you angry, do you hate your african self?

Haha so now we are proud of the achievements of black Caesar or? Or is being proud about this news equal to me being proud of who I am? Or is me not being excited about this news make me a not proud African? If you haven't caught my drift I was proud before I heard this news and I would have been proud whether I so this news or not. It is you sir who seems proud for the first time after your discovery of Caesar.
 
[[B]I]As mentioned above, nobody denies that we have enough blacks to inspire us but you seem to have a stagnant mindset, what is wrong in gaining more information?You seem to throw tantrums when africans discuss african issues. If you don't see the point of discussing ceaser why are you in this forum?Why are you trying to stop us?

Ofcourse we should study black inspirational figures, not only within our own small community but globally.
[/I][/
B]

Who is throwing a tantrum and who has stopped you from discussing this? What other African issues have I thrown tantrums over? Is Caesar even an African issue? Did I suggest anywhere that this thread should be stopped? And yes we do have known black inspirational figures global, people like Martin Luther King, Jr.etc. People whose blackness is a matter of fact.
 
Kwa sababu Kaisar alikuwa kiongozi wa dola ya Rumi, hata dola ya mirambo kalagosi asingeweza tokea musoma kuja kuchukua na kuendesha dola ya walugaluga hiyo ni what we call DE-FACTO
Hayo ni mawazo yako, na huja-present kitu cha kujadili.
 
watu weusi ni watu wa ajabu sana; hasa sisi wa kizazi hiki cha leo! we can't tell anything about ourselves tukakiappeciate. Tunataka validation from outside ourselves.. kama huyo mwandishi angekuwa mtu wa UDSM wala tusingechangamkia hivi! Leo hii tunaambiwa Nyerere ni Dikteta tunakubali, tunaambiwa ujamaa ulishindwa tunakubali, tunaambia hatuwezi kuendelea bila wawekezaji tunakubali, hatuwezi hatuwezi hatuwezi..

Akitokea mweusi mwenzetu toka Maneromango na kutuambia tunaweza tunamshangaa.. how dare her!
 
watu weusi ni watu wa ajabu sana; hasa sisi wa kizazi hiki cha leo! we can't tell anything about ourselves tukakiappeciate. Tunataka validation from outside ourselves.. kama huyo mwandishi angekuwa mtu wa UDSM wala tusingechangamkia hivi! Leo hii tunaambiwa Nyerere ni Dikteta tunakubali, tunaambiwa ujamaa ulishindwa tunakubali, tunaambia hatuwezi kuendelea bila wawekezaji tunakubali, hatuwezi hatuwezi hatuwezi..

Akitokea mweusi mwenzetu toka Maneromango na kutuambia tunaweza tunamshangaa.. how dare her!

sisi watu wa maajabu
Kupenda sifa zisizo na misingi, miguu ama kichwa sisi tumebaki eti kujaribu kuficha failure zetu kwa kulazimisha historia.

Mnasema Kaisar eti ilikuwa mpingo teh teh wazungu wamebadirisha historia, kwanini hawajabadirisha kwa mfalme CHAKA ?
 
Hayo ni mawazo yako, na huja-present kitu cha kujadili.

KWahiyo kwa mawazo yako ile ngoma ilikuwa Nyeusi, kwanza ilisafiri je kutoka ethiopia hadi huko bila kuliwa na simba ama kutekwa na falme zingine hapo katikati
 
KWahiyo kwa mawazo yako ile ngoma ilikuwa Nyeusi, kwanza ilisafiri je kutoka ethiopia hadi huko bila kuliwa na simba ama kutekwa na falme zingine hapo katikati

Unajua mkuu unanifurahisha sana. Unasema Ceasar hakuwa black, nimekuuliza unao uthibitisho wowote unajasema ooh huyu ni mweusi hawezi kuongoza warumi. If this is uthibitisho to you naona hatuezi kuelawana humu, wee endelea kuamini vile unavyoona maana huusaidii mjadala huu.
 
Hili jambo si WAZI kama mnavyoamini hasa watu kama MkamaP. Inabidi uende mbali kuangalia kwa nini Spain wanamshangilia sana dereva wao wa forumula 1. Kwa nini wanamchora Yesu mweupee na macho ya bluu, kwa nini Wamarekani wanajivunia ...... na utawakuta wakimshangilia "USA, USA ......" Kwanini Wageruman wanajisifia na magari yao mazuri. Kwa nini Wajapan wanatambia product zao na kujiona ndiyo wenye akili sana duniani. Mifano ipo mingi sana na inabidi mtu uende ndani sana ndiyo utaiona.

