[h=3]Jukwaa La Mgeni Rasmi Laanguka wakati wa Sherehe za Kuazimisha Miaka 50 ya Uhuru Chunya[/h]
Hapa ni Baada Ya Jukwaa la Mgeni Rasmi kuanguka na Kuvuruga Mambo ya Sherehe za Miaka 50 ya Uhuru Huko Chunya Pembeni ni Gari la Mkuu wa wilaya Huku Jukwaa likiwa limeporomoka na kuharibu kila kitu kutokana na Mvua kubwa kunyesha. Mia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.