Joshua Nassari MB.

Joshua Nassari MB.

To be Fair Lusinde alitakiwa kuhojiwa hata mwezi mzima,kwani alifika mahali pa kusema anataka wapigane na Slaa,Slaa kawapiga Mimba wanakwaya,hii mipolisi ilikuwa ndo kwanza inakenua meno kucheka,leo kijana kawapa ukweli wanamhoji six hours,simtetei Nasari lakini kama polisi wanataka kutuonyesha kuwa wanasimamia sheria zisivunjwe,Lusinde couldnt go untouched,totaly unfair
 
Polepole na mdomo wako Mh. Nassari. Kuna njia nyingi na pengine bora kuliko unazotumia muda huu (hasa kwa wiki hii) ambazo zinaweza kuleta ukombozi, haki na ustawi kwa wananchi wa Tz.

Nakupa benefit of doubts. But plz try and learn quickly so that you may rightfully play role-model mantra.


Ronald- stop barking on him, he is soso right! Watakaomshambulia hawajajua maana yake!
Si wanasema hicho Chama Ni cha wakrist Tena Wa kaskazini. Huo ndio msimamo basi wakawaabie wajitenge(najua haitawezekana)
Wala si nia ya Chadema!
Ikibidi hivyo na mimi nitajitoa.
My take.
Ujanja Wa Ccm ulipoishia ndipo smartness ya Chadema inaanzia.
Asante (Dogo janja)
Janja kwel kweli!
Ukiniona unanidai kinywaji!
 
Amesema jambo ambalo kwa haraka linaonekana lina mantiki lakini linapuuzia uzito wa alichokisema. Kama ni mtu mdogo hivyo aligombea ubunge wa nini? Kama anakosa hekima ya kupima madhara ya maneno yake - watu wanaweza kuumia kwa kauli moja tu ya mtu mwenye ushawishi - kwa sababu yeye ni 'mtu mdogo' ananitisha. Yeye anaweza kuwa na umri mdogo lakini nguvu ya ushawishi wake inashinda baruti na siyo watu wote wanaomsikiiliza wanamchukulia kuwa ni mtu 'mdogo'. grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

tuachane na unafiki wa kisiasa,akiongea mpinzani kaharibu ila akiongea mtawala safi. mwaipeleka nchi kubaya kwa ulegelege wenu,jiliuze matusi ya mbunge mtera angeongea mpinzani ingekuwaje? vua mewani ya chuma vaa ya kioo ili uone unafiki wa ccm + vyombo vyake vya dola.
 
Amesema jambo ambalo kwa haraka linaonekana lina mantiki lakini linapuuzia uzito wa alichokisema. Kama ni mtu mdogo hivyo aligombea ubunge wa nini? Kama anakosa hekima ya kupima madhara ya maneno yake - watu wanaweza kuumia kwa kauli moja tu ya mtu mwenye ushawishi - kwa sababu yeye ni 'mtu mdogo' ananitisha. Yeye anaweza kuwa na umri mdogo lakini nguvu ya ushawishi wake inashinda baruti na siyo watu wote wanaomsikiiliza wanamchukulia kuwa ni mtu 'mdogo'. grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

Mwanakijiji- my role model- pengine ndio sababu ya kuiamini JF. stop barking at him, he is soso right! Watakaomshambulia hawajajua maana yake!
Si wanasema Ni cha Christians (rejea kichaka walicho jifichia kampeni za 2010) Tena Wa kaskazini. Huo ndio msimamo basi wakawaabie wajitenge(najua haitawezekana)
Wala si nia ya Chadema!
Ikibidi hivyo na mimi nitajitoa.
My take.
Ujanja Wa Ccm ulipoishia ndipo smartness ya Chadema inaanzia.
Asante (Dogo janja)
Janja kwel kweli!
Ukiniona unanidai kinywaji!

Tai-chi!- wataisoma number na huo ndio maeneo. Tutawapiga kwa Nguvu zao.
 
Na wale wa zanzibari
wanaotaka kujitenga vp?
Tena wanaendesha miha
dhara kila siku nao vp?
 