Pana siku nilisikia Mfaransa na Muitaliano wakibishana. Mfaransa akidai dada mmoja mwimbaji maarufu sana Ulaya ni wa kwao. Muitaliano akadai kuwa "ohhh, huyo ni wetu ila amehamia tu Ufaransa". Muingereza akadai kuwa hata aimbe vipi, hawezi kumshinda nyota yao maarufu "SEAN PAUL". Nilitaka kucheka kusikia "SEAN PAUL" ni Muingereza.

Ukiangalia kwenye The third Reich utagundua kuwa Wageruman walitumia sana Propaganda ya kuwaaminisha watu kuwa wao ndiyo taifa teule. Ndiyo maana Hitler alipoona Owen anashinda kama hana akili nzuri, alikimbia uwanja wa Olympic na hakutaka hata kumpa mkono. Na ili kuonyesha kuwa wao kwenye michezo wako juu sana, walimkodi Boxer mmoja aitwaye Jack Johnson aka "Galveston Giant" .
JeffriesJohnson.jpg

Huyu jamaa alikuwa na sifa kama tatu ukiacha kubonda watu, ukubwa na dharau. Alikuwa na yale matusi ya Mohammed Ali kuwa "mama yako anapiga zaidi kuliko wewe.... anakuudhi na ukichukia anakubonda". Alikuwa anapenda kuendesha kwa speed kubwa na kuheshimu sana sheria za USA na hii alithibitisha kwa kuowa Mzungu. Ilibidi akimbie nje ya USA ambako ilipofika mpambano wa ngumi kati ya Joe Louis vs. Max Schmeling (soma hapa: Joe Louis vs. Max Schmeling - Wikipedia, the free encyclopedia ) basi jamaa aliletwa ili asaidie Max ashinde. Johnson akagundua kuwa wakati Louis akitaka kupiga ngumi, basi anashusha mkono wa kushoto. Walikula zoezi jinsi ya kumpiga ngumi kipindi hicho. Siku ya pambano, Kaka yetu alipondwa na akawa hawezi kabisa kufurukuta. Ila waliporudiana, Joe Louis akawa kashajirekebisha, na Max alipondwa sijui raundi ya kwanza tu.
Kwenye pambano la kwanza, Wageruman walishangilia si kawaida na wakawa wakitumia propaganda kuwa wao ni taifa kubwa. Ila siku ya marudiano, USA ilikuwa kimyaaaa. Watu wengi hata wasiopenda weusi, wakakaa kuombea Joe ashinde. Aliposhinda, wote walitoka nje na kuanza kushangilia USA, USA, USA.........
72085-004-A1A5E48B.jpg


Hizi propaganda zinatumika sana. Kwa Waafrica wengi wanaamini kuwa SISI HATUWEZI kitu. Kila kitu ni Wazungu tu na sisi tumebaki kupinga ngoma. Kama propaganda hizi zitaanza kutumika kuwaonyesha Waafrika kuwa wao pia wamo na wanaweza kufanya maajabu wakitaka, basi imani hiyo potofu inaweza kuisha. Kuna ka mwanga kwa baadhi ya makabila Tanzania kama Wahaya na Wachaga. Wengine ndiyo hao akina Hashimu, Ngereja na Wasukuma/Wanyamwezi wengine ambao kama kawaida akipata basi maneno na dharau kibao "Unanijua mimi ni nani?" Ka ushamba ka kusema "kwa nini na mimi nisiwe tajiri mkubwa wa Africa hakuna. Unaanza KUTESA na KUTANUA hadi vinaisha...........

Acheni watu waaminishwe kuwa "TULIWEZA, TUNAWEZA na TUTAWEZA".
 
Hili jambo si WAZI kama mnavyoamini hasa watu kama MkamaP. Inabidi uende mbali kuangalia kwa nini Spain wanamshangilia sana dereva wao wa forumula 1. Kwa nini wanamchora Yesu mweupee na macho ya bluu, kwa nini Wamarekani wanajivunia ...... na utawakuta wakimshangilia "USA, USA ......" Kwanini Wageruman wanajisifia na magari yao mazuri. Kwa nini Wajapan wanatambia product zao na kujiona ndiyo wenye akili sana duniani. Mifano ipo mingi sana na inabidi mtu uende ndani sana ndiyo utaiona.

