TuntemekeSanga
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,346
- 863
Unalainishaa koo kidogo
yap!
maana hakuna namna nyingine sasa!
Wakati flan mtu unaamua kunanihii tu, maana stress kibao!!
Naona anachangia pato la taifa....
Anakula kitu mmbuyu .......dah safi sana.Judge anajitambua
Hivi bia zina athari gani?
yap!
maana hakuna namna nyingine sasa!
Anakunywa Safari?? Tukimpa Nchi si atakunywa hii pombe inayoitwa............
Acha unoko angalia ilipo glasi na alipo yeye inaonesha wazi kuwa hiyo safari ni ya mtu aliye pembeni yake na ni kama wanazungumza. Na hata kama anakunywa siyo kigezo cha kushindwa kuongoza kwani huna ushahidi wa yeye kushindwa kutimiza wajibu wake kutokana na kuywa pombe. Kusoma tabu! Hata picha?