Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,625
- 22,004
Azam na mo mbona wana viwanda kenyaViwanda vyetu hususani kama vya Azam vijiandae kwa maumivu kwani itakuwa ngumu kushindana na maviwanda ya Kenya. Pia na sisi tunaotaka kujenga tujumba twetu tujiandae maumivu kwani cementi ya kutoka viwanda vyetu ambayo ina ubora wa hali ya juu hususani ile ya Dangote, kiasi kikubwa kitakuwa kinaenda Kenya kwani huko itauzwa bei kubwa. Hii ndiyo win win situation? Tunapata juice kwa bei nafuu na kupata sementi kwa bei ya juu zaidi.
Pia majadiliano ya EPA yameanza ili bidhaa kutoka nchi za Europa nazo ziingie Tanzania bila vikwazo kushindana na bidhaa za viwanda vyetu. Hili ni jambo jema ili kuvifundisha adabu viwanda vyetu ambavyo kila kukicha vinatupandishia bei ya bidhaa zao. Mafuta ya kupikia, sukari na kadhalika bei zake hazikamatiki.
Tanzania allows sale of Kenya juices, wheat flour | Business Daily
www-businessdailyafrica-com.cdn.ampproject.org
East Africa: EAC Technical Team Meet in Arusha Over Epa Deal
East African Community sectoral council on trade, industry and investment is meeting in Arusha to deliberate on implementing the Economic Partnership Agreement (EPA) between the European Union (EU) and the EAC, the deal which remain unsigned since 2016.allafrica.com