Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,962
- 134,053
Kocha Julio akiwa katika harakati za kugombea nafasi ktk chama Simba,amepotelewa na cheti chake cha form four.Hii inampa wakati mgumu mgombea huyu kutokana na vigezo vya kugombea ktk club hiyo.MY TAKE:NO COMMENT