Juliana Shonza ni hatari kuliko tunavyodhani

Juliana Shonza ni hatari kuliko tunavyodhani

mkuu Raia Fulani unaniangusha bana, ana uzuri gani aisee? hujawahi kuona mabinti waliopo CCM wewe, kuna mabinti ni wazuri balaa, yaani inasikitisha kuwaona wapo CCM, ni warembo kinoma lakini bado hawasikilizwi kwenye majukwaa sembuse huyo kipori shonza?
kule kwetu Lushoto binti kama Shonza tunamuita kinukachupi kichamba na umande.
Mkuu hao wengine waliishia kuwa vipoozeo maana hawakuwa na hii 'courage' ya kujitokeza hadharani na kumwaga sumu. Sasa huyu ni mmwaga sumu na who knows akawa kiburudisho
 
Yah angalizo zuri, hasa ukizingatia siasa zetu za kutengeneza upepo magazetini na vyombo vya habari njaa basi lolote linawezekana.

Ila kitu kimoja mkuu RF pamoja na yote hayo dawa ya huyu mtoto ambaye ana amini katika siasa za social media pekee dawa yake ni kumpotezea kwenye hizi corridor, pia ikumbukwe ye ni wa ngazi za BAVICHA tu hana hadhi ya makao makuu.
Tuombe uzima utaiona siasa yake inavyopotea ndani ya CCM kabla hata hyo 2014 haijaisha
Hawa jamaa 'wapinzani' wetu ni maarufu katika kupika matukio na watu kadhalika. Hivyo usishangae huyu binti akachomoza toka mitandaoni hadi majukwaani akimwaga sumu. ccm walishasema hawako tayari kuiachia hii nchi kwenda kwa wapinzani
 
Ni tahadhari maana hata mbuyu ulianza kama mchicha.

Tahadhari gani aliama Kafulila ambaye ndio alikuwa anakesha ofisini akifanya kazi usiku na mchana na akiwa anajua siri zote ije ishinde huyu aliyefukuzwa Mkuu. Mbona mnamuona ni maarufu sana wakati anajulikana Bavicha tu. Hata hapa mtandaoni tumemuona hata mwezi haujaisha hivyo hatumjui
 
Ccm ccm wapinzani tuwakamate tuwachanechane tuwatupee huu wimbo uheshimuni
 
Hana uwezo huo hata kidogo. Atamconvince nani? kwasababu hana umaarufu huo. Na kwa bahati mbaya watu wote wanaomfahamu wanajua ni mfamaji haachi kutapatapa.
 
msambaa mmoja akiondoka havunji soko, nenda kanywe nae chai dogo.
 
Shonza mwakani utakufa kisiasa hata kusikika hutasikika may be Mwigulu akuombee kigoda maalumu
 
Mnapoteza muda wenu adhimu kumjadili marehemu wa kisiasa. Huyo ameshakufa na hana madhara yoyote.
Tafuteni mambo mengine ya kufanya badala ya kujadili kitu kisichokuwepo.
 
Angekua na madhara makubwa iwapo angetumia akili kuondoka Chadema kabla hawajamstukia na kumtimua.
Kumtaim mtu na kumtimua haisaidii kitu.
Yyeye tayari alikuwa anataka kuondoka ndio maana akawa kwenye hiyo PM7
Kwa hiyo kusema mmemtimua ni kujipoza moyo tu,
Wote tunajua inawauma.
Halafu kizuri zaidi binti anajua kila kitu ndani ya chadomo.
Mie binafsi nikisikia Juliana anagombea ubunge sehemu lazima nikamsapoti hata kama nikiwa sina hela basi nitabeba mikoba yake tu mpaka ashinde
 
Hana kitu. kufukuzwa CHADEMA maana yake kashindwa kazi.
 
Juliana kazi yake inaanza wakati wa kampeni kuna maneno mengi yapo kwa ajili ya Dr Slaa mambo aliyokuwa anataka kuanyiwa Dr Slaa na Mbowe pamoja na Lema ikifika muda wake atafunguka.
 
You guys give this woman more credit than she deserves and the more publicity you give her the more opportunities she has to talk. Wakupita tu huyu dada.
 
Kumtaim mtu na kumtimua haisaidii kitu.
Yyeye tayari alikuwa anataka kuondoka ndio maana akawa kwenye hiyo PM7
Kwa hiyo kusema mmemtimua ni kujipoza moyo tu,
Wote tunajua inawauma.
Halafu kizuri zaidi binti anajua kila kitu ndani ya chadomo.
Mie binafsi nikisikia Juliana anagombea ubunge sehemu lazima nikamsapoti hata kama nikiwa sina hela basi nitabeba mikoba yake tu mpaka ashinde
Hahaha!! Kweli wewe chilisosi. Huyu binti hana hizo taarifa unazodhani anazo. Bahati mbaya ana sumu tu ambayo ikiachwa kusambaa itakuwa na madhara mwisho wa siku
 
Hata Kinana walituambia ni Kimbunga tukabisha, kumbe ni kweli huyu bwana ni kimbunga anakipeleka chama cha mapinduzi kaburini.Nadhani huyu Chovya sijui shonza ni Dada Kimbunga atakaeongeza hasira za vijana dhidi ya CCM kwa kuwa tayari wanajua ni msaliti na alikuwa pandikizi.
 
hata hafamiki na watu zaidi ya humu JF na baadhi ya vijana wachache tena classmates tu sio zaidi ya hapo
kwa wapiga kura wanamjua zaidi Dr Slaa, Mbowe,ZKK na wengine wakubwa
haka kabinti nani anakajua zaidi ya sisi? kwanza watakaona kamtu kalikotimuliwa kwa kukosa cheo au kanafiki fulani tu
kwa hivo hata azunguke nchi nzima na Mwigulu bado sumu yake haiwezi kuathiri chochote kwa chadema.
 
Back
Top Bottom