Juliana Shonza amlipua Mbowe

Juliana Shonza amlipua Mbowe

Katiba ya JMT inasema wazi kwamba moja ya sifa za kuwa mbunge ni uwe umemaliza darsa la saba, kwa mtaji huo, Mbowe kama kweli ni form four leaver, basi ana elimu ya juu zaidi ya ile inayotakiwa kikatiba; Pili, kuhusu uongozi wa kambi ya upinzani bungeni (na hata kamati za bunge), hakuna kanuni inayosema uongozi wa namna hiyo lazima uendane na kiwango fulani cha elimu kwani viongozi wa kambi za upinzani pamoja na kamati za bunge kwa mujibu wa Katiba ya nchi wanatokana na wabunge ambao wanatakiwa kuwa na angalau elimu ya darasa la saba; Hivyo hoja ya dada yetu haina mashiko;
 
kuongoza hakuhitaji kuwa na elimu yoyote zaidi tunahitaji uwadilifu, pia binti sioni kama hizi siasa za kushambulia mtu zitakusaidia kwa vyovyote vile zaidi onyesha jitihada zako za kukomboa tanzania huko ulipo si vinginevyo.
 
Sitoshangaa wala kushtuka nikisikia kajiua baada ya kushindwa katika haya anayofikiri ya maana. Msichana , ni muda wako kutuliza akili kuangalia maendeleo yako nje ya mambo ya siasa, utapotea na kuchanganyikiwa bure, hicho chama kina wenyewe na watoto wao na ndugu zao. Mwenzio Mzee wangu ambaye alikuwa mmoja katika ya waasisi wa TANU hata kukumbukwa hakumbukwi, sembuse wewe ambaye hata historia huna katika hicho Chama, haya, ni ushauri tu.
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Juliana Shozza vipi ulishaanza kutoa huduma pande hyo?? teh teh naona sasa pande zote zinatumika
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kumaliza Form 6 miaka ya 80's, Mbowe alifanya kazi Benki Kuu kabla ya kuacha na kuamua kufanya biashara. Atuambue Tambwe Hiza, Hamis Mgeja, Deo Sanga na wengineo wana elimu gani?
 
Lol Tanzania Tanzania nchi hii na baadhi wanasiasa wake ni kazi kweli kweli,yaani mtu kafukuzwa chamani kama mbwa mwizi leo hii anasimama jukwaani na kudanganya watu live ati ooh nimeamua kuhamia Ccm bila kushurutishwa na mtu yeyeto wakati watu wanafahamu fika kafukuzwa,Juliana Shonza wakati alipokuwa makamu mwenyekiti wa Bavicha kabla ya kufukuzwa Mh Freeman Mbowe alikuwa na Master leo hii kafukuzwa ana muona Mh Freeman Mbowe na elimu ya form 4 hapa kazi ipo kweli kweli ndio maana watu wanafeli kila kona sio waliomaliza form 4 tu ila Juliana Shonza kafeil moja kwa moja,hivi wajameni tukiacha ushabiki wa vyama alikuwa wapi huyu mwana dada asifahamu elimu ya mwenyekiti wake?Ina maana leo ndio kafahamu?Hebu jamani tumwambie aache unafiki hii sio siasa ndio anajimaliza na wale wanaoshangilia wengi wao hawafahamu kinachoendelea kwa nchi hii ni sawa waweza wauliza nini faida ya kuwa na bajeti nzuri au uwaulize nini faida ya kuwa na bajeti iliyotosheleza hapo ndio utasikia maajabu,so tuwaombea hawa kina Mwampamba na Julian Shonza kwa kuwa hawaamini kama leo hii wamefukuzwa Chadema so hasira ndio zinazidi kuwamaliza si ajabu wana matatizo ya akili now maake haiwezekani ufukuzwe then useme ooh mie niliona nihamie ccm baada ya kuona Chadema hakuna demokrasia ya kweli.Kuna watu wanawashangilia lakini ni kwa mazarau kwani wanafahamu walifukuzwa Chadema sasa wakisema oooh tumeamua kuhama wanawaona kama wendawazimu kwani Bongo huwaga wanashangilia hata mtu akivua nguo hadharani.
 
There are a lot of smart people who dont graduate.

  • Bill Gates dropped out of harvard because he and a friend were on the verge of launching microsoft.
  • Kobe Bryant got a near perfect SAT score but he chose the NBA instead.
  • Rappers Young MC and Chub Rock also kick butt on there SAT's.
  • Will Smith was accepted to MIT but chose to pursue his craft.
Just to name a few...some food for thought, eh?
 
Raisi wa zamani wa Brazil Rula Da Silva na Raisi wa madagascar walikuwa ni Shoe shiner,
 
hayo ndo majina ya mama zao mkuu.............. ila ukikuta wanaitwa majina mengine basi ni copy
Unaakili za jongoo,kwani hao ndio pekee wanaozaa watoto wenye makalio wakati wakina Regina na Carlo watoto wa kwao wamezibwa na super glue?
 
Baada ya kumaliza Form 6 miaka ya 80's, Mbowe alifanya kazi Benki Kuu kabla ya kuacha na kuamua kufanya biashara. Atuambue Tambwe Hiza, Hamis Mgeja, Deo Sanga na wengineo wana elimu gani?
Mbona Udj haujauweka kwenye hiyo CV.
 
mbona sioni kama mbowe amelipuliwa,tunaye mwanza hapa sasa hivi na afya yake teeeeeleeee
 
Nani amuache hii msosi huko CCM.............Mwigulu atakuwa maesha muedit kwenye sample!!!

224892_102121916628743_1899781345_n.jpg

eeh..mbona amekalia KIGOGO?
 
Mkuu kuna issue moja ama mbili za msingi sana,huyu bint kweli ni graduate wa UDSM? Alipataje umakamu mwenyekiti wa BAVICHA kwa upuuzi huu ambao ameonyesha siku chache zilizopita? Amekulia ktk malezi ya aina gani? Wazazi wake wote bado wanaishi pamoja? Alipata mapenzi ya wazazi? Ana mpenzi? Marafiki zake wa karibu na wa aina gani?

as far as gender balance is concerned. Refer to Madam Speaker
 
Namtakia kila jema maishani .

ukifukuzwa CCM CUF watakupokea .
 
Mimi kama binadamu kuna vitu vingi sivielewi, mojawapo ikiwa ni hili suala la mtu kuondoka kwenye chama cha upinzani na kuhamia CCM ambayo imefeli kwa miaka 51 mfululizo!
 
Mfa maji haishi kutapata...unajidhalilisha dada..elimu yako inakupeleka wapi.? We umeshafukuzwa kubali...unadhan utapewa viti maalumu hhehehe pole sana watakubwaga chaliiii hao
 
224892_102121916628743_1899781345_n.jpg


Huyu Binti tunamsitiri tu.

Angalia picha hiyo hapo juu ndio maisha yake ya kila siku, Niambie mtu kama huyu unaweza kumlinganisha nani? Angalia mazingira ya picha hiyo yanayomzunguka, na huko anakozunguka kutoa kauli anatumika hivyo.

Viongozi wa CHADAEMA anaowasema hawako wa mazingira kama hayo ndio maana aliwasema vibaya isipokuwa mmoja tu. Labda huyo mmoja alijaribu kumridhia.
Hapa tumepata picha mtu tunayemsema ahsante mkuu.Hapo ametega maeneo gani siri yake mwenyewe.Kwanza huyu hana hadhi ya kukaa meza moja na mheshimiwa Mbowe.Kwanza inabidi amtake radhi mheshimiwa kwa kauli yake hiyo.
 
Back
Top Bottom