Juliana Shonza amlipua Mbowe

Juliana Shonza amlipua Mbowe

Juliana bakamulie hao yasikutishe matusi,nimefuatilia mwanzo mwisho wa hii thread sijaona tusi jipya hata moja yote ni marudio tu.Labda warudi tena mwembe yanga kwenye ile semina yao.
 
let her shame up on her between limbs where break took place without her notice! hawezi kujadili yakimsingi kama waliofeli wengi kua watoto wa masikini? ah
 
huyu shonza chakula ya wazee,wacha magube gube ya sisi emu yakamtindue mpaka ashike adabu!!!!anaropoka tu kila kukicha,kashapoteza dira na inamuuuma na si ajabu kila siku usingizini anaweweseka chademaa!!!!!chadema!!!apeleke mkorogo wake
Mbona Swaumu kamkimbia yule mzee wenu?
 
Ina maana hapa JF siku hizi ni jukwaa la kupromoti watu? Watoto wetu wanaferi sisi tujadili Elimu ya Mbowe ili itusaidie nini?

Awashauri CCM wenzake kwanza kwamba uchaguzi ujao wamsimamishe Profesa maana usomi ndio kujuwa kuongoza nchi, by the way huyu mtoto nasikia amegraduate pale UDSM, sasa ninachoshangaa kwani akitafuta kazi bado mapema atakosa kweli?

Mkuu kuna issue moja ama mbili za msingi sana,huyu bint kweli ni graduate wa UDSM? Alipataje umakamu mwenyekiti wa BAVICHA kwa upuuzi huu ambao ameonyesha siku chache zilizopita? Amekulia ktk malezi ya aina gani? Wazazi wake wote bado wanaishi pamoja? Alipata mapenzi ya wazazi? Ana mpenzi? Marafiki zake wa karibu na wa aina gani?
 
possible nigrii yake ni ya chu......p,mbowe kwa elimu yake kaweza kusimamia masuala makubwa ya kitaifa ndani na nje ya bunge tena zaudi ya pinda,shonza kwa kadigrii kake kafanya nini zaidi ya kudanganywa na wajanjawajanja
 
Mbona Swaumu kamkimbia yule mzee wenu?

Alimkimbia kwa sababu Alimtaka BABU AMGEUZE, kama Samaki, lakini Bahati mbaya Babu hajazoea huo Mchezo! Huko alikokimbilia ndio kuna Watalamu kina MWIGULU MZINZI, NAPE, WASSIRA na LUSINDE!! kwa hiyo kama ni Kulenga Shabaha,basi amelenga kwa 100%.

MINGOI, Umesahau kwamba hawa watu wa Majina ya Swaumu, Saumu ndio walio wengi kule MOMBASA, kwenye wataalam wa KUSODOMISE??
Kam hujui unaweza kwenda Kutest MOMBASA, usisubiri kuhadithiwa!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!
 
of course elimu ni muhimu lakini uongozi ni beyond eduaction, thus why tuna viongozi wenye degree yet hawajui kwanini watz ni maskini na most of leaders from the ruling part elimu zao zinatia mashaka jinsi walivyozipata, utendaji wako wa kazi ha u refelect elimu walizonazo. ni heri kuwa na elimu ya kidato cha nne kuliko degree ya kuunga unga, au chupi etc
 
Alimkimbia kwa sababu Alimtaka BABU AMGEUZE, kama Samaki, lakini Bahati mbaya Babu hajazoea huo Mchezo! Huko alikokimbilia ndio kuna Watalamu kina MWIGULU MZINZI, NAPE, WASSIRA na LUSINDE!! kwa hiyo kama ni Kulenga Shabaha,basi amelenga kwa 100%.

MINGOI, Umesahau kwamba hawa watu wa Majina ya Swaumu, Saumu ndio walio wengi kule MOMBASA, kwenye wataalam wa KUSODOMISE??
Kam hujui unaweza kwenda Kutest MOMBASA, usisubiri kuhadithiwa!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!
Kumtaja mungu kwenye laana ni kujitafutia mzigo wa dhambi.Hawezi kubariki dua zako mpaka uondoe hayo maneno yako yakifirahuni.Pili hivi David Cameroun,Elton John mama zao wanaitwa Ashura au Swaumu?

