Juliana Shonza amlipua Mbowe

Juliana Shonza amlipua Mbowe

Kweli wajinga ndiyo waliwao. Huyu dada ameenda CCM kuimalizia moja kwa moja. Hata masalia ya CCM hayatakuwepo kama mwondoko ndiyo huu. Hivi anafikiri watanzania wa leo ni hii technology na communication ni wale wa TANU yajenga nchi? Mtu angemwambia serikali inamulikwa na imebanwa na wapinzani kiasi ambacho basi hakuna tena pa kugeukia ila kwa mfamaji! Kama Mtwara iliamka ni nani atabaki kulala?
 
atakua tayari anasumbuliwa na dalili za mimba changa ya nanii...kwahiyo mumsamehe tu jamani!ni mimba changa hiyo.
 
tukikulinganisha wewe na degree yako na mbowe mwenye form nani yupo strong ktk kuview mambo
 
Shoza kwa tabia yake ya mcharuko sio rahi kuishi na mume.Anaonekana jinsi ambavyo hana msimamo.Ukimpima mbowe na viongozi wa CCM,utaona uwezo mkubwa alionao,na busara,kitu ambacho ni adimu kwa CCM.:rockon:
 
Who is Shonza by the way? Huyu si malaya km wengine tu? Dr Slaa na Mbowe wamegombea urais and what they hv done every one knows it sasa wewe chekechea wa siasa unalowanisha pedi yako jukwaani kuwasema watu ambao hata Kikwete hathubutu kuwasema jukwaani huoni unapoteza nguvu za kukatia viuno bure? Vijana wanapambana na maisha wanawaza biashara na mambo mengine ya maana wewe unaleta upuuzi hapa? Mara baba yake Dr Slaa mara Mbowe! Wewe huna mume na hapo bikira huna na kwa mujibu wa maadili sex ni ndani ya ndoa tukikutembeza majukwaani km malaya utajitetea vipi? Mtafute W.Kaboul, Tambwe Hiza na wengine wengi ndo utaijua vizuri CCM.
 
Asipowatukana waliokua viongozi wake ataishi vipi mjini? si mtamgo...... kwa bei poa au kwa mkopo?
 
sasa mbowe aligombeaje urais 2005 bila kuwa na degree? majinga haya yana divert attention tusiongelee usoro wa hii sirikali zembe
 
Nazani master planers wa ccm hawako makini.swala la elimu ya mtu sio la kuligusa kwa sasa,inaoneka wamebase ku question elimu za wenzao wakati watoto wa taifa hili hawapati elimu bora,kila mwaka kiwango cha kufeli kinaongezeka,alafu leo hao hao ccm wanahoji elimu ya mtu mmoja,thats trush.juliana sio sawa ya mbowe au slaa,yeye acheze na akina heche na sanane,hata kama ni siasa lakin ustaarabu lazima uwepo nidhamu muhimu,ccm wameona hakuna mtu msafi anayeweza ku question mabaya ya cdm sasa wanawatumia hawa watoto kuwavunjia heshima viongozi wa chadema,all in the name of politics.
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

Hana hoja, arejee kwa watawala wenye nguvu ambao hawakuwa na sifa kama hizo ambazo yeye anazitaja John Major, Jacob Xuma na wengine wengi, hata hivyo ni vyema ukarejea sifa za kiongozi, kama ni za kutengenezwa au kuzaliwa nazo.
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

Huyo Shonza na wenzake ni MALAYA WA KISIASA. Elimu ya makaratasi hii imetusaidia nini mpaka hapa tulipo? kama siyo ya kukariri tu. mbona sijaona umuhimu wa elimu yetu. tunatumia elimu ambayo wenzetu wamekwisha toka huko miaka ya 50 sisi ndo tunaiendeleza.
 
Nadhani atakuwa hamjui Dr Jacob Zuma na elimu yake...au South Africa haimo SADC?

Zuma was born in Nkandla, Zululand (now part of the province of KwaZulu-Natal). His father was a policeman who died when Zuma was young, and his mother a domestic worker.He received no formal schooling. As a child, Zuma constantly moved between Zululand and the suburbs of Durban in the area of Umkhumbane (near Chesterville). He has two brothers, Michael and Joseph

Si tu kwamba Zuma hajaenda 'shule', lakini pia alipotwaa madaraka aliweza kufanya kile ambacho 'msomi' Mbeki alishindwa-aliboresha uchumi za South-tena kipindi kile ambapo kulikuwa na anguko la uchumi dunian.

Binti haelewi mambo mengi au inawezekana ndo siasa zetu za propaganda. Svangirai wa MDC ya Zimbabwe ni form four leaver. Alikuwa kiongozi wa upinzani na sasa ni makam wa rais na mambo yanaenda. Pia Kikwete ana degree ya uchumi. Niwaulize wenzangu, upo wapi uchumi wa Kikwete?
 
Heri Waziri Mkuu wa Form Four mwadilifu, muwajibikaji, mzalendo KULIKO Waziri Mkuu Prof, au Dr., lakini asiyewajibika mwizi na fisadi!
 
Aka kajamaa kalianza ufisadi mapema..,na elimu yake ya form four leaver alipataje kazi BOT????


baba mkwe wake mzee mtei alikua gavana wa benki kuu akampa mbowe kazi bila ya kuwa na vigezo. ufisadi upo kila sehemu. chezea mtei na mbowe wewe!
 
Juliana bakamulie hao yasikutishe matusi,nimefuatilia mwanzo mwisho wa hii thread sijaona tusi jipya hata moja yote ni marudio tu.Labda warudi tena mwembe yanga kwenye ile semina yao.

......

th


kuna mdau ameniuliza slaa ana shahada ya kwanza ya chuo kikuu? nikakosa jibu
akaniuliza tena: slaa ana masters? nikakosa jibu
akaniuliza: mtu anaweza kupata phd (isiyo honorary) bila ya kuwa na masters degree? nikakaa kimya
akaniuliza: cheo cha udokta amekipata wapi slaa hadi aitwe dr slaa? nikaguna
akaniuliza: unajua kuwa slaa phd yake ni ya kidini (canon law) nikamuambia kuwa mi nilidhani ni ya masomo mengine. kumbe ni ya kidini!?

"ka nchi haka kananuka" j.k. nyerere


akanirushia hizi data na mimi nimeona bora mnisaidieni kujibu hayo maswali hapo juu!




EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993

TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985

St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981

St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]

Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973

Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969

Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960

INA MAANA CHADEMA WASOMI NI LISSU, ZITTO, PROF WA KISWAHILI NA MDEE PEKE YAO! mmmmmhhhh! kazi ipo!
 
Malaya mtimizie haja zake kila anapotaka, atakufagilia sana. Siku utakapomgomea kumpa akitakacho, atayasema juu yako hata ambayo hujawahi kuyasikia tangu uzaliwe kumhusu binadamu.
 
Back
Top Bottom