Julius Ceaser was a black african, new study finds

Julius Ceaser was a black african, new study finds

MkapaP,
Kama nilivyosema, inabidi kwenda ndani sana sana kufahamu ninataka kusema nini. Kwa mtu mwenye mwanga, maneno kama hayo hayana maana kabisa. Ila kwa watu waliokata tamaa na maisha ya Africa, yanaweza kuleta FARAJA.

Awe Mweusi au Mzungu, haina maana yeyote kwangu. Mie leo naweza kujali jirani yangu Mchaga au Mhaya awe na maisha mazuri kwani nikikwama huwa ananisaidia na sintajali kama Mnyamwezi mwenzangu anayeishi km 5 kutoka kwangu na huwa tunakutana tu kanisani jumapili anafanikiwa au kukwama vipi. Kama kwa kusema hili neno basi kuna WEUSI wataanza kujiamini kuwa na sisi tunaweza (USA sasa kila mtu anaamini kuwa mwanae anaweza kuwa RAIS) basi na iwe hivyo hata kama wanadanganya. Kikwete aliwadanganya na bado mko hai na kuingia hasara zaidi. Kama hili litaweza kuleta faida basi Mpoto anasema "TULIPITISHE".

Naanza kuamini kuwa KINJIKITILE alikuwa na akili sana sana kuzidi wengi wetu humu ndani wasiyoliona hili.
 
I don't see any harm for Julius Kaisar being black, yellow or white, what matters is the lay down facts to prove otherwise. Not every history documents are facts or truth. Ignorant, Biased writers and researchers are likely to produce biased information's.
Human civilization history is continuation process, for learning, understanding the universe. African have done a lot achievements in the past, and there many achievements not documented or are misled.
Did you expect an colonial master to embrace the African achievements, while the agenda was to rule, kill, enslave, siphon our wealth, rape our sisters and scare hell out of us? That was achieved in 1884 Berlin conference.
It looks like some us still suffers from colonial hangover.
 
Here is an historian(who is not african) that has suggested that Kaisari may have african origins so this could potentially be an african issue just like obama who is not an african president but is still being discussed in Africa.

Does discussing Obama make him an African issue? Now you are acting like the Kenyans who had a public holiday just because Obama was elected the U.S. president. I think you haven't caught my point yet. Look if Caesar is black fine if it will ever be proven as a historical fact but it doesn't change anything for us currently. Some people in here(not necessarily you) act like this is the greatest thing to happen to Africans. Caesar was emperor of Rome, celebrating him being black is the same as being proud of black players who are playing for European teams, I just don't see how it currently helps us. By the way look at the word you used in your first sentence...."suggestion". What is the definition of suggestion?

The historian has suggested. Let us look at the evidence when the book is out.But this does not stop us discussing this or African history in general and how many facets of African history were stolen like the st Maurice issue which I had discussed previously.I did also mentioned black inspirational figures like, pharaos etc whose achievements in my opinion kaisari will never match.So you are wrong to think that the kaisari issue for me is the most important for african history ,far from it,have you read my previous posts?

O.k. mkuu but you have repeated the word "suggestion" but some people are still talking about it as if that's now the fact. So what happens if this author is dis-proven as being inaccurate? I won't hold my breathe. If colonialists or whites have distorted African history like you say what hopes do you have that they won't do everything in their power to discredit this? In the history of the world is this Italian the first one to realize this? Today? If someone came up and said some historic black figure was in fact white would you agree with him and listen to his facts?
 
Does discussing Obama make him an African issue? Now you are acting like the Kenyans who had a public holiday just because Obama was elected the U.S. president. I think you haven't caught my point yet. Look if Caesar is black fine if it will ever be proven as a historical fact but it doesn't change anything for us currently. Some people in here(not necessarily you) act like this is the greatest thing to happen to Africans. Caesar was emperor of Rome, celebrating him being black is the same as being proud of black players who are playing for European teams, I just don't see how it currently helps us. By the way look at the word you used in your first sentence...."suggestion". What is the definition of suggestion?



