Juliana Shonza amlipua Mbowe

Juliana Shonza amlipua Mbowe

Wewe unakojolewa ukiwa umesimama au umekaa!! Njaa inakusumbua mama hebu tafakari kwa makini je ndiyo akili yako imefikia kikomo katika kutafakari.
Mbona wake za Kichaga na Kikuyu hukojoa wakisimama?
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Mbona makamba std viii (eight) alikua katibu wa CCM na Lukuvi std vii (seven) waziri. Shonza anashangaa nini. Yeye university degree yake inamsaidia nini kama anaweza kugeuzwa sahani ya santuri na CCM.
 
Duh,kweli maji yashingo!!Ogelea dada au ujui?Endelea kusubiri utazama hivihivi tunakuangalia!
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

Huyu dada kilaza kweli. Ok mbowe ni Form four na yeye ni degree holder lakini mbowe ndo mwenyekiti wa Chadema na yeye ni kibaraka wa Magamba, Mbowe anaongoza chama cha wenye akili, Yye ni limbikeni wa magamba mwingine jamani anisaidie
 
Mzee Kawawa alikuwa na elimu gani wakati wa utawala wake? Au Shonza alikuwa bado hajazaliwa!

Sidhani kama hata wazazi wake waliwahi kufikiria kuzaa mtoto wa aina ya Juliana,hakika hwakuwa hata na wazo hilo,na kwa bahati mbaya binti hyu ni mbulula vya kutosha maana inaonekana hata historia hakuisoma na kuielewa au ni zile shule za siku hizi za kufaulu huku hujui kusoma wala kuandika,maana kama hajui nchi hii iliwahi kuwa na waziri mkuu wa elimu ndogo zaidi wala asingelisema,lakini kama angelijua japo historia ya baadhi ya viongozi wa Brazili,na hata zingine jirani tu za africa zimewahi kuwa na wapigania uhuru wenye elimu ya darasani ikiwa ndogo kabisa na walifanikiwa kuikomboa nchi,na kipimo kwa Kamanda Mbowe ni jinsi alivyoingoza CDM tangu alipochaguliwa kuwa Mwenyekiti wa taifa,angekuwa na akili ya kupima mafanikio wala asingekimbilia kusema upuuzi katika Redio ya wapuuzi maccm.haya yeye anakadigrii hivi ukiwapanga na Mbowe mahali wakazungumza mbele za watu nani ataonekana ana maono ya kiuongozi na mwenye uwezo wa kuongoza watu?je kadigrii kake ameifanyia nini nchi hii kwa hako ka cheti kake?acheni tabia za hovyo za kujiona wasomi kumbe ni EMPTY MAGAZINE,kwani hukujua hilo ndo umelijua leo we Shonza wewe!
 
Shonza uwe unafanya kautafiti kidogo kujiridhisha kabla hujatoka povu, mbona ukanda wa SADC kuna rais aliyejifunza kusoma na kuandika Gerezani, na leo hii anaongoza taifa kubwa kiuchumi Africa!
 
Anujua kuwa marehemu baba yake Mbowe ndiye alimnunulia nyerere suit ya kuendea uk kudai uhuru?chupi zingine zinatia kinyaa
 
Huyu dada kilaza kweli. Ok mbowe ni Form four na yeye ni degree holder lakini mbowe ndo mwenyekiti wa Chadema na yeye ni kibaraka wa Magamba, Mbowe anaongoza chama cha wenye akili, Yye ni limbikeni wa magamba mwingine jamani anisaidie
Kwani kuwa mwenyekiti ni kigezo kuwa Mbowe ana uwezo zaidi ya wengine ndani au nje ya chama?

 
Wewe unakojolewa ukiwa umesimama au umekaa!! Njaa inakusumbua mama hebu tafakari kwa makini je ndiyo akili yako imefikia kikomo katika kutafakari.
Chadema kwa matusi?
 
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!

nashukuru shenzy aah sorry shonzi kwa kutambua kuwa 2015 dr wilbroad peter slaa ndie atakuwa rais wa tanzania.
 
Kwani kuwa mwenyekiti ni kigezo kuwa Mbowe ana uwezo zaidi ya wengine ndani au nje ya chama?


Hapana siyo hivyo!!! maana yeye anadhani kuwa na elimu ndo kuwa na uwezo wa kiungozi! kama ni hivyo basi tungekuwa tunatawaliwa na maprof!! yani mpaka wakuu wa Kata wawe madr ndo hoja yangu hiyo.
 
Hapana siyo hivyo!!! maana yeye anadhani kuwa na elimu ndo kuwa na uwezo wa kiungozi! kama ni hivyo basi tungekuwa tunatawaliwa na maprof!! yani mpaka wakuu wa Kata wawe madr ndo hoja yangu hiyo.
Pomoja,hivi uchaguzi Chadema tarehe ngapi?
 
Back
Top Bottom