Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,217
sisi huku msigani tuna diwani wetu hana hayo madigrii yenu ila jembe kweli kweli. namkubari mbowe kwa uwezo wake elimu bila hekima ni sawa na hereni ya dhahabu kwenye pua ya nguruwe
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Inavyoonekana haujamaliza hata darasa la saba..,maana hata kuandika haujui..,jifunze kwanza kuandika ili tuweze kuelewa unachokimaanisha kwenye maandishi yako..,binafsi sijaelewa kitu.
Mbona Mbowe alisoma Ihungo Sekondari na kumaliza kidato cha sita? Na Hull Univeristy je aliendaje? I doubt ukweli wa huyu dada lakini muhimu si elimu ila uwezo. Hivi Jacob Zuma alimaliza darasa la ngapi? How many of Tanzanian politicians can match him? Aibu kwa wanasiasa wa chama tawala ku capitalize kwenye personal attacks!
Mkuu Ng'wamapalala naona umeamua kujivika upofu mchana wa jua kali. Huo mfano wa Rajoelina ni kukuonyesha tu kwamba hata DJ anaweza kushika the top most position.
Pressure kutoka international community zipo hata kwa maraisi walioingia ikulu kwa kura. Na rajoelina hagombei tena uraisi kama ilivyo kwa Ravalomanana kama peace agreement.
Suala la delivery ni kitu kingine kwakuwa haitegemei umeingiaje ikulu. Raisi Kikwete ameshindwa kuiongoza nchi tunashuhudia mauaji ya kirejareja. Kikwete hata hajui hata sababu ya umasikini wa nchi hii na alipigiwa kura za kishindo na watanzania mwaka 2005.
Leadership is all about function, it's all about delivery not school certificates! Kama certificates ndo kila kitu basi tusingeshuhudia huu ujinga unaofanywa na serikali ya ccm iliyojaa maprofesa.
Huyu Binti tumsamehe bure ana mtindio wa ubongo.
Mbona mimi nafahamu kwamba Juliana ndio malaya kuliko wote aliyewahi kutokea kuwa mwanasiasa duniani
Haya mambo yapo tu, kwenye kila tukio kuna awali
Na mbowe atakua awali ya elimu ndogo lakini ya ukweli na si ya kchakachua
Katika nchi za Jumuiya ya SADC, Freeman Mbowe ndio kiongozi wa upinzani bungeni mwenye elimu ya form four(kidato cha nne).
ndio mwenye elimu ndogo kuliko wote kiasi Juliana Shonza kushangazwa wakati wa mahojiano na Radio Uhuru FM, kama Dk.Slaa atakuwa Rais, Mbowe Waziri Mkuu ..basi Taifa litakuwa na Waziri Mkuu form four.......aibu nyingine hii mwenye taaluma ya UDJ!
Haka kabinti katakuwa kamechanganyikiwa baada ya kufukuzwa CHADEMA.
Wewe umemaliza la saba? soma heading ya thread yako. Ni amlipua au ni "alimpua". Mtafute huyo unayemrekebisha mrudi darasani pamojaInavyoonekana haujamaliza hata darasa la saba..,maana hata kuandika haujui..,jifunze kwanza kuandika ili tuweze kuelewa unachokimaanisha kwenye maandishi yako..,binafsi sijaelewa kitu.