O.k. mkuu but you have repeated the word "suggestion" but some people are still talking about it as if that's now the fact. So what happens if this author is dis-proven as being inaccurate? I won't hold my breathe. If colonialists or whites have distorted African history like you say what hopes do you have that they won't do everything in their power to discredit this? In the history of the world is this Italian the first one to realize this? Today? If someone came up and said some historic black figure was in fact white would you agree with him and listen to his facts?

Is there any history which was documented by blacks and then distorted ?
 
Mkapa P
Are you aware of the hamitic hypothesis?

Absolutely null, however some years back I came across with this writings.

"The term Hamitic originally referred to the peoples believed to have been descended from the biblical Ham, one of the Sons of Noah. Over history, there have been several separate, but interrelated, interpretations of the term. In the Bible, the sons of Ham include peoples who were traditionally enemies of the Jews, notably the Egyptians and the Canaanites. While the Canaanites competed with the Israelites for the same territory, Ham's sons were said to have fathered the peoples of Africa. Of Ham's four sons, Canaan, fathered the Canaanites, while Mizraim fathered the Egyptians, Cush the Kushites and Phut the "Libyans".[1]

A literal interpretation of the Bible leads literalists to believe that all of humanity was descended from Noah. Chapters 9 and 10 of the Book of Genesis deal with the dispersing of Noah's sons into the world. The name of Cush, Ham's eldest son, means "black" in Hebrew, and "Caanan" means "trader", "trafficker", or "lowland". The word "Ham" in Hebrew moreover means "hot" or "multitude", and is thus not necessarily a racial reference.[2] Although using Hebrew to define these names will result in inaccurate translations due to the fact that Noah and his sons were not Hebrew. And in fact, according to Genesis 11:10-26, they lived thousands of years before Abram (later Abraham), who is the father of the Hebrew people.

According to Bernard Lewis, the sixth-century Babylonian Talmud states that "the descendants of Ham are cursed by being Black and are sinful with a degenerate progeny."[3] However, an exhaustive online search of the Soncino translation of the Babylonian Talmud reveals no such statement, nor a similar statement. Instead the rabbis are found discussing what the nature of Ham's offense was, such that his fourth son was cursed. Nevertheless, slave holders, slavery defenders and racial theorists used similar formulations to justify African slavery in the Americas.[4]"
 
Absolutely null, however some years back I came across with this writings.

"The term Hamitic originally referred to the peoples believed to have been descended from the biblical Ham, one of the Sons of Noah. Over history, there have been several separate, but interrelated, interpretations of the term. In the Bible, the sons of Ham include peoples who were traditionally enemies of the Jews, notably the Egyptians and the Canaanites. While the Canaanites competed with the Israelites for the same territory, Ham's sons were said to have fathered the peoples of Africa. Of Ham's four sons, Canaan, fathered the Canaanites, while Mizraim fathered the Egyptians, Cush the Kushites and Phut the "Libyans".[1]

A literal interpretation of the Bible leads literalists to believe that all of humanity was descended from Noah. Chapters 9 and 10 of the Book of Genesis deal with the dispersing of Noah's sons into the world. The name of Cush, Ham's eldest son, means "black" in Hebrew, and "Caanan" means "trader", "trafficker", or "lowland". The word "Ham" in Hebrew moreover means "hot" or "multitude", and is thus not necessarily a racial reference.[2] Although using Hebrew to define these names will result in inaccurate translations due to the fact that Noah and his sons were not Hebrew. And in fact, according to Genesis 11:10-26, they lived thousands of years before Abram (later Abraham), who is the father of the Hebrew people.

