Joyce Kiria: Darasa la saba tu lakini mambo makubwa

Kimeo tu.yeye na Sipora wanaitaji shule. Watanzania tuamke tusiwape sifa za kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.huyu,kanumba,ray,ze komed wanaitaji shule.tusiwape sifa wasizostaili.

pole sana wewe na elimu una mafanikio gani?
 
Chipukizi said:
Kimeo tu.yeye na Sipora
wanaitaji shule. Watanzania
tuamke tusiwape sifa za kupaka
mafuta kwa mgongo wa
chupa.huyu,kanumba,ray,ze komed
wanaitaji shule.tusiwape sifa wasizostaili.
Nadhani haujui elimu ya Sporah ndo maana umeandika hayo uliyoyandika!
SPORAH HISTORY
 
Ukweli ni kwamba ukisoma unakuwa na fursa kubwa ya kuyamudu mazingira,cases za watu kama kiria ni very few na asitumike kama Role model.
 
Hio qoute zako zijakupata hapo? Mie maimuna

King Kong maana ya ile quotation "what a woman has done, another woman can do" ni " Alichofanikiwa kufanya mwanamke fulani, hata mwingine naye anaweza mradi adhamirie"

Kwa hiyo nilikuwa nina m-inspire Joyce akaze buti afike alipifika Tyra Banks.
 
Hivi mtu ana akili zake atasimama vipi kwenye media asema elimu haina umuhimu katika maisha ya mwanadamu alafu awekwe kwenye kundi la ma role model??? hapa sio swala la kupendana au kuchukiana....ila hana vigezo vya kupewa sifa mlizo mpa.
kwanza interview zenyewe anazo host kwenye kipindi chake full kuwa comand wageni wake.., na kuwapangia cha kusema (yani kinachomfurahisha yeye)...kwa kweli AKAJIPANGE UPYA, AJE KIVINGINE AKIWA ANA ELIMU LAKIN KWA PALE ALIPO SIDHANI KAMA ANA MIAKA 2 MBELE KUENDELEA KUMAINTAIN STATUS .... Kama amekutuma umpe promo mwambe hujatukuta

Acha wivu wa kike.....miaka miwili mbele yeye akipotea wewe utapata nini.?na sasa hivi alivyo wewe unakosa nini.... watu wengine wanakua wagumu kukubali mafanikio ya watu hapohapo wanawaombea na mabaya....kumbe tz kuwa maskini inachangiwa na vitu vingi.!lol
 
mimi cjaelewa "haters" wa kiria wanaongelea elimu gani,lakini nahisi kama ni ile ya kukariri,ambayo tunafundishwa kwa lugha ambayo sio yetu(ukikosea unachekwa),ambayo haitusaidii chochote zaidi ya kupata kazi na kuendelea kuwa mtumwa wa paycheck,lakini kwa maisha yetu na tulivyokuzwa,mwenzetu akiweza kuvuka kiwango,akawa na life nzuri pasipo utumwa wa paycheckhuyo inabidi tumsifu na hata tujifunze kuwa kama yeye.
 
wabongo tuache kukariri kwamba mtu kufanikiwa lazima awe na cheti,na tuache kuwazodoa waliofanikiwa kimaisha bila vyeti,kwani hamjui kuna degree za chupi nk.elimu sio darasani tu,neno elimu lina maana pana sana.
 
still elimu bado ni muhimu.
kwa maelezo yake tu nimeshaona kasoro Inayosababishwa na elimu
Hapo angekuwa na kampuni moja ikawa ina operate hiyo nyingine as subsidiary na kampuni kubwa as a parent company kuliko kuwa na kampuni mbili tofauti wa tz wanaona kuwa na kampuni nyingi ndio inshu wakati unaweza kuwa na kampuni moja ikawa ina operate kampuni mbali mbali aje kule jukwaa la biashara aanzishe thread tumsaidie
Darasa la saba sio mchezo

Well said, yaani simu yangu haina like button ningekulike na kizazi chako. Ila she is doing something ila wasiwasi wangu atakomea somewhere tu
 
Hadi stage aliyofikia tunatakiwa tumpongeze ukilinganisha na elimu yake!! Ka ulishaangalia show zake hauwezi ukaamini ka ana hiyo elimu kwa jinsi anavyo host vizuri!? Kuna show nyingi za wengine tumeona zimefail pamoja ya huwa host wake wamesoma ka ile ya Mary Rose (ka sijakosea) ya Star tv kuna ile ya Sporah naona huwa ya kawaida sana..

Lazima utakuwa nalako jambo kwa ujumla Joyce Kiria anafanya show kama vipindi vingine vya TV za Bongo nakama sikosei watu wanaangalia wanapoona ni mtu gani maarufu yupo zaidi ya hapo yeye hawezi kuhost kabisa tena usifananishe na Spora hata kidogo hamkutii hata kwa hatua kumi ingawa wote bado.
 
Education without liberation is nothing......................unaweze kuwa umesoma lakini hujaelimika.....

Lazima utakuwa ndo Joyce mwenyewe. My take msiondoke na misemo michache ya kuwafariji wanaoangamia mkachukulia ndo style yenyewe. Mamito unajuhudi sana kiukweli ungebustiwa na elimu kidogo ungefika mbali. Hizi nyota zinang'aaga alafu zinafifia na ndio kipindi cha elimu kunyanyua jahazi lisiangamie. Kufilisika kwa mwenye elimu si sawa na kwaasiye nayo mpenzi. Na elimu sio form 1-4 nenda vyuo short courses mbona zimewatoa wengi tu, wewe kwa sasa hauhitaji elimu ya ajira bali ya upeo zaidi.
 
acheni wivu wa kijinga na mtaendlea kujidanya kua elimu ndio maendleo..
elimu ni kujihakikishia kupata laki3 kwa mwezi ila sio maendleo nyie..
 
pole sana wewe na elimu una mafanikio gani?

