Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,312
duh nimeipenda hiyo.ila dogo janja awe makini avumilie muda uliobaki ni mdogo sana 2015Mbwa ukimjua jina hakusumbui. Big up cdm
duh nimeipenda hiyo.ila dogo janja awe makini avumilie muda uliobaki ni mdogo sana 2015Mbwa ukimjua jina hakusumbui. Big up cdm
Ni kweli mkuu hata mimi sikuyapenda matamshi ya dogo, ila nilijua hii kesi siyo serious sana kwa vile matamshi yametolewa wakati akifanya siasa, ingekuwa serious case kama matamshi yange rekodiwa sehemu ya siri.Huyu Dogo awe makini sana na maneno yake.
duh nimeipenda hiyo.ila dogo janja awe makini avumilie muda uliobaki ni mdogo sana 2015
Nimependa alivyoachiwa_ila sijapenda maneno aliyoropoka,...ajifunze kufikiri kabla ya kusema.
Msome DOMA hapo chini,Mbwebwe zoote kwenye maradio mpaka radio za ujerumani kumbe mahojiano ni dk 20
Mbwa ukimjua jina hakusumbui. Big up cdm
baada ya Nasari kumaliza kuhojiwa na kuruhusiwa kuondoka..Riz1 alimpigia simu Isaya Mngulu na kumtaka amkamate Nassari ndipo nasari akapigiwa simu na kuambiwa arudi kituo cha polisi...
Ni kweli maneno aliyoropoka siyo mazuri, lakini lazime serikali ijiulize kwanini yale maneno yaliropokwa!
Huyu Dogo awe makini sana na maneno yake.
Ni kweli na hivyo wakati mwingine ni vijembe vya kisiasaNi kweli maneno aliyoropoka siyo mazuri, lakini lazime serikali ijiulize kwanini yale maneno yaliropokwa!
baada ya Nasari kumaliza kuhojiwa na kuruhusiwa kuondoka..Riz1 alimpigia simu Isaya Mngulu na kumtaka amkamate Nassari ndipo nasari akapigiwa simu na kuambiwa arudi kituo cha polisi...