According to Bernard Lewis, the sixth-century Babylonian Talmud states that "the descendants of Ham are cursed by being Black and are sinful with a degenerate progeny."[3] However, an exhaustive online search of the Soncino translation of the Babylonian Talmud reveals no such statement, nor a similar statement. Instead the rabbis are found discussing what the nature of Ham's offense was, such that his fourth son was cursed. Nevertheless, slave holders, slavery defenders and racial theorists used similar formulations to justify African slavery in the Americas.[4]"

Nilitaka mawazo yako mwenyewe kuhusu hamitic hypothesis.Sasa wewe umecopy and paste, na inaelekea ujui ulichocopy hapo juu.

Explain to me in your own words, what was the hamitic hypothesis and its implications on african history?

If you can't answer this then I will not argue with you.


You are not worth my time.
 
Nilitaka mawazo yako mwenyewe kuhusu hamitic hypothesis.Sasa wewe umecopy and paste, na inaelekea ujui ulichocopy hapo juu.

Explain to me in your own words, what was the hamitic hypothesis and its implications on african history?

If you can't answer this then I will not argue with you.


You are not worth my time.

najikoti maneno yangu
"Absolutely null, however some years back I came across with this writings."

Na hata hivyo nimeuliza swali ya kwamba ni ktkt documentation zipi ambazo historia zetu tulijiwekea, harafu baadae zikaja korogwa na eventually distorted. Hili ndo core question.

Otherwise, I won't buy any longolongo which ur trying to sail with.
 
mbona watu wengi tunapenda kua ''reactonaries'' inawezekana just lets wait and read the book, nothing is impossible! kwani si ukweli kulishawai kuwa na pope mswahili aliyekua na asili ya sudan, alafu wengi mfahamu, kipindi icho karibu dunia nzima maendeleo yalikua yanafanana kwa iyo kulikua hamna kitu kinaitwa africa-umasikini na ulaya-utajirini, ninachojua watanzania wengi ni wavivu wa kusoma au kutaka kutafuta ukweli zaidi ya kung'ang'ania yaliyo ktk vitabu kwa mfano mtu yoyote ukisoma kitabu cha ''CHARIOT OF THE GOD BY ERICH VON DANIKEN'' kama ukiwa hujafungwa uwezo wako wa kufikiri na maandiko ya biblia au quran, utaona sense na itakufanya ufikirie upya izi dini za mapokeo tulizopewa!
 
Bona kuna sintofahamu sababu ya kutojibidisha kuelewa na kufahamu.Miaka ya zamani kuna waliosema dunia ni meza baadae ikakubalika kuwa dunia si meza.Hapa kwetu kuna watu waliosema Mwalimu Nyerere alikuwa mtu wa kwanza kutokaTanganyika kupata shahada yaani degree wakati si kweli.Kuna wazungu watalii wa enzi za kale waliosema wamegundua mlima Kilimanjaro au ziwa Victoria,ila ukweli ni wazungu wa mwanzo kutoka nchi husika kuona Mlima Kilimanjaro au ziwa Victoria,kwani kulikuwa na wenyeji kwa maeneo husika toka enzi za kale.
 
mbona watu wengi tunapenda kua ''reactonaries'' inawezekana just lets wait and read the book, nothing is impossible! kwani si ukweli kulishawai kuwa na pope mswahili aliyekua na asili ya sudan, alafu wengi mfahamu, kipindi icho karibu dunia nzima maendeleo yalikua yanafanana kwa iyo kulikua hamna kitu kinaitwa africa-umasikini na ulaya-utajirini, ninachojua watanzania wengi ni wavivu wa kusoma au kutaka kutafuta ukweli zaidi ya kung'ang'ania yaliyo ktk vitabu kwa mfano mtu yoyote ukisoma kitabu cha ''CHARIOT OF THE GOD BY ERICH VON DANIKEN'' kama ukiwa hujafungwa uwezo wako wa kufikiri na maandiko ya biblia au quran, utaona sense na itakufanya ufikirie upya izi dini za mapokeo tulizopewa!