Pana siku nilisikia Mfaransa na Muitaliano wakibishana. Mfaransa akidai dada mmoja mwimbaji maarufu sana Ulaya ni wa kwao. Muitaliano akadai kuwa "ohhh, huyo ni wetu ila amehamia tu Ufaransa". Muingereza akadai kuwa hata aimbe vipi, hawezi kumshinda nyota yao maarufu "SEAN PAUL". Nilitaka kucheka kusikia "SEAN PAUL" ni Muingereza.

Ukiangalia kwenye The third Reich utagundua kuwa Wageruman walitumia sana Propaganda ya kuwaaminisha watu kuwa wao ndiyo taifa teule. Ndiyo maana Hitler alipoona Owen anashinda kama hana akili nzuri, alikimbia uwanja wa Olympic na hakutaka hata kumpa mkono. Na ili kuonyesha kuwa wao kwenye michezo wako juu sana, walimkodi Boxer mmoja aitwaye Jack Johnson aka "Galveston Giant" .
JeffriesJohnson.jpg

Huyu jamaa alikuwa na sifa kama tatu ukiacha kubonda watu, ukubwa na dharau. Alikuwa na yale matusi ya Mohammed Ali kuwa "mama yako anapiga zaidi kuliko wewe.... anakuudhi na ukichukia anakubonda". Alikuwa anapenda kuendesha kwa speed kubwa na kuheshimu sana sheria za USA na hii alithibitisha kwa kuowa Mzungu. Ilibidi akimbie nje ya USA ambako ilipofika mpambano wa ngumi kati ya Joe Louis vs. Max Schmeling (soma hapa: Joe Louis vs. Max Schmeling - Wikipedia, the free encyclopedia ) basi jamaa aliletwa ili asaidie Max ashinde. Johnson akagundua kuwa wakati Louis akitaka kupiga ngumi, basi anashusha mkono wa kushoto. Walikula zoezi jinsi ya kumpiga ngumi kipindi hicho. Siku ya pambano, Kaka yetu alipondwa na akawa hawezi kabisa kufurukuta. Ila waliporudiana, Joe Louis akawa kashajirekebisha, na Max alipondwa sijui raundi ya kwanza tu.
Kwenye pambano la kwanza, Wageruman walishangilia si kawaida na wakawa wakitumia propaganda kuwa wao ni taifa kubwa. Ila siku ya marudiano, USA ilikuwa kimyaaaa. Watu wengi hata wasiopenda weusi, wakakaa kuombea Joe ashinde. Aliposhinda, wote walitoka nje na kuanza kushangilia USA, USA, USA.........
72085-004-A1A5E48B.jpg


Hizi propaganda zinatumika sana. Kwa Waafrica wengi wanaamini kuwa SISI HATUWEZI kitu. Kila kitu ni Wazungu tu na sisi tumebaki kupinga ngoma. Kama propaganda hizi zitaanza kutumika kuwaonyesha Waafrika kuwa wao pia wamo na wanaweza kufanya maajabu wakitaka, basi imani hiyo potofu inaweza kuisha. Kuna ka mwanga kwa baadhi ya makabila Tanzania kama Wahaya na Wachaga. Wengine ndiyo hao akina Hashimu, Ngereja na Wasukuma/Wanyamwezi wengine ambao kama kawaida akipata basi maneno na dharau kibao "Unanijua mimi ni nani?" Ka ushamba ka kusema "kwa nini na mimi nisiwe tajiri mkubwa wa Africa hakuna. Unaanza KUTESA na KUTANUA hadi vinaisha...........

Acheni watu waaminishwe kuwa "TULIWEZA, TUNAWEZA na TUTAWEZA".

Sikonge
Inabidi ujisifie kilicho chako, nasio kung'ang'aniza vya watu ujisifie navyo. Hao uliowataja yawezekana walikua wanataniana pia. Mwingereza kujisifia na Newton wao ni sahihi kabisa, mfarasa kujisifia na Lagalage na akina fourier ni sawa kabisa, waitaliano kujisifia na Galileo pamoja ni Kasar wao ni sawa kabisa .Lakini ni upuuzi waafrika kujisifia na Kasair.

Tunaposhindwa lazima tuseme ama watwambie, sasa mkuu unataka wasituambie kwamba bado hatujaweza kwa sababu sisi ni WEUSI? kwani wao ndo walituchagulia JK kwa 80%, kwani wao wali hamasisha kenya akina Raila na kibaki kuamrisha watu wao kubeba mapanga?

Mie hapa nasema tujisie na vya kwetu kama Mwalimu Nyerere na si kulazimisha historia isiyokuwepo. Ni rahisi kumwambia mtu YESU alikua mweusi kuliko kujaribu kusema Kasar alikua mweusi. Na hata hivyo ni rahisi kukubali kwamba YESU ama Mohhamed hawakuwa weusi kwa sababu kuu moja tu WAAFRIKA tumeletewa habari za watu hawa na kama zingekua na vyenzo vyao hapa afrika tusingeletewa bali tungehenzi.

