Sasa kama ni Engineer anatafuta nini Simba, si atafute tenda akajenge madaraja yetu yaliyobomoka ambayo hayapitiki?Ukishaona club yoyote ya hapa Tanzania inaongozwa na mtu alieajiriwa kwingine jua ile anaitumia tu kumkeep busy wala hayupo serious.Itakuwa yaleyale ya Rage na uenyekiti wa Simba huku akiwa mbunge, wewe huoni hata akina Magori waliona ngoma ngumu wakaachia ngazi ili waendelee kukamua NSSF? You can not save two masters at the same time inakuwa kama wale jamaa wanaotudanganya eti unaweza kuwowa wanawake wanne then ukawapa haki sawa hahahaha never on earth