J.K.Rayhope
JF-Expert Member
- Oct 26, 2011
- 316
- 31
Wadau, zimebaki saa chache ambapo mbunge wa Arusha mjini Mh. Godbless Lema atoke kule lupango. Ikiwa Hakimu siku hiyo ameamka akiwa na "stress" akasema hakuna dhamana, kwamba arudi Kisongo au ipo.
Unadhani Lema atakubali kurudi lupango? Je unadhani Mh.Lema amebadilika? Unatazamia nini mapokezi yake?
Nawasilisha
Unadhani Lema atakubali kurudi lupango? Je unadhani Mh.Lema amebadilika? Unatazamia nini mapokezi yake?
Nawasilisha