Toka tuanze na operation kadhaa nchini, nimekuwa muumini wa ukombozi kupitia gwanda, lakini sasa sitaki kulisikia tena! Baada ya kuingia ndani kabisa ubaguzi nilioukuta huko, sitaki kusikia tena, nikagundua kuwa kumbe swala si gwanda swala hapa ni Uzalendo. nimeamua kuvua gwanda na kuvaa UZALENDO.