Waafrika walikuwa na utaalamu sana wa kufikisha ujumbe, kama Kasar angekuwa MWEUSI wangemchora tu mahala fulani kuwakirisha hoja. Leo nenda kule kawekamo mwanza utakuta wamemchora MWANAMARUNDI kwenye mawe na hayafutiki hata miaka rudi miaka nenda.

Nasimamia pale pale KAMA Kaisar angekuwa mtu mweusi BIble ingemtaja tu kwasababu ya uma manority wa race yake, utaona Bible imejitahidi kumtaja Simoni kua alikuwa mtu mweusi, pia imetaja kinagabaga kuwa mfalme wa Ethiopia alikwenda kuhiji huko Yerusalemu. fikiria huyu mwaafrika ametajwa mara moja tu ktk bible na akatajwa anatoka ethiopia, ije kuwa Kaisar aliyetajwa mara kadhaa bila kutaja race yake.

Hii ngoma bwana ilikuwa ni Muitaliano, tuache kujipa sifa zisizo na misingi
 
Nasimamia pale pale KAMA Kaisar angekuwa mtu mweusi BIble ingemtaja tu kwasababu ya uma manority wa race yake, utaona Bible imejitahidi kumtaja Simoni kua alikuwa mtu mweusi, pia imetaja kinagabaga kuwa mfalme wa Ethiopia alikwenda kuhiji huko Yerusalemu. fikiria huyu mwaafrika ametajwa mara moja tu ktk bible na akatajwa anatoka ethiopia, ije kuwa Kaisar aliyetajwa mara kadhaa bila kutaja race yake.

Hii ngoma bwana ilikuwa ni Muitaliano, tuache kujipa sifa zisizo na misingi

Kwa hiyo any account ambayo haikuwekwa kwenye Bible is FALSE kwa mujibu wako? Si ndio? with this thinking nadhani ndipo lilipo tatizo lako. Jiangalie. Huyo Dr muitaliano aliyeanzisha hili ni wazi ameaccount viashiria fulani kuhusu findings zake japo hazijawekwa wazi kwene hii habari tunayoisoma hapa. Ungefanya la maana ukisogeza mjadala mbele kwa kuweka concrete evidence kuelezea hoja yako badala ya maoni.

NB: maoni sio facts.
 
Zaidi ya hiyo habari iliyoandikwa na Derek Clontz (exactly the same article), inaonekana HAKUNA rekodi aka ushahidi kuwa kitabu kinachodaiwa kuandikwa na "Mario Bonafini" kweli kipo kwani Amazon.com, Barnes & Noble, Google Books, hata Google.it etc hakipatikani).

Bila ushahidi wa kuwapo kitabu chenyewe (mfano peer-review au citation yoyote), habari hii inabakia kuwa tungo au maoni ya Derek Clontz. Tukumbuke kitabu kinadaiwa kuandikwa kati ya 2007 na 2008, na given the very controversial nature of its subject matter, its fair to say Google would have turned up tons of hits by now.
 
Sikonge
Inabidi ujisifie kilicho chako, nasio kung'ang'aniza vya watu ujisifie navyo. Hao uliowataja yawezekana walikua wanataniana pia. Mwingereza kujisifia na Newton wao ni sahihi kabisa, mfarasa kujisifia na Lagalage na akina fourier ni sawa kabisa, waitaliano kujisifia na Galileo pamoja ni Kasar wao ni sawa kabisa .Lakini ni upuuzi waafrika kujisifia na Kasair.

Tunaposhindwa lazima tuseme ama watwambie, sasa mkuu unataka wasituambie kwamba bado hatujaweza kwa sababu sisi ni WEUSI? kwani wao ndo walituchagulia JK kwa 80%, kwani wao wali hamasisha kenya akina Raila na kibaki kuamrisha watu wao kubeba mapanga?

Mie hapa nasema tujisie na vya kwetu kama Mwalimu Nyerere na si kulazimisha historia isiyokuwepo. Ni rahisi kumwambia mtu YESU alikua mweusi kuliko kujaribu kusema Kasar alikua mweusi. Na hata hivyo ni rahisi kukubali kwamba YESU ama Mohhamed hawakuwa weusi kwa sababu kuu moja tu WAAFRIKA tumeletewa habari za watu hawa na kama zingekua na vyenzo vyao hapa afrika tusingeletewa bali tungehenzi.

