Juliana Shonza amlipua Mbowe

Juliana Shonza amlipua Mbowe

ukishazoeya kuhongwa chips na mayai ya kisasa sanaaa,kamwe hutafikiria kitu kingine zaidi ya namna ya kupata mkaa,mafuta,viazi na kuku wa kukutagia mayai ili ufurahishe nafsi za wanaokuwezesha kuyapata hayo.

ndo maana hakuna lolote la maana hili pepo linaweza kuongea. NI SAWA NA KOBE JUU YA MTI,HANA MBELE WALA NYUMA KWANI HATA KUSHUKA KWAKE MTINI NI MTIHANI HATA KUPANDA KWAKE mtini ni kwa uwezo wa wengine.

POLE SANA DADA POA
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

Njoo na hoja za maana siyo huo upumbavu
 
Jamani hakuna mtu anayeweza kukapachika mimba haka kabinti ili katulie?me ntadhamini pambano lote,kakianza kunyonyesha katatulia.
 
Chadema kwa matusi?

Kwani LUSINDE kahamia CHADEMA? hilo ni swali au tusi? kukojoa ni tusi siku hizi? Nyie Vijana wa CCM hapa JF mmelogwa au nn? Mbona uwezo wenu wa kutafakari na kutafsiri umekaa Hovyo hivi?
 
Na Elimu ya Kikwete ya Udaktari ina faida gani kwa Tanzania?....au kuchomeka kwa makanisa ndiyo ufanisi?


Hana Udaktari wowote wa kutambulika huyo, alipewa zawadi na maprofessor wasiojihamini ili kumushukuru kwa kuwateua. Labda kama Ph.D. yake ni kwenye udhaifu wake wa kucheka au ya kusalimia waliokufa!
 
ma Dog izz ma GUNS:tape2:
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
 
kawawa elimu yake ilikuwa ndogo ndo maana kila aliloambiwa na Nyerere alitekeleza bila kufikiri! mfano, operesheni vijiji vya ujamaa! matokeo yake wananchi walihamishiwa vijijini kwa nguvu na kuliwa na Simba! ndio maana ni hatari kwa viongozi wenye elimu ndogo kama Mbowe kupewa madaraka!
Uwe mkweli kidogo! Kwani Kawawa ndiye aliyeasisi siasa ya vijiji vya ujamaa? Tupia lawama Tanu yako iliyozaa ccm. Kwenye elimu, sasa hivi mbona wanatupeleka ndivyo sivyo! Angalia sera yako ya sekondari za kata zilivyoleta matunda na kiongozi ni Dk!
 
Huyu Binti ni mwehu sana ..baada ya kutoka huko ndio ameyaona hayo ..mfa maji haishi kutapatapa
Ni bora kuwa na kiongozi ambaye ni form six kama ulivyodai na anajali na anajua Watanzania wanataka nini,kulikoni kuwa na wasomi wenye digrii mafisadi na wasio na msimamo kama Juliana Shonza, Hao wasomii wamefanya nini au wameifanyia nini Tanzania? Ukiwemo na wewe Juliana,hauaminiki,Utatumika tu kama Condom na mwisho utattupwa chooni
 
Na unajuwa jinsi yeye na bosi wake walivyoiangamiza nchi?
Usiwasingizie kabisa mkuu! walituachia nguzo kuu zote za uchumi katika nchi hii! Hao wasomi wako ndiyo waliouza kila kitu na sasa wana ukwasi kumkaribia Bill gates kwa kodi yako na pesa zao zipo nje ya nchi!
 
Siasa kweli mchezo mchafu! Hivi elimu ni muhimu au sio muhimu? Kama elimu si muhimu kwa nini Mbowe amtake waziri mwenye dhamana ajiuzuru? Kama ni muhimu kwa nini wafuasi wa CDM wanamkingia kifua Mbowe ambaye ni form leaver? Naomba mnijibu!
 
Safi sana Shonza wewe wa keep buzy Magamba kwa ngonjera ili CDM iendelee na harakati za ukombozi wa Watanzania
 
Juliana... Leo unayasema hayo kuwafurahisha waliokununua, wakikutumia watakutupa kama ganda la kunde!
 
Bibiye Shonza naomba nijue matokeo ya kidato nne mwaka huu Tanzania. Na pia vipi ya huko Mbozi kwenu?
 
Back
Top Bottom