Ilikuwaje mkuu?[/B]
huenda hii ikatutoa hapo tulipo, niliwahi kuhudhuria mkutano wa Kimataifa Uganda nikiwa na Waziri Fulani, nilijuta hata kujitambulisha kama mm ni mtz
Sababu ya kuitwa JAMHURI ni kuzaliwa 1962 Tanganyika ilipopata kuwa Jamhuri
Kuna watu wana akili finyu sana humu, eti kwa kuwa Julio anabwabwaja basi hajasoma. Mwingine anadiriki kusema 'eti' hata darasa la saba anaweza kuwa hajafika. Wale wenye shahada za uchumi kule bungeni na bado wanaongea pumba hamuwaoni? Kihwelu ana kauli za kufurahisha, huwezi kuacha kumsikiliza na huwa haongei pumba.
Kuhusu elimu ana diploma ya Ukocha na leseni ya CAF, sasa sijui hivyo vyote aliokota jalalani?
Basi itakuwa 1961 mk uu!
Asante sana mkuu,hii nondo yako imeniongezea kitu kikubwa kwenye haya mambo ya civicsMwaka 1961 Tanganyika ilipata UHURU na 1962 ikawa JAMHURI. Maana yake ni kuwa kati ya 1961 na 1962 head of State alikuwa Malkia n tulipopata Uhuru akakoma kuwa mkuu wa nchi. Thats why mwaka 1961 NYERERE alikuwa Waziri Mkuu na sio Rais
Nijuavyo mimi sekondari alisoma (kama sio kuhudhuria) Kinondoni (MUSLIM) na alipata 0 ........ hakuna cheti hapo
Mkuu kuhusu Elimu Apeleke kwanza Cheti Cha Form 4..Hayo mengine yatafuata..
Unatakiwa ufikirie kwa akili ya kawaida ya kuvukia barabara, kama mtu anakuwa diploma anakosa vipi cheti cha CSEE?
Kupoteza nyaraka ni jambo la kawaida, watu wamepoteza ndege yenye mamia ya abiria sembuse hako kacheti ka NECTA, hembu kuweni kama watu wazima wakati mwingine.