Juliana Shonza ni hatari kuliko tunavyodhani

Juliana Shonza ni hatari kuliko tunavyodhani

Hivi kumbe Juliana naye yumo katika wazuri...!
 
Mimi naamini ni wakati wa watanzania kuamka na kutaka mabadiliko,Msaliti wa chama cha upinzani chenye nguvu si msaliti wa chama hicho bali ni msaliti wa watanzania wote
Hebu tuangalie historia:

CDM ni chama cha tatu cha upinzani kuibuka kuwa na nguvu kisiasa ,ilianza NCCR-Mageuzi mwaka 1995,wakatokea wasaliti chama kikaanguka,tukadhani imeanguka NCCR.

Ikafuatia CUF wakatokea wasaliti CUF ikaangua uchaguzi mkuu 2000 japo mbinu za vitu vya ncha kali zilitumika.

Na katika kuanguka kwa vyama hivyo tunaoendelea kuumia ni sisi watz wa hali ya chini,mara hii ni CDM nayo nionavyo mimi mbinu chafu zimeanza ili nayo ianguke.

Hivi watz kwa nini tusishtuke tukasema hapana kwa wasaliti wanaotaka tuendelee kuteseka huku wao wakila maisha.

Tusitegemee mabadiliko ya msingi kama hatutabadilisha serikali iliyoko madarakani,na kuibadilisha ni kukiunga mkono chama cha upinzani chenye nguvu na mvuto kwa taifa zima.

Juliana sonza ni mmoja ktk mamilioni ya watz,tuchukulie ni unyasi mmoja umedondoka kutoka paa la nyumba iliyoezekwa na nyasi,ni muda muafaka wa kusema 'No' kwa Juliana sonza kama tunavyosema hivyo kwa magonjwa ya ukimwi ili taifa letu lisonge mbele.

JULIANA AMEOMBA MSAMAHA KWA MAFISADI!! KWANGU HII INAMAANISHA:ALIKUWA AMEPOTEA ALIPOAMUA KWENDA KUPIGANIA WATANZANIA,SASA AMERUDI ILI KUWAPONZA WATANZANIA.Huu si wakati wa kucheka ni wakati wakuonyesha msimamo wa kupingana na fikra za ubinafsi uliovaa ngozi za kijamaa.


........

Haya ndio ya msingi ya kujadili. Ni jinsi gani tunawazuia hawa waharibifu wa demokrasia. Tusiwapuuze.
 
Kama angekuwa hana lolote msingehangaika naye!

Chama
Gongo la mboto DSM
Hata kama ni juha hawezi kupuuzwa katika wakati kama huu. Atasikilizwa na majuha wenzie watakaomwamini. Mwisho wake ni upotoshaji.
 
Mkuu, binafsi ninaona kwamba anatapataap tu na hana lolote. Labda ungesema kwa mifano, ni lipi alilolisema mpaka sasa limekiuwa na athari kwa CDM?
Huyo ni mchumia tumbo tu, anajua kwa kuwa CCM wanapenda ushabiki wanaweza wakampa pesa za kuzunguka TZ kuelezea wanachofikiria kitaweza kuibomoa CDM.
Unategemea madhara yaonekane kama mafuriko. Siasa haiko hivyo ndugu. Propaganda zinakula ufahamu wa watu kama kansa.
 
Wakuu nimekuwa nikifuatilia mtiririko wa matukio tangu kuibuliwa kwa hoja ya masalia hadi kufukuzwa na hatimaye kufikia hatua ya kuhamia chama tawala baadhi ya masalia akiwepo Juliana na Mwampamba. Kuibuka kwa ile hoja ni jambo ambalo japo lilijadiliwa sana, chanzo chake ni tata. Waliohamia ccm ni wawili; Juliana na Mtela lakini anayesikika zaidi ni huyu dada. Awali alisema yeye bado ni bavicha na hautambui utenguzi uliofanyika. Mara tukasikia yuko ccm na kapokelewa na Rais! Akiwa yeye na mwenzake. Mara anatoa kauli kuwa yeye ni mzawa wa Ubungo na yuko tayari kupambana na Mnyika.

