Joto kali sana jiji la Dar, kulikoni?

Joto kali sana jiji la Dar, kulikoni?

Jamani sio mchezo joto joto Dar mpaka unashindwa kugusana na mwenzio maana unamkuta yuko chapachapa na jasho .

Kuna jamaa yangu wa Kariakoo anasema inabidi awake mpira wa kulalia maana maji yanayomtoka kama amejikojolea.

Kama kweli jamaa zetu wa Jangwani chonde chonde.

Karibu arusha
 
Mbona huku TANDALE kuna baridi kali sana mpaka tunashinda tukiwa tumevaa makoti makubwa.....kama LONDON
 
Kwani limefika ngapi mkuu, maana haka kawinter nilikaa siku 5 sijaona jua
 
Mwaka 1984 hali kama hii ilijitokeza. Pia mwaka 2000 hivi kama nipo sahihi.

Njia ya kulikwepa joto hili ni kila mtu apande miti na kuitunza ikue.

Paw. .... what will this condition attribute to .... draught or heavy rains ahead .... based on your mentioned past experience
 
Last edited by a moderator:
Mi nadhani ni magorofa kujaa mji mzima yameziba hewa toka baharini. Badala ya kupanda miti tunapanda matofari na vyuma utarajie nini? Mabadiliko ya hali ya hewa tokana na viwanda vingi uchina na India wanatuharibia anga.
 
Mimi nipo moshi km chache tu kutoka mlima kilimanjaro joto ni kali jana temperature ilifika 38'c.barafu inazidi poromoka tu
 
yaaaan ni balaaaa duh ucku hapalaliki
 
Back
Top Bottom