ana makubwa gani kujishaua tu....makubwa yake ni kusema elimu haina umuhimu??
Ivi sasa unaona aibu kwa hii commentHivi mtu ana akili zake atasimama vipi kwenye media asema elimu haina umuhimu katika maisha ya mwanadamu alafu awekwe kwenye kundi la ma role model??? hapa sio swala la kupendana au kuchukiana....ila hana vigezo vya kupewa sifa mlizo mpa.
kwanza interview zenyewe anazo host kwenye kipindi chake full kuwa comand wageni wake.., na kuwapangia cha kusema (yani kinachomfurahisha yeye)...kwa kweli AKAJIPANGE UPYA, AJE KIVINGINE AKIWA ANA ELIMU LAKIN KWA PALE ALIPO SIDHANI KAMA ANA MIAKA 2 MBELE KUENDELEA KUMAINTAIN STATUS .... Kama amekutuma umpe promo mwambe hujatukuta
Prediction yangu ilikuwa conditional kwamba kama hatajiendeleza na kujifunza basi itakuwa failure. Ila Ni mjanja alienda shule na amekuwa na role models wa ukweli so wamemuelekezaa.Ivi sasa unaona aibu kwa hii comment
Hahaaaaa....haya...nimekuelewa...msalimie baba magogoni hapoPrediction yangu ilikuwa conditional kwamba kama hatajiendeleza na kujifunza basi itakuwa failure. Ila Ni mjanja alienda shule na amekuwa na role models wa ukweli so wamemuelekezaa.
Haaa nimekutafuta weweee!!Prediction yangu ilikuwa conditional kwamba kama hatajiendeleza na kujifunza basi itakuwa failure. Ila Ni mjanja alienda shule na amekuwa na role models wa ukweli so wamemuelekezaa.
hehehehe cku hizi nimekuwa msomaji my dear.....halafu nalea. nimebanwaaaaa ww jumlisha napambana na hali yangu aseee!Haaa nimekutafuta weweee!!
Kumbe ndo umebadilika hv!! Hata celebrity huji tena
not fair my dear!!hongera kwa kunyonyesha yaani daah!hufai we wee!kupambana na hali huku looihhehehehe cku hizi nimekuwa msomaji my dear.....halafu nalea. nimebanwaaaaa ww jumlisha napambana na hali yangu aseee!
uliona mbaliHivi mtu ana akili zake atasimama vipi kwenye media asema elimu haina umuhimu katika maisha ya mwanadamu alafu awekwe kwenye kundi la ma role model??? hapa sio swala la kupendana au kuchukiana....ila hana vigezo vya kupewa sifa mlizo mpa.
kwanza interview zenyewe anazo host kwenye kipindi chake full kuwa comand wageni wake.., na kuwapangia cha kusema (yani kinachomfurahisha yeye)...kwa kweli AKAJIPANGE UPYA, AJE KIVINGINE AKIWA ANA ELIMU LAKIN KWA PALE ALIPO SIDHANI KAMA ANA MIAKA 2 MBELE KUENDELEA KUMAINTAIN STATUS .... Kama amekutuma umpe promo mwambe hujatukuta