Niseme tu kwamba kazi aliyotumwa sio kwamba ameikamilisha. Ndio kwanza inaanza. Huyu ni Delila. Ni mzuri wa sura na umbo lakini ana akili ya nyoka. Chadema itambue yafuatayo;
1. Safari ya Juliana kuzunguka Tanzania nzima kueneza sumu dhidi ya chadema ndio imeanza.
2. Juliana ni hatari kuliko Mwigulu na Nape.
3. Juliana ana hasira za kweli (japo ni kwa upuuzi wake) juu ya cdm na viongozi wake.
4. Juliana atakachoomba toka ccm kwa ajili ya kuikandamiza cdm atapewa. Kumbuka huyu ni Delila.
5. Watu watavutika kumsikiliza huyu binti kwa kuwa ni mwanamke na ana mvuto. Atajenga huruma kwa wavivu wa kufikiri na wepesi wa kusahau.
6. Kwa bahati mbaya kila atakachosema sasa na baadaye kitakuwa habari, hivyo athari yake si ndogo.

Chadema watambue sasa kuwa hawajaondoa tatizo bali wamezaa tatizo. Wamezaa si kwa kosa lao bali wakati mwingine inatokea tu. Wajipange katika kudhibiti athari zitakazotokana na kauli za huyu msichana. Historia isijeandikwa kupitia sumu ya huyu mtoto na kamwe asipuuzwe. Harakati zake kipindi cha masalia na PM7 dhidi ya cdm zinajulikana, nazo zilikuwa za faragha na ziliathiri chama. Sasa hizi za hadharani nazo zikipuuzwa si balaa?

she's just an idiotic bitch!chdm was there even before her existance!she's to bare in mind tht the todays generation is not the "ndio mzee generatio"people do thnk criticaly to come out with who is who,and who's to believe from!atakuwa na kina nape ktk kucheza zeze and finaly safari ya kurudi kijijini itawadia!afanye reference kwa mwenzake nakaaya!amekuwa km toilet paper xaxa!chdm wako strong enough!tunakiamini hiki chama 90%!
 
Hata kama ni juha hawezi kupuuzwa katika wakati kama huu. Atasikilizwa na majuha wenzie watakaomwamini. Mwisho wake ni upotoshaji.

Kwa mantiki hiyo basi mtakuwa mpo majuha wengi;tulitegemea baada ya Julianza Shonza kuhama ingekuwa ni faraja kubwa kwenu matokeo yake yamekuwa ni kinyume na hivyo.
Chama
 
Last edited by a moderator:
mtu mmoja hawezi kuyumbisha chama cha watu milioni 40 banaaa

huyu dada hata ukimsikiliza anavoongea hakuna kitu kichwani! alivobabaika mara o! nitaenda mahakamamni, mara mimi bado makamu, mara nitagombea uenyekiti finally back to umagambani tayari inaonyesha ni boya tu hana falsafa anayoiamnini na kuitumia hivo hana madhara yoyote! uchaguzi wa ubungo upo mbali alitakiwa aanze kwanza kujijenga na hata ndani ya magamba hawawezi kumuamini maana ana tabia ya kuhamahama na kutumika""!
 
Kwa mantiki hiyo basi mtakuwa mpo majuha wengi;tulitegemea baada ya Julianza Shonza kuhama ingekuwa ni faraja kubwa kwenu matokeo yake yamekuwa ni kinyume na hivyo.
Chama
Majuha wapo CCM. Kuondoka kwa huyu binti ni faraja yenye tahadhari
 
Kama angekuwa hana lolote msingehangaika naye!

Chama
Gongo la mboto DSM



nan umeona anahangaika nae? Anzia juu kusoma utaelewa. Mnataka kutuaminisha km yeye ni tishio, labda kwenu. Somen alama za nyakati, msilete ushabiki wa kisiasa tu.
 
Ni tahadhari maana hata mbuyu ulianza kama mchicha.

Mkuu Juliana Shonza ni Mzuri? Hujawahi ona watoto wazuri? yule ni wakawaida sana tena mno, na hana uzuri wa aina yoyote ile, so uache kusifia kitu kicho kuwepo,
 
Majuha wapo ccm. Kuondoka kwa huyu binti ni faraja yenye tahadhari

Mkuu labda Afanye Mikutano ya Ndani, Kwenye mikutano ya Nje haiwezekani, Niambie ni wapi itatangzwa mkutano wa Hadhara wa kuhutubiwa na Juliana shonza watu waende, ni kitu kisicho wezekana, Labda ategee mikutano ya wakina nape au Kikwete na yeye awe anapewa nafasi ya Kuongea lakini yeye kama yeye kufanya mkutano ni kitu kisicho wezekana,