Pope waswahili wameshakuwepo kama 5 hivi kama sijakosea, Na wao ktk vitabu hawajatajwa sana lakini asili yao imebainishwa maramoja pale walipotajwa. Tatizo ni huyu Kaisar katajwa mara nyingi sana ktk vitabu tofauti na kama angekuwa mpingo naamini wangemtaja. Sasa huyo mwana historia amefanya DNA za mifupa za huyo Kaisar?
 
when i was studying history in Ukraine in 1995 ,.the man Pushkin very popular in acient Russian History, anatambulika kama ana asili ya Africa na baba yake alitokea Ethiopia na historia haijafichwa.Waitaliano ni mchanganyiko wa WASEGANI,. sasa ole wako wakuone kuwa ni msegani utajaza.,ni bora ujisingizie muhindi au mchanganyiko wowote ndio ponea yako,masegani walioendelea ni walinzi[mgambo wa kampuni binafsi].
Historia kwenye Bible inaonyesha SIMON aliyemsaidia Yesu msalaba alikuwa ni mweusi aliyetokea Ethiopia.hivyo sio ajabu kusikia kuwa mweusi alikuwa huko enzi hizo
  • Tatizo la kuficha historia ndio hilo,linatugharimu.Hata Zanzibar ndio tumekuwa wale wale...
  • Hatuna mwisho wa historia yetu ya asili.,utawala wa mwinyi mkuu uliishia wapi.,kama mwenyewe alifariki na mtoto wake ambaye ni mrithi wake alifariki pia,je ndio ulikuwa ndio mwisho?hakukuwa na mwingine? mwarabu aliingiaje?
  • Uhuru wa zanzibar, je ulipatikana kwa kumwaga Damu?
  • Mbona historia ya demokrasia imefichwa?
  • Kiongozi wa kwanza wa zanzibar baada ya uhuru ni nani MWARABU AU KARUME?
  • Zanzibar ilipata uhuru toka kwa nani ?MWARABU AU MWINGEREZA?
  • JE Kiongozi wetu wa zanzibar baada ya Uhuru alikuwa na asili ya kiarabu kweli?[SHAMTE????]
  • Uongo wa kuficha historia utatugharimu mno
 
when i was studying history in ukraine in 1995 ,.the man pushkin very popular in acient russian history, anatambulika kama ana asili ya africa na baba yake alitokea ethiopia na historia haijafichwa.waitaliano ni mchanganyiko wa wasegani,. Sasa ole wako wakuone kuwa ni msegani utajaza.,ni bora ujisingizie muhindi au mchanganyiko wowote ndio ponea yako,masegani walioendelea ni walinzi[mgambo wa kampuni binafsi].
Historia kwenye bible inaonyesha simon aliyemsaidia yesu msalaba alikuwa ni mweusi aliyetokea ethiopia.hivyo sio ajabu kusikia kuwa mweusi alikuwa huko enzi hizo
  • tatizo la kuficha historia ndio hilo,linatugharimu.hata zanzibar ndio tumekuwa wale wale...
  • hatuna mwisho wa historia yetu ya asili.,utawala wa mwinyi mkuu uliishia wapi.,kama mwenyewe alifariki na mtoto wake ambaye ni mrithi wake alifariki pia,je ndio ulikuwa ndio mwisho?hakukuwa na mwingine? Mwarabu aliingiaje?
  • uhuru wa zanzibar, je ulipatikana kwa kumwaga damu?
  • mbona historia ya demokrasia imefichwa?
  • kiongozi wa kwanza wa zanzibar baada ya uhuru ni nani mwarabu au karume?
  • zanzibar ilipata uhuru toka kwa nani ?mwarabu au mwingereza?
  • je kiongozi wetu wa zanzibar baada ya uhuru alikuwa na asili ya kiarabu kweli?[shamte????]
  • uongo wa kuficha historia utatugharimu mno

thanx jf iam getting stronger and strog
 
Am not suprised, history has always been manipulated. I have just finished reading this book 'Silences in African history' by Jacques Depelchin, its the same story. I guess Lucky Dube was right when he sang 'no truth in this world'.
 