 
Tuondokane na ujinga wa kuangalia academics, muhimu ni uwezo wa mtu kuongoza na kutawala.
Jacob Zuma wa nchi kubwa tajiri kama Afrika kusini, ukiangalia profile yake, hana elimu yeyote ya darasani. "No formal schooling"
sasa sijui hapo wadau watasemaje?
 
Hahaha! Binti anajazba baada ya kutimuliwa CDM kama mbwa mwizi.
Nashukuru Mungu mmesadiki kuwa Dr. Slaa ndiyo rais ajaye.

NB:
CONDOM moja ni kwa kila tendo moja tu, sasa baada ya tendo hili matumizi yenu yatakuwa yameisha na tutawamis sana wasaliti.

Binti kaamua kwenda kufanya uchangudoa kwa wakubwa............. ngoja magamba wamgeuze ile staili ya twanga kote kote si muda mrefu tutamsahau
 
Kumtaja mungu kwenye laana ni kujitafutia mzigo wa dhambi.Hawezi kubariki dua zako mpaka uondoe hayo maneno yako yakifirahuni.Pili hivi David Cameroun,Elton John mama zao wanaitwa Ashura au Swaumu?


Mimi sikumtaja Ashura,wala Elton John,wala Cameron! Nilimtaja Swaumu kwa kuwa ndie ulikuwa unamuilizia kwamba,kwanini kamkimbia Babu!
Kama unataka kuwaulizia hao uliowataja basi, anzisha Mada nyingine,kwani ukiwwachanganya kwenye hii ya Swaumu, utakuwa unachanganya Taarifa ya Habari na Kwaya!
Halafu Bi,MINGOI wachaga kushabikia mambo kama haya ya Kina Juliana SHONZA, usije aaibika!!
Pole kama umekwazika kwa jibu la Swaumu,kwani kamkimbia Babu!! Huwo ndio ukweli na Hatuwezi kuukwepa lazima tuseme jinsi ilivyo!!

MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUNGU IBARIKI CHADEMA!!!!
 
Kumtaja mungu kwenye laana ni kujitafutia mzigo wa dhambi.Hawezi kubariki dua zako mpaka uondoe hayo maneno yako yakifirahuni.Pili hivi David Cameroun,Elton John mama zao wanaitwa Ashura au Swaumu?


hayo ndo majina ya mama zao mkuu.............. ila ukikuta wanaitwa majina mengine basi ni copy
 
Watanzania kweli wana matatizo,ina maana kuwa na cheti ndo elimu? Inawezekana shonza ana degree lakini ya chu....p! Mbona chenge ana elimu kubwa lakini ni fisadi? Tunachotaka ni uadilifu na uzalendo!
 
Shonza twambie elimu ya lukuvi,dialo na udaktari wake,nchimbi, serukamba,komba mpaka basssssssssssssssssss halafu elimu yako haicjakusaidia hata hujui katiba ya nchi kuhusu elimu gani inampa mtu haki ya kugombea na kuchaguliwa.
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

basi mimi niliposoma ati Shonza amlipua Mbowe nikajua bidada ameangusha skendo nzito...kumbe anajichafua mwenyewe. Ninachojiuliza bidada huyu ameshindwa hata kupitia tovuti ya bunge kutazama elimu ya Mbowe ni kiasi gani?

Yaleyale ya Nape ati Mnyika ni FormFour!

Kweli CCM wameishiwa mbinu, wamebakiza ubabe wa PoliCCM.
 
Huyu Binti ni mwehu sana ..baada ya kutoka huko ndio ameyaona hayo ..mfa maji haishi kutapatapa

Wakati anapokelewa huko aliko sasa, alimwomba radHI JK kwa kudai juwa alikuwa anatumwa kumtukuna...leo yuko huko na anawageukia wa upande alikotoka, KESHO ATASEMA NAKO HUKO ALIKUWA ANATUMWA PIA KUROPOKA HAYA......AMA KWELI NI HERI KUZALIWA NA ULEMAVU UNAOONEKANA KULIKO KUZALIWA MALAYA!
 
Back
Top Bottom