Its sad kuona at 42 uko lonely. Ila maisha huwa yanatafautiana. Kweli life inaanza at 40. Wale wote wenye pesa za ukweli wako 40s and above. Na hao ndio wanamake decision na wanarun the economy. Mfano: mengi. Sasa mengi akisema anataka mdada watajaa pm ama sio?
Mwanaume aliyesoma na mwenye kipato hata sumbua atakuwa mwelewa na kujiheshimu. Huyu anataka mtu wa kumliwaza, kucheka, kufurahi, utani kama vile alivyokuwa 26. Tumeelewana. Unavigezo tuma pm.
Sent from my Samsung Note III using Tapatalk