Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
hujitambui Nasary anakula kodi zetu wameru kukodisha helkopta.
Kwahyo siku hizi Nassari ndo anakusanya kodi za Arumeru? TRA wanafanya kazi gani sasa?
hujitambui Nasary anakula kodi zetu wameru kukodisha helkopta.
Nina mke tayari.
Mbona mkuu Ngongo kakujibu kwenye post #7 !katoa wapi pesa Nasary .
huelewi nini mkuu?Mkuu wangu kulikoni tena.
mbona mama yako anakunywaga nae hushangai?umeonyesha weledi wako kuwa unatumia viroba.
.... Za Lowasa Na Watia Nia Wa Ccm Za Kuhonga Wazamini Zimetoka Wapi? Nyani Haoni Kundule.
mkuu huyo dada ndo alivyo na ndo maana wanamdharau hata majibu serious hapewi coz ana atittude anaishia kupata matusi tuWe jamaa mbona huletagi mazuri anayofanyaga nassari au unalitaka jimbo nn ndo unakuja kiivyo
Nimempa mimi baada ya kuona zimenizidi! Na mimi hizo hela nilihongwa na mama yako! Ina maana mama yako alizichukua hizo hela bila ya ninyi kuwa na taarifa?wanabodi nawasalimu sana.
leo katika viwanja vya Seela Singisi mbunge Wa Meru ndugu Joshua Nasary anafanya mkutano Wa hadhara kusemea ilani ya chama chake aliyosimamia miaka takribani mitatu.
mosi karibu wiki mbili mbunge huyu amekuwa akifanya ziara zake kwa kutumia usafiri Wa helkopta katika kata 26 za hapa meru , napata mashaka na maswali kama mwananchi Wake kwamba gharama anayotumia kuzunguka na helkopta hii wakati wanameru wengi bado wanachangamoto kubwa sana kama ukosefu Wa Maji kama kata za Maroroni, kata ya Maji ya Chai , mathalani kijiji anachotoka hivi majuzi shule ya pale ilifungwa kwa ukosefu Wa vyoo.
aghalabu mbunge huyu kakodisha helkopta hii toka nchini Kenya sasa swali la logic inakuwaje gharama ya hizi helkopta asielekeze kutoa misaada kwenye maeneo yenye changamoto kama miundombinu ya barabara n.k
kaleta ambulance bado hajazikabidhi kwa Mkurugenzi Wa haashauri ya Meru ndugu Mallya, mganga Mkuu Wa Wilaya bado hana taarifa ya hizi ambulance , wananchi wanashangaa tu zinapiga ruti kama daladala.
naomba wanaomshauri Nasary wamshauri vizuri , na sisi tunaposema hatuna chuki Bali kukumbushana majukumu.
Nawasilisha.
kheee?!!! kumbe we mwanaumee???sasa unavyomshupaliaga mume wa mwenzio kama alikutumia na kukutelekeza ni nini?si bure we ni mchicha mwiba aisee!!!Nina mke tayari.
unadhalilisha wanawake wenzako boya wewe,jifunze kwa waliofanikiwa sio huyo boya mwenzio mleta chuki hana zuri analolijua kwa nasariNaona majibu mepesi na ya hovyo kwa hoja ya msingi.