Miafrika bana...always want to prove everything perceived to be 'great' was black!
 
Miafrika bana...always want to prove everything perceived to be 'great' was black!

A Lesson in Black History: The Statue of Liberty
It is hard to believe that after my many years of schooling (secondary and post)
the following facts about the Statue of Liberty were never taught.
Hundreds of thousands (if not millions) of people including myself have
visited the Statue of Liberty over the years yet I'm unable to find one
person who knows the true history behind the Statue...amazing!
Yes, amazing that so much important Black history (such as this) is hidden from us (Black and White).
What makes this even worse is the fact that the current twist on history perpetuates and promotes
white supremacy at the expense of Black Pride!
During my visit to France I saw the original Statue of Liberty. However,
there was a difference...the statue in France is BLACK!!!!!! "Ya learn
something new everyday!"
The Statue of Liberty was originally a Black woman. But, as memory serves, it was because the model was Black.
In a book called "The Journey of The Songhai People," as Dr. Jim Haskins (a member of the National Education
Advisory Committee of the Liberty-Ellis Island Committee, professor of English at the University of Florida ,
and prolific Black author) points out that is what stimulated the original idea for that 151 foot statue in the harbor.
He says that the idea for the creation of the statue initially was to acknowledge the part that Black soldiers played
in the ending of Black African Bondage in the United States .
It was created in the mind of the French historian Edourd de Laboulaye,
Chairman of the French Anti-Slavery Society, who, together with sculptor Frederic Auguste Bartholdi,
proposed to the French government that the people of France present to the people of the United States
through the American Abolitionist Society, the gift of a Statue of Liberty in recognition of the fact that Black soldiers
won the Civil War in the United States. It was widely known then that it was Black soldiers who played the pivotal role
in winning the war, and this gift would be a tribute to their prowess.
Suzanne Nakasian, director of the Statue of Liberty, Ellis Island
Foundations' National Ethnic Campaign said that the Black Americans' direct connection to Lady Liberty is unknown
to the majority of Americans, BLACK or WHITE.
When the statue was presented to the US . Minister to France in 1884, it is said that he remonstrated that the dominant
view of the broken shackles would be offensive to the U.S. South because the statue was a reminder of Blacks winning
their freedom. It was a reminder to a beaten South of the ones who caused their defeat, their despised former captives.
Documents of Proof:
1.) You may go and see the original model of the Statue of Liberty, with the broken chains at her feet and in her left hand.
Go to the Museum of the City of NY, Fifth Avenue and 103rd Street (212) 534-1672 or call the same number and dial ext. 208
and speak to Peter Simmons and he can send you some documentation.
2.) Check with the N.Y. Times magazine, part II May 18, 1986.
3.) The dark original face of the Statue of Liberty can be seen in the N.Y. Post June 17, 1986, also the Post stated the reason
for the broken chains at her feet.
4.) Finally, you may check with the French Mission or the French Embassy at the U.N. or in Washington , D.C. and ask for some
original French material on the Statue of Liberty, including the Bartholdi original model. You can call in September (202) 944-6060 or 6400.

Source: H-Africa
 
This is very amusing news.
Julius Caesar was a black man?? I dunno, it sounds a bit far fetched, kinda reminds me of that other story which claimed Cleopatra was black.
But if he was black then surely he must have had a lighter skin tone than most black people, I'm sure all the histories in the world would not have missed out such an important detail when recounting his conquests.
Also all the artists and sculptors who created paintings and carvings of his image surely could have not been color blind or perhaps he ordered them to depict him as a white man?? No that doesn't even sound right, I say this is pure bullsh*t.

Only true if in those times people were worried about color the way we are today!
 
Back
Top Bottom