Chriskisamo
Senior Member
- Dec 21, 2011
- 166
- 38
Kimeo tu.yeye na Sipora wanaitaji shule. Watanzania tuamke tusiwape sifa za kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa.huyu,kanumba,ray,ze komed wanaitaji shule.tusiwape sifa wasizostaili.
pole sana wewe na elimu una mafanikio gani?