mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
kamati zote zivunjwe hata ile ya kusimamia fedha ya mzee cheyo...alikua wapi mbona hakuweza kusimamia fedha zinazopelekwa kwenye mashirika ya umma na zinachezewa...kamati zivunjwe bunge livunjwe Rais ajiuzulu kue na uchaguzi tuanze upya