Waafrika walikuwa na utaalamu sana wa kufikisha ujumbe, kama Kasar angekuwa MWEUSI wangemchora tu mahala fulani kuwakirisha hoja. Leo nenda kule kawekamo mwanza utakuta wamemchora MWANAMARUNDI kwenye mawe na hayafutiki hata miaka rudi miaka nenda.

Nasimamia pale pale KAMA Kaisar angekuwa mtu mweusi BIble ingemtaja tu kwasababu ya uma manority wa race yake, utaona Bible imejitahidi kumtaja Simoni kua alikuwa mtu mweusi, pia imetaja kinagabaga kuwa mfalme wa Ethiopia alikwenda kuhiji huko Yerusalemu. fikiria huyu mwaafrika ametajwa mara moja tu ktk bible na akatajwa anatoka ethiopia, ije kuwa Kaisar aliyetajwa mara kadhaa bila kutaja race yake.

Hii ngoma bwana ilikuwa ni Muitaliano, tuache kujipa sifa zisizo na misingi

Usichukulie biblia kama kitabu cha historia.Biblia ni maoni tu la kabila la wajews yako mambo kwenye biblia ambayo ni kweli lakini mengi ni hadithi za wahayahudi tu.
 
Khee nimeenda kulala na sasa nimeamka mijitu bado inabishana tu kuhusu Juliasi Kaizari.....sijui niseme tu...sijui nisiseme.....aaaaah
 
Zaidi ya hiyo habari iliyoandikwa na Derek Clontz (exactly the same article), inaonekana HAKUNA rekodi aka ushahidi kuwa kitabu kinachodaiwa kuandikwa na "Mario Bonafini" kweli kipo kwani Amazon.com, Barnes & Noble, Google Books, hata Google.it etc hakipatikani).

Bila ushahidi wa kuwapo kitabu chenyewe (mfano peer-review au citation yoyote), habari hii inabakia kuwa tungo au maoni ya Derek Clontz. Tukumbuke kitabu kinadaiwa kuandikwa kati ya 2007 na 2008, na given the very controversial nature of its subject matter, its fair to say Google would have turned up tons of hits by now.

Kitabu hakijachapishwa bado, tusubili kitoke tuangalie facts na ndipo tutoe definite judgement.Kumbuka kimeandikwa na muitaliano sio muafrika who has a lot to loose.
 
Who is throwing a tantrum and who has stopped you from discussing this? What other African issues have I thrown tantrums over? Is Caesar even an African issue? Did I suggest anywhere that this thread should be stopped? And yes we do have known black inspirational figures global, people like Martin Luther King, Jr.etc. People whose blackness is a matter of fact.

Here is an historian(who is not african) that has suggested that Kaisari may have african origins so this could potentially be an african issue just like obama who is not an african president but is still being discussed in Africa.

The historian has suggested. Let us look at the evidence when the book is out.But this does not stop us discussing this or African history in general and how many facets of African history were stolen like the st Maurice issue which I had discussed previously.I did also mentioned black inspirational figures like, pharaos etc whose achievements in my opinion kaisari will never match.So you are wrong to think that the kaisari issue for me is the most important for african history ,far from it,have you read my previous posts?
 
Kitabu hakijachapishwa bado, tusubili kitoke tuangalie facts na ndipo tutoe definite judgement.Kumbuka kimeandikwa na muitaliano sio muafrika who has a lot to loose.

"I printed the truth, and if the truth hurts, so be it, " Dr. Bonafini told me in a trans-Atlantic telephone interview before death threats drove him into hiding late last month."

Tupe chanzo chako kwamba "kitabu" bado kuchapishwa kwani "Mario Bonafini" mwenyewe, ambaye anadaiwa kuwa ndiyo Mwandishi kanukuliwa akisema "kitabu" kimeshapachishwa.

Jee, una vyanzo vingine vyovyote juu ya "kitabu" hiki zaidi ya Derek Clontz?

Ingesaidia pia ukatupa orodha ya vitabu vingine alivyowahi kuandika huyu "controversial Historian" "Mario Bonafini" (hata vya lugha ya Ki-Italiani).
 
Haha so now we are proud of the achievements of black Caesar or? Or is being proud about this news equal to me being proud of who I am? Or is me not being excited about this news make me a not proud African? If you haven't caught my drift I was proud before I heard this news and I would have been proud whether I so this news or not. It is you sir who seems proud for the first time after your discovery of Caesar.

A Non sequitur statement.
Already replied in my previous post.
 
Back
Top Bottom