JPM aliweza Live!,Je! SSH anaogopa nini?

JPM aliweza Live!,Je! SSH anaogopa nini?

voicer

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2020
Posts
5,545
Reaction score
11,943
"JPM"aliongea na Wananchi Papo kwa Papo bila chenga!
SSH hataki Maswali wala Taarifa toka kwa Wananchi kule anakopita.

JPM Aliongea kero husika na kwa wakati husika,Je! Samia anaogopa nini?

JPM alitatua kero husika zilizokuwa zikiwakabili wananchi na kwa wakati husika
Pale tu taarifa hizo zilimpomfikia rasmi.

SSH yeye anawazuia,huku akiamuru wapambe wake kuwasikiliza.
Wakati wao ndio watuhumiwa wenyewe.
SSH anaogopa nini?

JPM alihangaikia na kuwawezesha wajasiriamali nchini

SSH anahangaikia riziki na fursa zaidi kwa walamba Asali zaidi.

JPM alihimiza kuhusu kujitegemea kama taifa,badala ya kulala tukitegemea na kuwaza mfuko wa Wahisani na Wafadhili.

SSH yeye anatembea kwa kasi Duniani,akijitahidi kuomba mikopo kadri awezavyo.Na yule anayemkosoa anaishia kuondolewa uheshimiwa na kuwa Muishiwa.

JPM hakupenda kusemewa,bali alipenda kujisemea yeye binafsi mbele ya wananchi.

SSH anatuma wasemaji waongo kama Mwigulu,Makamba,Nape na wengineo wengi waliomzunguka.
Na
Wanachokisema wao sio kile wananchi wanachotaka kukisikia,au walichokitarajia kukisikia toka kwa Serikali yao.

JPM alipinga wanyonge kuonewa na kupunjwa haki zao.
SSH yeye anawakamua wananchi kwa kosdi na Tozo lukuki.

JPM alikagua miradi yote mikubwa kimkakati,huku akitaka maelezo ya kina pale ilipoonekana kusuasua.

SSH yeye ameikabidhi miradi kwa michwa,huku yeye akizunguka kila uchao,matokeo yake ndio haya tumeongia gizani nchi nzima.

Matokeo yake ni bei za bidhaa kupaa bila udhibiti kutoka mamlaka husika.

Matokeo yake hadi Bundle za mitandao zinapanda kila uchao,utadhani nazo zinaagizwa Ukraine.

#Mtanikumbuka.

Alamsikhi.
 
𝐍𝐢 𝐤𝐰𝐞𝐥𝐢 𝐤𝐚𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐚𝐬𝐢𝐥𝐢𝐦𝐢𝐚 90 𝐲𝐚 𝐡𝐚𝐲𝐨𝐨 𝐮𝐧𝐚𝐲𝐨𝐲𝐚𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐦𝐢𝐦𝐢 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐥𝐢𝐨𝐧𝐚 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐦𝐰𝐚𝐧𝐚𝐧𝐜𝐡𝐢 𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐰𝐚𝐢𝐝𝐚 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚 𝐢𝐥𝐚 𝐭𝐮𝐭𝐚𝐦𝐤𝐮𝐦𝐛𝐮𝐤𝐚 𝐭𝐮𝐡!! 𝐌𝐳𝐞𝐞 𝐲𝐮𝐥𝐞 𝐦𝐰𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐳𝐚𝐤𝐞𝐞
 
"JPM"aliongea nawananchi papo kwa papo bila chenga!
SSH hataki Maswali wala Taarifa toka kwa Wananchi kule anakopita.

JPM Aliongea kero husika na kwa wakati husika,Je! Samia anaogopa nini?

JPM alitatua kero husika zilizokuwa zikiwakabili wananchi na kwa wakati husika
Pale tu taarifa hizo zilimpomfikia rasmi.

SSH yeye anawazuia,huku akiamuru wapambe wake kuwasikiliza.
Wakati wao ndio watuhumiwa wenyewe.
SSH anaogopa nini?

JPM alihangaikia na kuwawezesha wajasiriamali nchini

SSH anahangaikia riziki na fursa zaidi kwa walamba Asali zaidi.

JPM alihimiza kuhusu kujitegemea kama taifa,badala ya kulala tukitegemea na kuwaza mfuko wa Wahisani na Wafadhili.

SSH yeye anatembea kwa kasi Duniani,akijitahidi kuomba mikopo kadri awezavyo.Na yule anayemkosoa anaishia kuondolewa uheshimiwa na kuwa Muishiwa.

JPM hakupenda kusemewa,bali alipenda kujisemea yeye binafsi mbele ya wananchi.

