sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Sisi umoja wa wezi wasitaafu wa kuku za Wananchi wenzetu, wezi wa unga na mchere dukani Kwa mangi, umoja wafungwa wa kusingiZiwa na watumishi wa jeshi la polisi ambao nao wamekuwa vinara wa kutukamata sisi na kutuswendeka sero ingawa nasi sasa hivi tunawakomoa Kila kukicha tunajinyonga tukiwa sero kwa kutumia aidha chupi au singirendi na mengineyo siwez taja zana zetu mtashutukia endeleeni kutuswendeka huko rupango paspo makosa Ili hali walio wapiga Bilioni 4.8 walio zipiga nimekutana nao south Africa wanakuka Bata Batale.
Mwingine ninae HAPA bongo kaisha fukuzwa kazi ila yupo kitaa anakula Bata.
Mh Rais sisi wezi wa kuku huku mtaani hatuja rizika na hatua uliyoichukua mfano kutengua bodi ya reli Tanzania huku katibu wake yule bwana kadogosa kubakia pale huu nao sisi tunaita ni ugwadu tuuu!
Mh Rais sisi tunauliza Kwa mfano kwenye chama chetu Cha wezi wa kuku mtaani katibu wa chama chetu Huwa ndo mtendaji wetu mkuu wa matukio ya wizi tunayo yafanya Sasa tuna hoji makatibu wakuu mbalimbali chini ya wizara na mashirika yaliyochini ya wizara hizo Huwa hawausiki kwenye wizi?iweje Leo hii wawachukulie hatua wezi wenzako?
Mh Rais sisi katibu mkuu wetu hawezi na hata iweje hawezi kutuchukulia hatua sisi kamwe maana kwanza SIE ni wenzake na tunakula nae siku zote.
Mh Rais walio iba ni watumishi walio chini Yako, Kwa Nini unapiga Mpira Kwa wengine wakati mamlaka unayo?mbona Mzee mwendezake alikuwa anawapelekea moto nani alijaribu hata kufikisha mashitaka popote?tunaitaji sisi wewe uchukue hatua huwezi basi waache wale bata Batale!
Mh Rais sisi tumemsikia bwana mmoja anae julikana Kwa jina la Ta mwami Zitto Kabwe anaomba Bunge la chama Cha mapinduzi tyuuuu peke Yao eti waunde kamati ya kuchunguza sijui Nini Nini?very rubish yaani Bunge la chama Cha mapinduzi liunde kamati ya kuchunguza sjui kamati gani na gani tangu lini ccm sisi tukaazibiana?
Huyu anataka ziundwe kamati ingawa yupo nje ya Bunge Kuna jinsi atanufaika sisi umoja wa wezi wa kuku tunasema hakuna haja ya kamati jaman majizi yanajulikana yametajwa yakamatwe yafungwe huku jera tunayasubiri jaman
Mh Rais vyura vya kihansi vinapatikana Tanzania tu,ila technolojia ya kuwatunza wanao wale watu wasio kuwa navyo waliipata wapi?
Wataalamu wetu tangu 2019 walisema mazingira yaliyopo wanaweza savaivu by 90% Kwa Nini Toka hapo havijarudishwa?
Naomba nikutonye uo ni uchochoro wa watu kulia.
Mh Rais sisi umoja wa wizi WA kuku, mbuzi na Bata na vitu vingine ambao ndo tumejaa magereza tunaomba utuletee wanao Nuka manukato tulio Jaa huku tunanuka uvundo
Salamu zikufikie Mh Rais!
Mwingine ninae HAPA bongo kaisha fukuzwa kazi ila yupo kitaa anakula Bata.
Mh Rais sisi wezi wa kuku huku mtaani hatuja rizika na hatua uliyoichukua mfano kutengua bodi ya reli Tanzania huku katibu wake yule bwana kadogosa kubakia pale huu nao sisi tunaita ni ugwadu tuuu!
Mh Rais sisi tunauliza Kwa mfano kwenye chama chetu Cha wezi wa kuku mtaani katibu wa chama chetu Huwa ndo mtendaji wetu mkuu wa matukio ya wizi tunayo yafanya Sasa tuna hoji makatibu wakuu mbalimbali chini ya wizara na mashirika yaliyochini ya wizara hizo Huwa hawausiki kwenye wizi?iweje Leo hii wawachukulie hatua wezi wenzako?
Mh Rais sisi katibu mkuu wetu hawezi na hata iweje hawezi kutuchukulia hatua sisi kamwe maana kwanza SIE ni wenzake na tunakula nae siku zote.
Mh Rais walio iba ni watumishi walio chini Yako, Kwa Nini unapiga Mpira Kwa wengine wakati mamlaka unayo?mbona Mzee mwendezake alikuwa anawapelekea moto nani alijaribu hata kufikisha mashitaka popote?tunaitaji sisi wewe uchukue hatua huwezi basi waache wale bata Batale!
Mh Rais sisi tumemsikia bwana mmoja anae julikana Kwa jina la Ta mwami Zitto Kabwe anaomba Bunge la chama Cha mapinduzi tyuuuu peke Yao eti waunde kamati ya kuchunguza sijui Nini Nini?very rubish yaani Bunge la chama Cha mapinduzi liunde kamati ya kuchunguza sjui kamati gani na gani tangu lini ccm sisi tukaazibiana?
Huyu anataka ziundwe kamati ingawa yupo nje ya Bunge Kuna jinsi atanufaika sisi umoja wa wezi wa kuku tunasema hakuna haja ya kamati jaman majizi yanajulikana yametajwa yakamatwe yafungwe huku jera tunayasubiri jaman
Mh Rais vyura vya kihansi vinapatikana Tanzania tu,ila technolojia ya kuwatunza wanao wale watu wasio kuwa navyo waliipata wapi?
Wataalamu wetu tangu 2019 walisema mazingira yaliyopo wanaweza savaivu by 90% Kwa Nini Toka hapo havijarudishwa?
Naomba nikutonye uo ni uchochoro wa watu kulia.
Mh Rais sisi umoja wa wizi WA kuku, mbuzi na Bata na vitu vingine ambao ndo tumejaa magereza tunaomba utuletee wanao Nuka manukato tulio Jaa huku tunanuka uvundo
Salamu zikufikie Mh Rais!