Kwa CCM kwa sasa hakuna mtu anaye weza kuitisha mkutano wa hadhara na kupata watu, Ni CHADEMA PEKEE AMBAYO HATA DIWANI WA KULE MSOMA ANAWEZA PATA NYOMI YA KUTISHA KWENYE MKUTANO KULE ARUSHA, Shonza hawezi na acheni kumpa sifa za

 
Wakuu nimekuwa nikifuatilia mtiririko wa matukio tangu kuibuliwa kwa hoja ya masalia hadi kufukuzwa na hatimaye kufikia hatua ya kuhamia chama tawala baadhi ya masalia akiwepo Juliana na Mwampamba. Kuibuka kwa ile hoja ni jambo ambalo japo lilijadiliwa sana, chanzo chake ni tata. Waliohamia ccm ni wawili; Juliana na Mtela lakini anayesikika zaidi ni huyu dada. Awali alisema yeye bado ni bavicha na hautambui utenguzi uliofanyika. Mara tukasikia yuko ccm na kapokelewa na Rais! Akiwa yeye na mwenzake. Mara anatoa kauli kuwa yeye ni mzawa wa Ubungo na yuko tayari kupambana na Mnyika.

Niseme tu kwamba kazi aliyotumwa sio kwamba ameikamilisha. Ndio kwanza inaanza. Huyu ni Delila. Ni mzuri wa sura na umbo lakini ana akili ya nyoka. Chadema itambue yafuatayo;
1. Safari ya Juliana kuzunguka Tanzania nzima kueneza sumu dhidi ya chadema ndio imeanza.
2. Juliana ni hatari kuliko Mwigulu na Nape.
3. Juliana ana hasira za kweli (japo ni kwa upuuzi wake) juu ya cdm na viongozi wake.
4. Juliana atakachoomba toka ccm kwa ajili ya kuikandamiza cdm atapewa. Kumbuka huyu ni Delila.
5. Watu watavutika kumsikiliza huyu binti kwa kuwa ni mwanamke na ana mvuto. Atajenga huruma kwa wavivu wa kufikiri na wepesi wa kusahau.
6. Kwa bahati mbaya kila atakachosema sasa na baadaye kitakuwa habari, hivyo athari yake si ndogo.

Chadema watambue sasa kuwa hawajaondoa tatizo bali wamezaa tatizo. Wamezaa si kwa kosa lao bali wakati mwingine inatokea tu. Wajipange katika kudhibiti athari zitakazotokana na kauli za huyu msichana. Historia isijeandikwa kupitia sumu ya huyu mtoto na kamwe asipuuzwe. Harakati zake kipindi cha masalia na PM7 dhidi ya cdm zinajulikana, nazo zilikuwa za faragha na ziliathiri chama. Sasa hizi za hadharani nazo zikipuuzwa si balaa?

Mleta Mada ni mvivu wa kufikiri, yaani Juliana Shonza kwa mawazo yako anaweza kumshawishi! Wewe ni mmoja wao wa masalia au ni magamba!
 
Last edited by a moderator:
Unategemea madhara yaonekane kama mafuriko. Siasa haiko hivyo ndugu. Propaganda zinakula ufahamu wa watu kama kansa.



km ndivyo, kansa ya propaganda za cdm kwa ccm zimekula ufahamu wote. Hamna space kwa propaganda za ccm kwa cdm kutafuna fahamu zetu
 
Mbona mnampa umaarufu huyu mtu?
Yaani huyu mtoto bado sana,labda miaka ishirini mbele,
Hawezi kupambana na chadema!
Mi mwenyewe nimemjua humu jf mwezi mmoja uliopita!
WAKUU
NAOMBA TUFUNGE MJADALA UNAOHUSIANA NA HUYU MTOTO!
MWACHENI AELEKEE KUZIMU ndio alikochagua sisi tuendelee na harakati za mapinduzi.
 
Hakuna haja ya kupata wasiwasi juu ya huyu malaya; hajawahi kuwa 'mzawa' wa ubungo, kilichomfanya aijue Ubungo ni kuja kwake kusoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kama anaona 'uzawa' ni sifa ya kumpandisha kisiasa arudi kwao Mbozi wanakoongoza kwa uchawi.
 
Back
Top Bottom