SSH anatuma wasemaji waongo kama Mwigulu,Makamba,Nape na wengineo wengi waliomzunguka.
Na
Wanachokisema wao sio kile wananchi wanachotaka kukisikia,au walichokitarajia kukisikia toka kwa Serikali yao.

JPM alipinga wanyonge kuonewa na kupunjwa haki zao.
SSH yeye anawakamua wananchi kwa kosdi na Tozo lukuki.

JPM alikagua miradi yote mikubwa kimkakati,huku akitaka maelezo ya kina pale ilipoonekana kusuasua.

SSH yeye ameikabidhi miradi kwa michwa,huku yeye akizunguka kila uchao,matokeo yake ndio haya tumeongia gizani nchi nzima.

Matokeo yake ni bei za bidhaa kupaa bila udhibiti kutoka mamlaka husika.

Matokeo yake hadi Bundle za mitandao zinapanda kila uchao,utadhani nazo zinaagizwa Ukraine.

#Mtanikumbuka.

Alamsikhi.
Rais aliyekuwa hajui kazi yake
Eti kutembea nchi nzima na msafara wa magari 290 na helkopta akisikiliza kesi za wamama kunyang'anywa mali na mashemeji zao ..
 
Akitokea mtu ambaye hakuona utawala wa Magufuli anaweza kuamini hiki kilio chako. Tuliona ukatili na kiburi chake cha madaraka tunajua kabisa hiki ni kilio cha kupoteza fursa baada ya kufiwa na sponsor.
Tunza maneno na chuki yako kwa Magufuli.

Muda Si Mrefu huenda ukayatumia,ila kwa namna inhine tofauti.

Chuki mliyonayo kwa Magufuli mi personal interested zaidi.

Kila alieguswa na panga lake,sidhani kama atakuja humu kusema zaidi ya haya unayolala nayo na kuamka nayo.

Yaliyotokea kipindi cha Magufuli sio mapya Duniani.
Sababu yapo na yanaendelea kutendeka.kuanzia Marekani mpaka huko Urusi.
Kuanzia Uingereza mpaka Mexico.

Kuyatumia kama hoja au sera,hakuongezi idadi ya kura bali kujenga kundi lingine dhidi ya wenye muelekeo huu dhaifu wa kivivu.
 
Tunza maneno na chuki yako kwa Magufuli.

Muda Si Mrefu huenda ukayatumia,ila kwa namna inhine tofauti.

Chuki mliyonayo kwa Magufuli mi personal interested zaidi.

Kila alieguswa na panga lake,sidhani kama atakuja humu kusema zaidi ya haya unayolala nayo na kuamka nayo.

Yaliyotokea kipindi cha Magufuli sio mapya Duniani.
Sababu yapo na yanaendelea kutendeka.kuanzia Marekani mpaka huko Urusi.
Kuanzia Uingereza mpaka Mexico.

Kuyatumia kama hoja au sera,hakuongezi idadi ya kura bali kujenga kundi lingine dhidi ya wenye muelekeo huu dhaifu wa kivivu.

Nasema hivi, hakuwa na jipya lolote zaidi ya ulevi wa madaraka.
 
Akitokea mtu ambaye hakuona utawala wa Magufuli anaweza kuamini hiki kilio chako. Tuliona ukatili na kiburi chake cha madaraka tunajua kabisa hiki ni kilio cha kupoteza fursa baada ya kufiwa na sponsor.
Chadomoo hoyeeeeeeeee
 
Nchi zenye demokrasia, nyingi ndio zenye huduma Bora. Na mifano ya dhahiri ipo. Labda kama hujui unaongea nini.
Hajitambui huyo jamaa Tindo
Ni ile ile aina ya watumbuliwa waliobaki na vijiba vyao moyoni mpaka siku wanaingia kaburini.
 
Nchi zenye demokrasia, nyingi ndio zenye huduma Bora. Na mifano ya dhahiri ipo. Labda kama hujui unaongea nini.
Naona bado hujanisoma,unajibu tu just from no where!!
 
Joni hakuwa na hoja ,wenye hoja walipoongea aliwapiga risasi,akafungia Bunge ili atazame yeye na mkewe tena Saa tano usiku ,akafungia magazeti kifupi ni kwamba maccm hayapendi hoja zaidi ya udikteta yakisaidiwa na mburura polisi,JWTZ nk
Cheti fake wewe,hata mawazo yako yanaendelea kuwa fake!

Mchango wako uko clear na machungu unayopitia!
 
Back
Top Bottom