Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,263
Alafu nikishawabadilisha waume zao waje kunitembezea kichapo? Maana sio pande zote zitafurahia hayo mabadiliko.Ndiyo maana kukawa na kitu kinaitwa elimu... Yaani ni kumbadilisha fikara zake,kumpa uelewa na ufahamu mpya,na kumfanya aweze kujitegemea kwa mikono yake,akili zake,na nguvu zake...
Pls do it Lizzy!