Mi naona mnamkuza bure tu huyu, kama yeye ni mzawa wa Ubungo, wenzie sisi sio tu wazawa, bali ni waasisi wa Ubungo, yeye ameikuta kwasababu labda kazaliwa hapa lakini yeye si zaidi ya sisi tulioiasisi ubungo. Yeye kakuta ubungo tayari kumeshajengwa barabara nne, sie enzi zile huku ubungo ni mashamba tu ya mikoroshi, huko kimara ilikuwa ni pori tu. walokuwa wanathubutu kufika Kimara walikuwa wanaishia kunyonywa damu na mumiani, sasa huyo dada asitubabaishe na uzawa wake. Atueleze kwa uzawa wake amechangia nini katika maendeleo ya Ubungo?? Aache kubwabwaja. Halafu na sie naona tunakuwa wajinga kama yeye kwasababu tunam[andisha sana chati kwa kumjadili. Tumuache aende kwa amani kwa magamba wenzake huko ndo kunamfaa. Buriani Dada Shombo