Msipende kupima mafanikio na aggressive personal promo zenu jamani. Kwa Joyce ni kipaji kama mchuzi ni ule ulioungwa ila chumvi ikasahaulika jaribuni kufatilia show zake nyingi zimeeditiwa mpaka huelewi hawa walikuwa wanadiskasi nini. Kwa mwenye elimu anajua hapa ninavyomuangalia huyu mteja wangu natakiwa nimuulize swali hili badala ya hili.

Kwamfano nimegundua anatabia ya kuuliza swali straight ambalo muhusika angetegemea kuulizwa na akajibu majibu anayoyataka na wala sio majibu husika. Salama Jabir hii kitu anaimudu sana na niliigundua wakati wa interview zake za sasa. Kuna ya Wema Sepetu iko kwenye clips nyingi ukiitazama utarudia hasa alipoanza unaboyfriend wema akajibu hapana unajua Wema alitegemea swali linalofuata lingekuaje na Salama akamuuliza unajichubua she was shocked...... Ndo akajibu, yaani hiyo inakufanya usubirie interview yoyote atakayoifanya
 
hio qoute zako zijakupata hapo? Mie maimuna
ila unajua kina bill gates, mark zuckerberg na steve jobs wamefika chuo
hawajaishia junior school....
Hilo moja

pili
hao ni watu wamekuja ku create a product ambayo haikuwepo mwanzo..so wao wamekuja na kumonopoly market wao wali innovate ...
Sasa huyu joyce kiria anafanya kazi ambayo kuna watu wanaifanya na wana uwezo mkubw wa kuifanya na wana elimu kubwa ....
Kuna wanawake wangapi wana host show za kimataifa duniani??
Ni zaidi ya 500
yeye na darasa la saba yake ya necta awapiku???
Not today....
 
Namkubali Joyce Kiria nimemuona kwenye porogrammes za African Magic. Kuhusu kusoma asijali kwani hata kina Bill Gates,Winston Churchill, Steve Jobs hawakuwa na vyeti vya University. Cha muhimu ni upeo upeo ulionao na jinsi jamii inavyopokea mchango wako. Ila ukitaka kusoma bado una chance kwani waweza kujiandikisha QT ukapata "O" level credits then una sit private candidate exam ya Form VI. Therefter ukipata eligibility ya university waweza kuwa graduate by 2017. Na nakuhakikishia ukifika hapo utakuwa juu sana. Hata Tyra Banks amegraduate mwaka 2012 na degree ya Havard baada ya kufanya talk shows na modelling kwa miaka zaidi ya 15. Wake up Joyce and do it!! Kumbuka kuwa "What a woman has done, a woman can do"

ila unajua kina bill gates, mark zuckerberg na steve jobs wamefika chuo
hawajaishia junior school....
Hilo moja

pili
hao ni watu wamekuja ku create a product ambayo haikuwepo mwanzo..so wao wamekuja na kumonopoly market wao wali innovate ...
Sasa huyu joyce kiria anafanya kazi ambayo kuna watu wanaifanya na wana uwezo mkubw wa kuifanya na wana elimu kubwa ....
Kuna wanawake wangapi wana host show za kimataifa duniani??
Ni zaidi ya 500
yeye na darasa la saba yake ya necta awapiku???
Not today....
 
ana makubwa gani kujishaua tu....makubwa yake ni kusema elimu haina umuhimu??

Sikujui but najua una roho mbaya na wivu na tena unaonekana umekulia shida sana na hazitaisha kwa kuwa na roho mbaya, I ddnt know joyce but she is good on her show, ni safari ndefu sana amepitia na kujituma kwake kutamfikisha mbali hado africa magic wamelipia na wanaonesha wanawake live africa nzima we unasema anajishaua, yaani wanawake kama nyinyi ndo maana tunawamega na kuwaacha kwa dharau as hamjiheshimu, unategemea vitu vya bwana halafu unamponda dada wa watu anaeshinda kwenye camera kutafuta ugali wake anajishaua, isingekuwa ban ningeongea neno baya sana jinsi nilivyokuona wa ajabu
 
mimi cjaelewa "haters" wa kiria wanaongelea elimu gani,lakini nahisi kama ni ile ya kukariri,ambayo tunafundishwa kwa lugha ambayo sio yetu(ukikosea unachekwa),ambayo haitusaidii chochote zaidi ya kupata kazi na kuendelea kuwa mtumwa wa paycheck,lakini kwa maisha yetu na tulivyokuzwa,mwenzetu akiweza kuvuka kiwango,akawa na life nzuri pasipo utumwa wa paycheckhuyo inabidi tumsifu na hata tujifunze kuwa kama yeye.

Kwa lugha nyingine hakuna haja ya kusoma?
 
kuna elimu tofauti tofauti kutokana na fani unayoitaka,huwezi kujifunza ujasiriamali shuleni lakini kama unataka kuwa na management ya maana,shule ni muhimu au kama huna elimu ya management then u will need to hire professional managers.Kwa ishu ya Kiria,anahitaji kusomea hiyo fani ambayo anaifanya,kwa sababu huwezi kujifunza utangazaji mitaani,ndo maana watu kama oprah walirudi shule,hiyo ni kuboresha tu kipindi chake.
 
Back
Top Bottom