Salaam , Shalom!
Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.
Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.
Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.
Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.
Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.
Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.
Nawasilisha.
Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.
Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.
Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.
Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.
Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.
Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.
Nawasilisha.