Compareno.............. Can you make a comparison between Nassari and Silinde? Is like Pure drinking water VS Maji taka!!!!!!!!!!!!!!!!
Hapo sijakuelewa, huyo Mbunge kamchana Mbunge mwenzake wa CDM ww unashangilia ni sawa na shoka linashangilia kuikata miti porini huku limewekwa mpini wa mti. Matokeo yake unafikiri ni CCM kuparaganyika au CDM, Hizo Kamati zote wenyeviti wake ni Wapinzani, waliozoea kuishambulia CCM wezi, sasa leo mtajua dogo kawasha moto km ule wa Arusha kudai Nchi ya kaskazini leo wanamwangusha mwenzao.Bravo Joshua Nassari,
Ni kweli kabisa ule usemi wa Mbunge 1 wa CDM=Wabunge 10 wa CCM unajidhihirisha!
Mhe.Nassari ni dogo janja ambaye ameingia juzi tu Bungeni lakini michango yake inaonekana wazi. Kwa CDM hiki ni kitu cha kawaida sana kwa Wabunge wake kutoa michango na hoja zenye mashiko.
CDM saafi sanaaaaaaaaaaaa!
Sasa ulitaka awe ndama daima?
Wapare wana msemo wao kuwa kwa kawaida ndama huwa anazaliwa bila mapembe na mapembe anayapata huku dunianNdama kaota pembe.
Nilijua mtatiririka,
You are so predictable, people...
Mh.Nassary kaongea vitu vya msingi...Huu mwaka Zitto hata usahau kabisa!..
umemaliza kusema?Ndama kaota pembe.