Julio wa Simba apoteza cheti chake

Julio wa Simba apoteza cheti chake

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,962
Reaction score
134,053
Kocha Julio akiwa katika harakati za kugombea nafasi ktk chama Simba,amepotelewa na cheti chake cha form four.Hii inampa wakati mgumu mgombea huyu kutokana na vigezo vya kugombea ktk club hiyo.MY TAKE:NO COMMENT
 
Siku zote hizo alikuwa wapi kutoa taarifa sehemu husika kama cheti chake kimepotea amesubili wakati wa kuhakikiwa na kamati ya Uchaguzi ndo aseme cheti kimepotea ha!ha!nawasiwasi na Elimu kama si ya kuhunga unga ni bahati sana.
 
Hicho cheti alikuwanacho kweli au maneno mengi tu
 
Jinsi anavyoropokaga, sijui hata kama darasa la saba alimaliza huyu mkuu!
 
Sina hakika kama ana cheti cha form four hata cha division 5.
 
Maskini...hiki cheti kimepotea muda mbaya!
 
Haa haa haa julio mtoto wa mjini maneno ndo mtaji wake kashikwa pabaya!
 
Siku zote hizo alikuwa wapi kutoa taarifa sehemu husika kama cheti chake kimepotea amesubili wakati wa kuhakikiwa na kamati ya Uchaguzi ndo aseme cheti kimepotea ha!ha!nawasiwasi na Elimu kama si ya kuhunga unga ni bahati sana.
Nakushauri ujisomee vitabu vya kiswahili mara kwa mara ili uboreshe kiswahili chako.
 
Ha haaah, No comments...

Vyeti vya nini kwenye uongozi wa hizi klabu za uswahilini ambazo hazihitaji weledi kuongoza. Acheni Julio ajipatie ulaji roho mbaya za nini kuwekeana masharti magumu!
 
Nakushauri ujisomee vitabu vya kiswahili mara kwa mara ili uboreshe kiswahili chako.

Napokea ushauli wako najijua na matatizo hayo tena hasa ya L Na R huku Moscow jimbo la Zelenorgrad kupata vitabu au walimu wa Kiswahili shida ila nafikili nimepata pa kuanzia na ku PM mda si mrefu mkuu.Usisite kunishahihisha pale unapoona nimekosea ndo kunifundisha uko ubalikiwe sana.
 
Kocha Julio akiwa katika harakati za kugombea nafasi ktk chama Simba,amepotelewa na cheti chake cha form four.Hii inampa wakati mgumu mgombea huyu kutokana na vigezo vya kugombea ktk club hiyo.MY TAKE:NO COMMENT

Kimepotea au hana
 
Mmmh......hivi alisoma kweli?

I had the same question in my mind...yule jamaa anavyobwabwaja alisoma kweli? Alisomea shule gani tena? Au Simba B nayo ni shule ya sekondari kama ipo anyway!!!
 
Nijuavyo mimi sekondari alisoma (kama sio kuhudhuria) Kinondoni (MUSLIM) na alipata 0 ........ hakuna cheti hapo
 
Back
Top Bottom