Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,700
Kwa hiyo Mshumbushi au Dr Slaa, nani Mchaga? Mhhh, Mshumbushi ni Mchaga?
Mkuu kwani na wewe ni mchaga
Kwa hiyo Mshumbushi au Dr Slaa, nani Mchaga? Mhhh, Mshumbushi ni Mchaga?
Ccm vilaza wengi top down down top.
Vichaa walikuwepo toka enzi za yesu so wengine hatushangai kuona kichaa cha mbwa kuharuka jf.
Aliyekutuma mwambie hujatukuta!!!!
Habari fukunyuku zilizopatikana leo ndani ya chadema ni kwamba
Mh Zitto Kabwe amemponza mbunge wa jimbo la Kawe Halima James Mdee kwa kuto shughurikia suala zima la kumvua uanachama Zitto kabwe,
Kwa kutokutoa ushirikiano wa kutosha na kujiweka pembeni uongozi wa chama umepanga kumsimamisha Josephine Mshumbusi kugombea ubunge ktk jimbo la Kawe.
Kwa misingi hiyo Halima Mdee kutokana na kujiweka vizuri ktk jimbo hilo anajikuna kichwa kunusuru jimbo lake au kutafuta jimbo jingine.
Tutasikia mengi maana kila anyejisikia kuandika lolote ili mradi asikike anafanya hivyo.
Habari fukunyuku zilizopatikana leo ndani ya chadema ni kwamba
Mh Zitto Kabwe amemponza mbunge wa jimbo la Kawe Halima James Mdee kwa kuto shughurikia suala zima la kumvua uanachama Zitto kabwe,
Kwa kutokutoa ushirikiano wa kutosha na kujiweka pembeni uongozi wa chama umepanga kumsimamisha Josephine Mshumbusi kugombea ubunge ktk jimbo la Kawe.
Kwa misingi hiyo Halima Mdee kutokana na kujiweka vizuri ktk jimbo hilo anajikuna kichwa kunusuru jimbo lake au kutafuta jimbo jingine.
Wazee wa majungu wamevamia tena jukwaa letu.
Josephine atoe wapi sifa za kugombea Jimbo mahiri la KAWE...?
Hon Halima Mdee nafasi yake ya kutetea ipo wazi..
Labda nikusaidie Kama tutaingia kwenye uchaguzi na katiba hii Halima mdee atakwenda bungeni kupitia viti maalumu kwa sababu yeye ni Mwenyekiti wa bawacha taifa kwa nafasi yake nakwenda bungeni moja kwa moja na jimbo la Kawe atasimama Mzee wetu marando.