Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

Sio kwamba wana haki, bali ni maelekezo ya sheria askari kumwambia mshukiwa sababu za kukamatwa kwake. Na si lazima Polisi mkamataji akaondoka na mshukiwa wake, Polisi anaweza kutangulia, mshukiwa akamfuata mwenyewe kituoni.
 
Back
Top Bottom