Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
wapi kasema elimu haina umuhimu???ana makubwa gani kujishaua tu....makubwa yake ni kusema elimu haina umuhimu??
BTW mfumo wa elimu ya tz inamsaidia nini mwanafuzni?
wapi kasema elimu haina umuhimu???ana makubwa gani kujishaua tu....makubwa yake ni kusema elimu haina umuhimu??
wapi kasema elimu haina umuhimu???
BTW mfumo wa elimu ya tz inamsaidia nini mwanafuzni?
wanawake bana mna safari ndefu sana paka mfikie malengo labda watakao kuja fanikiwa ni watakaozaliwa 2099
Si umeomba/unataka source hayo maneno aliyasema kwenye interview zake na mama huyu: MANGE KIMAMBI & DEVOTA ON WANAWAKE LIVE..ENJOYYYY....
siku nyingine umetetee mtu unayemjua sio otherwise
Unajua mgombea mwenza wa CHADEMA 2010 alikuwa na elimu gani? Af nae ndo ilikuwa aje aongoze nchi!!PINER said:BAADA YA MIAKA 5 AMBAPO CHADEMA
NDO ITAKUWA IKIONGOZA NCHI
SIPATI PICHA LABDA MUMEWE NDO
ANAKUJA KUWA MBUNGE HALAF WAZIRI
WA FEDHA/AFYA AU CHOCHOTE MKE WA
WAZIRI HATA YES/NO HAJUI..
Wewe umevaa pete za uchumba mara ngapi? Nungaembe we!!!
hayo yote yametoka wapi? Tuwe watu wakuapreciate mtu anachokifanya,ppo are not always perfect ila joyce anastahili kupongezwa ni kati ya wanawake wachache wa kuigwa ktk jamii,shela ata akivaa mara kumi ni yeye na atabaki kuwa yeye...we unaonekana mdomo wako mweusi umekalia umbea na majungu,ndugu yangu majungu si mtaji.
big up sana kwa Joyce kiria,hata ukiangalia kipindi chake utaona ni jinsi gani anvyostahili kupongezwa kulingana na historia yake na alipo sasa amepika hatua kubwa ya maendeleo na kingine anajiamini sana. Hongera dada kaza buti,nakutakia jitihada zaidi na mafanikio zaidi ya ulipo sasa.
sio kweli tena binafsi nikiangalia kipindi chake ndo nchoka kabisa akiendesha very unprofessional kwa sababu hana ulewa mkubwa wa mambo muhimu kama umuhimu wa elimu hasa kwa mwanamke.
View attachment 48787
Mtangazaji Mashuhuri wa Kipindi cha Wanawake Live Bi Joyce Kiria leo 0603012 ameweka bayana kiwango chake cha elimu na kusema kwamba licha ya kwamba ameishia darasa la saba tu lakini ni mwanamke anayeweza kujivunia kwa mafanikio aliyonayo hadi sasa kwa kuweza kumiliki kampuni mbili ikiwemo ya Local Media Entertainment, ameyazungumza hayo na kuishia kububujikwa machozi wakati wa maadhimisho ya kuelekea siku ya mwanamke duniani aliyoandaliwa na WiLDAF katika ukumbi wa Karimjee (mtoa makala alikua shuhuda) na kusema kwamba mfumo wa elimu uliopo sasa unamkwamisha kuendeleza kipaji chake......
View attachment 48787
Mtangazaji Mashuhuri wa Kipindi cha Wanawake Live Bi Joyce Kiria leo 0603012 ameweka bayana kiwango chake cha elimu na kusema kwamba licha ya kwamba ameishia darasa la saba tu lakini ni mwanamke anayeweza kujivunia kwa mafanikio aliyonayo hadi sasa kwa kuweza kumiliki kampuni mbili ikiwemo ya Local Media Entertainment, ameyazungumza hayo na kuishia kububujikwa machozi wakati wa maadhimisho ya kuelekea siku ya mwanamke duniani aliyoandaliwa na WiLDAF katika ukumbi wa Karimjee (mtoa makala alikua shuhuda) na kusema kwamba mfumo wa elimu uliopo sasa unamkwamisha kuendeleza kipaji chake......
Hapo umenena Anne. Huyo the so called mrembo by nature nadhani haishi kusutwa mtaani kwao kwa umbeya. Wivu wake uko deep kiasi kwamba anaweza hata kumuwekea mtu sumu. Atakufa na kijiba cha roho.
Mwanadafada Joyce ni wa shoka kweli kweli...nampa big up kwa elimu yake mambo yake ni superi aisee.....tuemona wengi na elimu zao wametrufukisha hapa tulipo.....sio kweli tena binafsi nikiangalia kipindi chake ndo nchoka kabisa akiendesha very unprofessional kwa sababu hana ulewa mkubwa wa mambo muhimu kama umuhimu wa elimu hasa kwa mwanamke.
big up joyce sasa na wale wenye MB wanazopiga kelele nazo, wanaishia tu kuzururaa kwenye maclub kucha na na mafake wig yao!Yeah wanawake tunaweza
Bahati mbaya au nzuri hiyo safari haikuhusu na wala hajakwambia umsaidie kumbeba ni yeye na familia yake!?Mrembo by nature said:Ila bado
ana safari ndefu ya
kwenda...
gube gube kama mange lina MBA.....huweiz kumuweka mange na joyce sehemu moja wajadili kitu..joyuce atamtoa nokout.....big up joyce sasa na wale wenye MB wanazopiga kelele nazo, wanaishia tu kuzururaa kwenye maclub kucha na na mafake wig yao!
BAADA YA MIAKA 5 AMBAPO CHADEMA NDO ITAKUWA IKIONGOZA NCHI SIPATI PICHA LABDA MUMEWE NDO ANAKUJA KUWA MBUNGE HALAF WAZIRI WA FEDHA/AFYA AU CHOCHOTE MKE WA WAZIRI HATA YES/NO HAJUI...PENGINE UMEKUJA UGENI TOKA NJE YA NCHI INABIDI PAWEPO MKALIMANI....YAANI MKE WA KIONGOZI KUAMBIWA UMEFIKA LA 7 INATIA AIBU, AFADHALI KWA WALE MAMA ZETU WA MIAKA HIYO AMBAYO SASA HIVI WANA 45-60-70 KAMA KINA MAMA MARIA NYERERE....LAKIN KWA SISI VIJANA WA SASA HIVI NI AIBUUUUUUUUUUUUUUUUU TENA AIBU KUBWAAAAAAAAAA KWANZA NI AIBU KUTAMKA HADHARANI ULIISHIA LA 7, NA HUONYESHI DALILI YA KUJIENDELEZA...KINA BAKHRESA JAPO WAO HAWAKUBAHATIKA (Tuangalie na umri pia)...lakin watoto wake wengi ni wasomi wazuri tu...