Amesema jambo ambalo kwa haraka linaonekana lina mantiki lakini linapuuzia uzito wa alichokisema. Kama ni mtu mdogo hivyo aligombea ubunge wa nini? Kama anakosa hekima ya kupima madhara ya maneno yake - watu wanaweza kuumia kwa kauli moja tu ya mtu mwenye ushawishi - kwa sababu yeye ni 'mtu mdogo' ananitisha. Yeye anaweza kuwa na umri mdogo lakini nguvu ya ushawishi wake inashinda baruti na siyo watu wote wanaomsikiiliza wanamchukulia kuwa ni mtu 'mdogo'. grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

You said it all! I hope the boy can learn quickly. 'Kujikwaa sio kuanguka'!
 
huna haja kuwashukuru maana ni wajibu wao kutenda haki siku zote!!
....elewa vizuri, yeye anashukuru nini? na wewe unasema nini?, soma tena comment yake tafadhali, wewe Nape nini
 
naanza kudoubt uwezo wa huyu kijana umbile la mtu haligawi nchi bali maneno ya mtu.mimi naona bora anyamaze mambo ya poe kwanza.mbowe mwambie afyate mdomo huyu kijana.

wacheni wasiwasi
 
Naanza kudoubt uwezo wa huyu kijana umbile la mtu haligawi nchi bali maneno ya mtu.Mimi naona bora anyamaze mambo ya poe kwanza.Mbowe mwambie afyate mdomo huyu kijana.

we unauhakika gani kwamba amemanisha umbile?yawezekana amemaanisha cheo..mimi naanza kwa kudoubt uwezo wako wa kuinterpret
 
Jaman huyo Nasari amefanya nin mpaka kahojiwa?
 
Amesema jambo
ambalo kwa haraka linaonekana lina mantiki lakini linapuuzia uzito wa
alichokisema. Kama ni mtu mdogo hivyo aligombea ubunge wa nini? Kama
anakosa hekima ya kupima madhara ya maneno yake - watu wanaweza kuumia
kwa kauli moja tu ya mtu mwenye ushawishi - kwa sababu yeye ni 'mtu
mdogo' ananitisha. Yeye anaweza kuwa na umri mdogo lakini nguvu ya
ushawishi wake inashinda baruti na siyo watu wote wanaomsikiiliza
wanamchukulia kuwa ni mtu 'mdogo'.
grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

kwa mara ya kwanza MMK naona unaandika ***** grrrrrrrrrrrr.... Dogo janja anaweza kuigawa nchi kwa style ipi, Nguvu ipi ama kuna mtu katumia ID yako. au shemej kachukua password? ***** wa kwanza kutoka kwa mwanakjj
 
Napenda anavyojiamini ila sipendi kauli zake.!!
 
Kama kweli MH Rais anamsikiliza mwana na kuwapa vyeo wakwe zake ni jambo hatari sana kwa taifa letu kwani lazima uenda watakuwa ndio hawa viongozi wasio na uwezo wowote ambao hata mh JOB Ngugai alilalamika kwamba wanaletwa halmashauri hawana lolote kichwani
 
Lusinde na Nasary nani kaongea pumba?
 
Kuna watu humu ni vinara wa ushabiki hadi unawafanya kuwa vipofu wa kuuona Ukweli. Kama wewe unadhani hoja ya Mzee Mwanakijiji si kwa maslahi ya nchi hii basi jijue kwamba uwezo wako wa kufikiri uko chini sana. Hebu fikiria kidogo, CHADEMA imeshika nchi kwa kupata kura nyingi sana mikoa ya Pwani, kusini, nyanda za Juu kusini, Arusha na Kilimanjaro kwenye uchaguzi wa mwaka 2015.

Itokee Mikoa ya Kanda ya ziwa imeshikiliwa na CCM na mmoja wa wabunge wa CCM anasema "nitaigawa mikoa hii na tuwe na Rais wetu na serikali yetu". Unatarajia Rais aliyeko madarakani wa CHADEMA atafanya nini? Acheni ushabiki usio na tija.
 
Last edited by a moderator:
Huyu mtoto anaongea sana jamani si anyamaze????????????????? Mdomo ulimponza ulimi. Mbowe amemwambia bora akae kimya. Kama kukosea alishakosea.
 
Kuna kipindi huwa natamani kama ningezaliwa Arusha,niwe na mbunge mfano wa Lema na Nassari,
 
Nassary hajakosea kabisa ila ni fitna tu za policcm ambao wanataka wahakikishe kila mbunge wa chedma anafikishwa polisi. Mimi nashangaa sana mbona wabunge wa chadema wako wachache tu lakini ccm wanaweweseka kiasi hichi? Inamaana wabunge wa ccm hawaongeagi maneno ya kichochezi wao? Sasa mbona wao hawaojiwagi hata masaa?waache unafki 2015 siyo mbali.
 
Back
Top Bottom