Jukumu langu ni moja tu, kudeliver lecture!!!

Jukumu langu ni moja tu, kudeliver lecture!!!

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,145
kuna siku Dr. Lwaitama alikuwa na lecture ya CL pale Nkruma hall, umeme ukakatika, mic ikawa haifanyi kazi, yeye akawa anaendelea kupiga pindi

Wanafunzi: Hatusikiiiii!!!!!

Lwaitama: "jukumu langu sio
kuwafanya msikie nina jukumu moja
tuu,nalo ni kudeliver lecture kuhusu nyie kutonisikia mnataka kunishikiza
kujiingiza katika majukumu yasiyo yangu"

akaendelea kukata lecture.......
 
mtamanyali, hapo unampa jukumu lingine, jukumu lake ni kuandika thread hili unalomuuliza ni jambo lingine kabisa...[/QUOTE]

Ha ha haaa, nimecheka mpaka basi.
 
Ni kweli ulitaka akatengeneze mic?!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
aaah aaah jamaa ananishinikiza kufanya jukumu ambalo si langu!!

halafu ukizingatia mtu mwenyewe unastress kibao, huna hela, huna kazi mpaka demu wako amekutosa halafu anakuja mtu anakupa majukumu mengine, ha ha ha ha ref to your avatar.
 
halafu ukizingatia mtu mwenyewe unastress kibao, huna hela, huna kazi mpaka demu wako amekutosa halafu anakuja mtu anakupa majukumu mengine, ha ha ha ha ref to your avatar.

teh teh umeona eeh
 
kuna siku Dr. Lwaitama alikuwa na lecture ya CL pale Nkruma hall, umeme ukakatika, mic ikawa haifanyi kazi, yeye akawa anaendelea kupiga pindi

Wanafunzi: Hatusikiiiii!!!!!

Lwaitama: "jukumu langu sio
kuwafanya msikie nina jukumu moja
tuu,nalo ni kudeliver lecture kuhusu nyie kutonisikia mnataka kunishikiza
kujiingiza katika majukumu yasiyo yangu"

akaendelea kukata lecture.......

Huyu DR. ni noma...nakumbuka hata sisi darasani kwetu alishawahi kutoa mtihani (test) wa CL kwa kutunga maswali ya papo kwa papo, na kama hujasikia swali au hukuwepo darasani hakuna kuuliza tena kwasababu hana jukumu la kuwafanya students kusikia au kuja class.
 
Lmao.
Mmenikumbusha mwalimu wa hisabati nikiwa form 1. Just outside our class kuna bomba ambalo halikaukiwi maji. Kukawa hamna maji jikoni, tukatolewa class kwenda kuchota. Tumepangana foleni, akaja akaingia class. Akafundisha madawati. Hairuhusiwi kuingia bila mwalimu kukuitikia, so watu wote tukarudi tukawa mlangoni. Akafundisha akamaliza kipindi akaondoka. Kesho yake kafika anauliza nani ana swali kuhusu kipindi cha jana?

Le proffesorri alikuwa ana vibweka. Tulimshtaki kwa mwalimu mkuu, in the end naskia aliishia mirembe.
 
Lmao.
Mmenikumbusha mwalimu wa hisabati nikiwa form 1. Just outside our class kuna bomba ambalo halikaukiwi maji. Kukawa hamna maji jikoni, tukatolewa class kwenda kuchota. Tumepangana foleni, akaja akaingia class. Akafundisha madawati. Hairuhusiwi kuingia bila mwalimu kukuitikia, so watu wote tukarudi tukawa mlangoni. Akafundisha akamaliza kipindi akaondoka. Kesho yake kafika anauliza nani ana swali kuhusu kipindi cha jana?

Le proffesorri alikuwa ana vibweka. Tulimshtaki kwa mwalimu mkuu, in the end naskia aliishia mirembe.

haaaahaaa King'asti....huyo ticha ni noma....duniani raha tupu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom