Julio wa Simba apoteza cheti chake

Julio wa Simba apoteza cheti chake

Kama kilipotea aliwahi kutoa tangazo gazetini ili asaidiwe kupatikana kwake.... Muongo tu huyo kama anacho aseme hapa ni cha mwaka gani na alikipatia shule gani....
 
Kocha Julio akiwa katika harakati za kugombea nafasi ktk chama Simba,amepotelewa na cheti chake cha form four.Hii inampa wakati mgumu mgombea huyu kutokana na vigezo vya kugombea ktk club hiyo.MY TAKE:NO COMMENT

kama ni kweli alisoma hiyo form four mbona kumbukumbu zitakuwepo NEC. Tatizo liko wapi? Na hao wengine waliopeleka vya kwao NEC wanaweza kuvihakiki! Kamati ya uchaguzi iwasilie na NEC na walipie hiyo huduma ipo
 
Kocha Julio akiwa katika harakati za kugombea nafasi ktk chama Simba,amepotelewa na cheti chake cha form four.Hii inampa wakati mgumu mgombea huyu kutokana na vigezo vya kugombea ktk club hiyo.MY TAKE:NO COMMENT

Wewe utakuwa kambi ya Kaburu Nyange huna lolote,kwa taarifa yako hata huyo Kaburu Nyange hana hata hiyo form four
 
kama ni kweli alisoma hiyo form four mbona kumbukumbu zitakuwepo NEC. Tatizo liko wapi? Na hao wengine waliopeleka vya kwao NEC wanaweza kuvihakiki! Kamati ya uchaguzi iwasilie na NEC na walipie hiyo huduma ipo
Kama amepotelewa na cheti kweli mbona NECTA inatoa Statement of Result, aende NECTA akapatiwe taratibu za kupatiwa nyaraka hiyo....
 
Wakuu nimetoka mchana huu ofisi za PSI maeneo ya Bamaga, nimemuona Jamhuri Kihwelo "Julio" akitoka ofisi za Baraza la Mitihani la Tanzania. Bila shaka atakuwa amelifanyia kazi wazo la kuchukua Statement of Result"....
 
Wakuu nimetoka mchana huu ofisi za PSI maeneo ya Bamaga, nimemuona Jamhuri Kihwelo "Julio" akitoka ofisi za Baraza la Mitihani la Tanzania. Bila shaka atakuwa amelifanyia kazi wazo la kuchukua Statement of Result"....

sijajua itakiua saa ngapi, kuna mida nilimuona akitoka Polisi Msimbazi, biila shaka kuchukua lost form
 
huenda alidhani cheti cha "ukocha" kingefunika kombe"
 
Huyu jamaa si Engineer?

Sasa kama ni Engineer anatafuta nini Simba, si atafute tenda akajenge madaraja yetu yaliyobomoka ambayo hayapitiki?Ukishaona club yoyote ya hapa Tanzania inaongozwa na mtu alieajiriwa kwingine jua ile anaitumia tu kumkeep busy wala hayupo serious.Itakuwa yaleyale ya Rage na uenyekiti wa Simba huku akiwa mbunge, wewe huoni hata akina Magori waliona ngoma ngumu wakaachia ngazi ili waendelee kukamua NSSF? You can not save two masters at the same time inakuwa kama wale jamaa wanaotudanganya eti unaweza kuwowa wanawake wanne then ukawapa haki sawa hahahaha never on earth
 
tujadili kidogo hata hii sifa ya Form Four halafu uingie mkataba na Multi Choice, Etoile Du Sahel, unadike barua kadhaa FIFA, ushiriki warsha semina makongamano kitaifa na kimataifa?????
 
kumbuka refarii upara naye alikua injinia, na yeye ungemtupia haya maswali, Tenga kadhalika alikua injinia, Mwalusako etc
Sasa kama ni Engineer anatafuta nini Simba, si atafute tenda akajenge madaraja yetu yaliyobomoka ambayo hayapitiki?Ukishaona club yoyote ya hapa Tanzania inaongozwa na mtu alieajiriwa kwingine jua ile anaitumia tu kumkeep busy wala hayupo serious.Itakuwa yaleyale ya Rage na uenyekiti wa Simba huku akiwa mbunge, wewe huoni hata akina Magori waliona ngoma ngumu wakaachia ngazi ili waendelee kukamua NSSF? You can not save two masters at the same time inakuwa kama wale jamaa wanaotudanganya eti unaweza kuwowa wanawake wanne then ukawapa haki sawa hahahaha never on earth
 
Tunaomba matokeo ya Dalali aliyosoma QT.

Simba inaongoza kwa kuwa na viongozi na wanachama vilaza.
 
wewe lazima utakuwa muganyizi
Sasa kama ni Engineer anatafuta nini Simba, si atafute tenda akajenge madaraja yetu yaliyobomoka ambayo hayapitiki?Ukishaona club yoyote ya hapa Tanzania inaongozwa na mtu alieajiriwa kwingine jua ile anaitumia tu kumkeep busy wala hayupo serious.Itakuwa yaleyale ya Rage na uenyekiti wa Simba huku akiwa mbunge, wewe huoni hata akina Magori waliona ngoma ngumu wakaachia ngazi ili waendelee kukamua NSSF? You can not save two masters at the same time inakuwa kama wale jamaa wanaotudanganya eti unaweza kuwowa wanawake wanne then ukawapa haki sawa hahahaha never on earth
 
Back
Top Bottom