demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Lufunga atapata shida sana pale kale....Ukiingatia anakutana na mtu ambaye anamsumbua sana ...mara kwa mara.Tambwe kufunga lile goli ni kosa la kawaida ambalo halistahili kumlaum beki kwa next mechi....kwa maoni yangu lufunga bado ni beki mzur ...bado Kisiki banda hajarejea juko acheze karata tu huko kwao
Kuhusu huyo Banda....nadhani ndio siku ambayo mtamjua vyema....na rafu zake isizo na msingi..
Akiwepo Banda/Lufunga naiona penalty ileeeee kwa mbali..