Julio wa Simba apoteza cheti chake

Julio wa Simba apoteza cheti chake

Sasa kama ni Engineer anatafuta nini Simba, si atafute tenda akajenge madaraja yetu yaliyobomoka ambayo hayapitiki?Ukishaona club yoyote ya hapa Tanzania inaongozwa na mtu alieajiriwa kwingine jua ile anaitumia tu kumkeep busy wala hayupo serious.Itakuwa yaleyale ya Rage na uenyekiti wa Simba huku akiwa mbunge, wewe huoni hata akina Magori waliona ngoma ngumu wakaachia ngazi ili waendelee kukamua NSSF? You can not save two masters at the same time inakuwa kama wale jamaa wanaotudanganya eti unaweza kuwowa wanawake wanne then ukawapa haki sawa hahahaha never on earth
Shekhe watutafutiani siye.....
 
tujadili kidogo hata hii sifa ya Form Four halafu uingie mkataba na Multi Choice, Etoile Du Sahel, unadike barua kadhaa FIFA, ushiriki warsha semina makongamano kitaifa na kimataifa?????
Mkuu sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika.

Kwa kuwa huwezi kuwa Waziri bila kuwa Mbunge, je ni Mawaziri au Wabunge wangapi mjengoni wana sifa hiyo? Kuna sifa nyingine zinatajwa kutumika ili mradi kufunika kombe mwanaharamu apite lakini hebu jaribu kuhudhuria kampeni ch auchaguzi uone jinsi wagombea wenye elimu ndogo wanavyosasambuliwa mbaya....

Kwa ufupi ni kwamba ingawa Elimu ya Juu (Shahada) na kuendelea haitajwi sana lakini ndiyo sifa kuu ya kuwa Kiongozi hivi sasa.
 
tujadili kidogo hata hii sifa ya Form Four halafu uingie mkataba na Multi Choice, Etoile Du Sahel, unadike barua kadhaa FIFA, ushiriki warsha semina makongamano kitaifa na kimataifa?????
Ndugu yangu wewe kazi za kudraft barua ni kazi za secretary kwa hiyo siamini klabu kubwa kama Simba hainaga secretary.Nyie mwacheni akagombee kura iwe ndiyo mwamuzi wa mwisho
 
Mnajua Kabisa tukimpata Julio huku Simba tutakuwa tumeua ndege wawili, maana anatosha kuwa afisa habari pia
 
Mkuu sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika.

Kwa kuwa huwezi kuwa Waziri bila kuwa Mbunge, je ni Mawaziri au Wabunge wangapi mjengoni wana sifa hiyo? Kuna sifa nyingine zinatajwa kutumika ili mradi kufunika kombe mwanaharamu apite lakini hebu jaribu kuhudhuria kampeni ch auchaguzi uone jinsi wagombea wenye elimu ndogo wanavyosasambuliwa mbaya....

Kwa ufupi ni kwamba ingawa Elimu ya Juu (Shahada) na kuendelea haitajwi sana lakini ndiyo sifa kuu ya kuwa Kiongozi hivi sasa.


huenda hii ikatutoa hapo tulipo, niliwahi kuhudhuria mkutano wa Kimataifa Uganda nikiwa na Waziri Fulani, nilijuta hata kujitambulisha kama mm ni mtz
 
Ndugu yangu wewe kazi za kudraft barua ni kazi za secretary kwa hiyo siamini klabu kubwa kama Simba hainaga secretary.Nyie mwacheni akagombee kura iwe ndiyo mwamuzi wa mwisho

Mkuu ikiwa ndivyo basi na Julio akaendelee na ukocha, lakni pia utafakari vizur andiko langu
 
sasa nimeelewa pia vizuri ni kwa nini Julio anadai bado ni kocha Simba ilihali alikua haripoti kazini na tayari ana mwajiri mwingine
 
Back
Top Bottom