Anajua kuhusu Heligoland Treaty pamoja na maamuzi ya umoja wa mataifa kuhusu mipaka ya nchi zilizo karibu na mito,maziwa,bahari?Akihojiwa na Al-jazeera leo kuhusu mpaka wa ziwa nyasa na Tanzania,amesema kwa
umri wake wa miaka 63 hajui kama Tanzania ina umiliki kwenye ziwa Nyasa.
Hata hivyo amesema legal institutions zitawatendea haki.
Wamalawi wana hati ya makabidhiano ya ziwa sisi bongolala tumelala hatuna hata document
Anajua kuhusu Heligoland Treaty pamoja na maamuzi ya umoja wa mataifa kuhusu mipaka ya nchi zilizo karibu na mito,maziwa,bahari?
Akihojiwa na Al-jazeera leo kuhusu mpaka wa ziwa nyasa na Tanzania,amesema kwa umri wake wa miaka 63 hajui kama Tanzania ina umiliki kwenye ziwa Nyasa.
Hata hivyo amesema legal institutions zitawatendea haki.
Akihojiwa na Al-jazeera leo kuhusu mpaka wa ziwa nyasa na Tanzania,amesema kwa umri wake wa miaka 63 hajui kama Tanzania ina umiliki kwenye ziwa Nyasa.
Hata hivyo amesema legal institutions zitawatendea haki.
huyu mama mwendawazimu!walikuwa wapi siku zote hizo?
Acha kuongea upuuzi. Wamekabidhiwa na nani?
Ndo mtajua walikabidhiwa na nani...
Sio mwendawazimu nyie watz ndo wendawazimu..mnachukulia mambo mzaha mzaha sasa huyu atawanyoosha
Angekuwa lowasa ndo amir jeshi mkuu hili suala lingekuwa limeisha siku nyingi